Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,675
- 26,992
Ngoja tuyasubiri hayo yanayotisha.!Wananchi nao Ni jipu.Pita pita mtaani uliza washabiki wa chama Tawala wapo wengi mno japo baada ya uchaguzi hawataki tena kujionesha maana wanajua yajayo yanatisha.Hapohapo pita pita mtaani uliza ambao hawakupiga kura sababu ya kukata tamaa wapo wengi mno