Upinzani mnakwama wapi?

cchrispian

Member
May 9, 2013
16
5
Hivi viongozi wa vyama pinzani mbona wanajiangusha? Muda kama huu ambapo wananchi hawana imani na chama tawala ilibidi wao ndo waongoze kutoa hoja zenye msimamo. Hata kama hawapo bungeni, wangetumia muda huu kutoa maoni na kampeni ndogondogo za kuunga mkono wananchi.

Ila naona wao ndo kwanza wanafanya mambo yasiyoeleweka hata. Waache matukio ya ili waonekane kwenye magazeti.
Unganeni na wananchi, kufikia 2025 nahakika bungeni mtarudi wengi na mkifanya vizuri sana hiyo miaka 5 mnaweza kupata uraisi 2030. Ila mkiendelea kulalama, itafika 2025 mtabaki kulalamika tena kura zimeibwa.
 
Hivi viongozi wa vyama pinzani mbona wanajiangusha? Muda kama huu ambapo wananchi hawana imani na chama tawala ilibidi wao ndo waongoze kutoa hoja zenye msimamo. Hata kama hawapo bungeni, wangetumia muda huu kutoa maoni na kampeni ndogondogo za kuunga mkono wananchi.
Ila naona wao ndo kwanza wanafanya mambo yasiyoeleweka hata. Waache matukio ya ili waonekane kwenye magazeti.
Unganeni na wananchi, kufikia 2025 nahakika bungeni mtarudi wengi na mkifanya vizuri sana hiyo miaka 5 mnaweza kupata uraisi 2030. Ila mkiendelea kulalama, itafika 2025 mtabaki kulalamika tena kura zimeibwa.

IMG_20210722_152623_160.jpg
 
Katiba Mpya ni mambo yasiyoleweka!?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hivi viongozi wa vyama pinzani mbona wanajiangusha? Muda kama huu ambapo wananchi hawana imani na chama tawala ilibidi wao ndo waongoze kutoa hoja zenye msimamo. Hata kama hawapo bungeni, wangetumia muda huu kutoa maoni na kampeni ndogondogo za kuunga mkono wananchi.

Ila naona wao ndo kwanza wanafanya mambo yasiyoeleweka hata. Waache matukio ya ili waonekane kwenye magazeti.

Unganeni na wananchi, kufikia 2025 nahakika bungeni mtarudi wengi na mkifanya vizuri sana hiyo miaka 5 mnaweza kupata uraisi 2030. Ila mkiendelea kulalama, itafika 2025 mtabaki kulalamika tena kura zimeibwa.
 
Hivi viongozi wa vyama pinzani mbona wanajiangusha? Muda kama huu ambapo wananchi hawana imani na chama tawala ilibidi wao ndo waongoze kutoa hoja zenye msimamo. Hata kama hawapo bungeni, wangetumia muda huu kutoa maoni na kampeni ndogondogo za kuunga mkono wananchi.

Ila naona wao ndo kwanza wanafanya mambo yasiyoeleweka hata. Waache matukio ya ili waonekane kwenye magazeti.
Unganeni na wananchi, kufikia 2025 nahakika bungeni mtarudi wengi na mkifanya vizuri sana hiyo miaka 5 mnaweza kupata uraisi 2030. Ila mkiendelea kulalama, itafika 2025 mtabaki kulalamika tena kura zimeibwa.
Hainisha hoja ata moja mbíli tujue
 
Kama chadema kinamtumia Mdude kutoa miongozo ya chama, hapo unaona kuna dalili ya kushinda hata serikali za mitaa kweli, achilia mbali ubunge na uraisi wa nchi?
 
Back
Top Bottom