Upinzani mkubali ukweli, Wananchi wamewachapa bakora kwa kutokukaa bungeni na kupinga kila kitu

Contents za uzi zinahusu uchaguzi mkuu wa 2020.
Na hapa ndio ulitakiwa uweke hizo mbinu mbadala acha ngonjera za 2006.
Mimi kabla ya 2015 nilikuwa mpinzani khasa tena wa aina ya Dr Slaa.

Tuliongoea sana humu na tukawa twamponda weee JK wa watu.

Chadema ilitakiwa kimyakimya inaanda majimbo hivyo kwanza kutafuta watu ambao watakuwa wagombea wao wa maana wa ubunge.

Pili, wabunge wa Chadema walipaswa kushiriki shughuli za maendeleo na sio kwenda majimboni wakati wa kampeni kama alivyofanya bwana Mbowe na alichokutana nacho nafikiri ulikisikia.

Hivyo ni kama nnavyosisitiza, kuwa kimkakati zaidi yaani strategic na kuwa objective.

Ukifanya hivyo hata siku ukiomba mdahalo utaonena unafaa kufanya mdahalo.

Ukiwa mshari sahau kila kitu.

Siasa ni sayansi.

Ndo maana CCM walikuwa wakiwaangalia mlipokuwa mkijimwambafwai majukwani na ukimsikiliza Polepole utaona namna anavyojibu hoja kisayansi na wananchi wanasikiliza na kuelewa.

Hata Bashiru nae taratibu akawaita mabalozi kuwaambia ukweli kwamba watulie na wakamwelewa.

Watanzania si wajinga ila hawapendi shari na vurugu.

Hata ile siku mabomu yalipolipuka kule Mtoni nilishuhudia jinsi watiu walivyoacha majumbani vitoto vichanga na vibibi kizee na kukimbilia kusikojulikana.

Ilikuwa ni baada ya utulivu ndipo watu walianza kuchungulia na kujitokeza uwanja wa Taifa kutafuta ndugu zao.

Narudia, siasa ni sayansi.
 
Hukusikia upinzani kushinda Malawi baada ya miaka 25 kama sikosei ya hao waliokuwa madarakani? Kule Seychelles baada ya miaka 44 ya chama tawala last week upinzani umeshinda. Unadhani wangekuwa na UOZO kama huu wa kwetu pamoja na vyombo vya dola vifanye uhuni, vitisho na mauaji kama polisiccm unadhani upinzani ungeshinda!?
Malawi ni chama kikuu ndicho kimerudi madarakani hivyo si kazi sana kurudi kwani kilihitaji kuongeza idadi wa wabunge.

Seychelles bwana Ramkalawan amejaribu chaguzi sita! ndo amekuja kushinda uchaguzi huu.

Na raisi aliekuwepo na huyu raisi mpya wanapishana mwaka mmoja kiumri raisi mpya akiwa na mkubwa hivyo hii yaweza kuwa ni moja ya sababu wananchi wanapima sera.

Isitoshe babu yake raisi mpya ni mhamiaji mwenye asili ya India katika jimbo la Bihar, hivyo mkono wa India katika uchaguzi huo hauwezi kukwepeka.

Kuna mvutano baina ya mataifa ya India China na Marekani katika kisiwa hicho hivyo kutolewa taarifa mbalimbali kutoka katika serikali za nch hizo pia si jambo la kushangaza.

Hivyo si jambo la kushangaza wananchi wameamua kubadilisha upepo.
 
Acha ujinga wewe sasa chama kilichopo madarakani kingetaka kutengeneza mazingira kama ya hapa unadhani hao wangeshindwa?
Mbona una ufinyu wa akili kiasi hicho? Kwa hiyo kwa UFINYU wa akili yako Chadema ijaribu chaguzi ngapi ndiyo ishinde hata kama Watanzania walio wengi wamewachoka maccm?

Malawi ni chama kikuu ndichio kimerudi madarakani hivyo si kazi sana kurudi kwani kilihitaji kuongeza idadi wa wabunge.

Seychelles bwana Ramkalawan amejaribu chaguzi sita! ndo amekuja kushinda uchaguzi huu.

Na raisi aliekuwepo na huyu raisi mpya wanapishana mwaka mmoja raisi mpya akiwa na mkubwa hivyo hii yaweza kuwa ni moja ya sababu wananchi wanapima sera.

Isitoshe babu yake raisi mpya ni mhamiaji mwenye asili ya India katika jimbo la Bihar, hivyo mkono wa India katika uchaguzi huo hauwezi kukwepeka.

Kuna mvutano baina ya mataifa ya India China na Marekani katika kisiwa hicho hivyo kutolewa taarifa mbalimbali kutoka katika serikali za nch hizo pia si jambo la kushangaza.

Hivyo si jambo la kushangaza wananchi wameamua kubadilisha upepo.
 
Acha ujinga wewe sasa chama kilichopo madarakani kingetaka kutengeneza mazingira kama ya hapa unadhani hao wangeshindwa?
Mbona una ufinyu wa akili kiasi hicho?
Hujanielewa.

Itakuwa ni ngumu sana kuelewana kwani wewe tayari ulikwishaamini Chadema itashinda uchaguzi wa mwaka huu.
 
Mimi kabla ya 2015 nilikuwa mpinzani khasa tena wa aina ya Dr Slaa.

Tuliongoea sana humu na tukawa twamponda weee JK wa watu.

Chadema ilitakiwa kimyakimya inaanda majimbo hivyo kwanza kutafuta watu ambao watakuwa wagombea wao wa maana wa ubunge.

Pili, wabunge wa Chadema walipaswa kushiriki shughuli za maendeleo na sio kwenda majimboni wakati wa kampeni kama alivyofanya bwana Mbowe na alichokutana nacho nafikiri ulikisikia.

Hivyo ni kama nnavyosisitiza, kuwa kimkakati zaidi yaani strategic na kuwa objective.

Ukifanya hivyo hata siku ukiomba mdahalo utaonena unafaa kufanya mdahalo.

Ukiwa mshari sahau kila kitu.

Siasa ni sayansi.

Ndo maana CCM walikuwa wakiwaangalia mlipokuwa mkijimwambafwai majukwani na ukimsikiliza Polepole utaona namna anavyojibu hoja kisayansi na wananchi wanasikiliza na kuelewa.

Hata Bashiru nae taratibu akawaita mabalozi kuwaambia ukweli kwamba watulie na wakamwelewa.

Watanzania si wajinga ila hawapendi shari na vurugu.

Hata ile siku mabomu yalipolipuka kule Mtoni nilishuhudia jinsi watiu walivyoacha majumbani vitoto vichanga na vibibi kizee na kukimbilia kusikojulikana.

Ilikuwa ni baada ya utulivu ndipo watu walianza kuchungulia na kujitokeza uwanja wa Taifa kutafuta ndugu zao.

Narudia, siasa ni sayansi.
Sasa hapa ndio umeongea mkuu.
Hoja imeshiba vizuri. Tuko pamoja.

Ila licha ya madhaifu ya upinzani bado haiondoi ukweli kuwa ccm wameiba sana huu uchaguzi hilo liko wazi labda kama umetekwa na ukada wa ccm.
 
Ni kama nilivyowahi kusema na ntaendelea kusema kwamba upinzani nchini Tanzania ni kiinimacho na upo kwa ajili ya kula ruzuku.

Mimi ni mmoja wa watu ambao bila kutetereka nimemuunga mkono raisi John Magufuli na serikali yake kwa miaka mitano ilopita na ntaendelea kumuunga mkono kwa yale yote mema anayoyatendea nchi hii.

Tuwe wakweli hata wewe ukiwa na mipango yako wataka uifanye na waona kabisa kuna "obstacles" au vipingamizi ambavyo vipo kwa ajili ya kukukatisha tamaa na kuvuruga ni hatua zipi utachukua?

Ndio, hii yaitwa "obstacles to progress" yaani mtu kwa makusudi kabisa apingaaa kila kitu!!

Upinzani watakiwa kuwa objective yaani uwe wapinga lakini hapohapo kwenye masuala ya kuhusu maslahi ya taifa waonekana waunga mkono asilimia 100.

Nchi zote zilizoendelea na zinazoendela wanafanya hivyo na tumeziona hata katika suala la COVID-19 wapinzani wameunga mkono jitihada za serikali na penye kupinga wamepinga na kutaka ufafanuzi.

Lengo lao la kupinga ni kuitaka serikali ifanye marekebisho ya sheria zake kuhusiana na ugonjwa huo na mengine yanayobaki kama kuunga mkono "lockdown" wameunga mkono serikali zao.

Lakini upinzani wa Tanzania ni kupinga kila lililo jema na kibaya zaidi kuzungumzia upingaji huo mitandaoni kwa kukejeli na kukashifu vitendo ambavyo wananchi wameona na wamesikitishwa sana.

Kutohudhuria vikao vya bunge na kuendelea kulipwa fedha za vikao mmeliingizia hasara Bunge na taifa kwa ujumla maana fedha hizo ni bora zingeenda kushughulikia maendeleo ya huko vijijini na huduma zingine muhimu kwa nchi yetu.

Pia kutohudhuria vikao vya bunge mmewanyima wananchi haki yao ya kufikishiwa shida zao bungeni na badala yake mkampa kazi raisi Magufuli kuzunguka nchi nzima akishughulikia matatizo ya wananchi papo kwa hapo.

Matatizo ya wananchi kama kukosa huduma ya vyoo ni jukumu ya mbunge na jimbo jimbo lake kuhakikisha kuna vyoo vya umma katika maeneo kama masoko na vituo vya mabasi.

Sasa kibaya zaidi ni kitendo cha kuwashirikisha wageni kutaka kuvuruga amani ya nchi yetu na hata kufikia baadhi yao wageni hao khasa bwana Robert Amsterdam kuandika barua za vitisho na dhihaka kwa kiongozi wa Tanzania akidhani yeye ndie mahakama ya dunia!

Wananchi wa Tanzania si wajinga ni watu waelewa sana na wapinzani wasidharau kauli hii.

Nilisema pia humu kuwa wananchi hawa walojitokeza kwenye mikutano yenu hawakufanya hivyo bila sababu, walitaka kusikia mnachosema majukwaani.

Mlichofanya mkaishia kumzungumzia raisi Magufuli na serikali yake badala ya kunadi sera zenu na ilani za vyama vyenu.

Niliwakumbusha hapa ndani kabisa ya kampeni baada ya kuona mnapotea lakini hamkusikia mkazidisha kuchukua picha za nyomi la watu na kutupa mtandaoni.


Sasa hivi wanawachapa bakora khasa na kuwakumbusha kuwa upinzani ni kuwa objective unampinga mtu na hapohapo waonyesha unamsaidia katika baadhi ya mambo ambayo ni positive.

Kiukweli mnahitaji kujipanga uzuri na kuja kivingine mkipinga yanayostahiki na kuisaidia serikali kufanya shughuli zake bungeni na majimboni kwa ufanisi na huko ndiko kula na kipofu.

Sasa hata yule anefahamu kula na kipofu anawashindaaa!!

Hiyo ni kwasababu upinzani kuja kutawala nchi hii itachukua miaka mingi sana na sababu ni haohao wananchi mnaowadharau kwa kuwaita wajinga.

Lakini ni kheri mjinga asiefahamu na anaengojea kuelimishwa kuhusu sera mbadala, kuliko yule mpumbafu anaejiona afahamu kila kitu na hata kutumia mabeberu kutaka kuiuza nchi yake.

Tuendelee kushuhudia kichapo kutoka kwa wananchi na poleni wapinzani, poleni sana.
Leo 29/10/2020 ilikua siku ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad Swallalaah Alayh Wassallam..
Utaratibu kila mwaka kunakua na baraza la maulid kitaifa na bakwata ndio waandaaji.

Vipi mbona kama sikusikia chochote? Au bakwata ndio hivo tena walikua busy na uchaguzi, maulid yakawekwa pembeni?
Miaka iliyopita 👇👇👇
BAKWATA: Maadhimisho ya Maulid kufanyika Novemba 09, Mwaka huu
Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania (BAKWATA) limetangaza kuwa mnamo Novemba 09, 2019 yatafanyika maadhimisho ya Kitaifa ya Maulid katika Viwanja vya Furahisha jijini Mwanza Aidha, Baraza hilo limesema kuwa Baraza la Maulid litafanyika Kitaifa mnamo Novemba 10, 2019 katika Ukumbi wa Benki Kuu...
www.jamiiforums.com www.jamiiforums.com

Baraza la Maulid Tanga lampongeza Rais Magufuli. Mufti Mkuu akemea masuala ya ushoga
Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zuberi ametumia Baraza la Maulid kuwataka Masheikh wa mikoa nchini kukemea vitendo vya ushoga ambavyo vinaharibu sifa ya Uislamu. Mufti amesema hayo leo Jumanne Novemba 20, 2018 alipokuwa akiwahutubia wananchi katika kumbukizi hiyo ya kuzaliwa Mtume Muhammad...
www.jamiiforums.com www.jamiiforums.com
 
Hawakosi visingizio. Wananchi wamewachapa kabora kweli kweli. Mwingine huyu hapa anawachapa 👇:
1603996942748.png

Ni kama nilivyowahi kusema na ntaendelea kusema kwamba upinzani nchini Tanzania ni kiinimacho na upo kwa ajili ya kula ruzuku.

Mimi ni mmoja wa watu ambao bila kutetereka nimemuunga mkono raisi John Magufuli na serikali yake kwa miaka mitano ilopita na ntaendelea kumuunga mkono kwa yale yote mema anayoyatendea nchi hii.

Tuwe wakweli hata wewe ukiwa na mipango yako wataka uifanye na waona kabisa kuna "obstacles" au vipingamizi ambavyo vipo kwa ajili ya kukukatisha tamaa na kuvuruga ni hatua zipi utachukua?

Ndio, hii yaitwa "obstacles to progress" yaani mtu kwa makusudi kabisa apingaaa kila kitu!!

Upinzani watakiwa kuwa objective yaani uwe wapinga lakini hapohapo kwenye masuala ya kuhusu maslahi ya taifa waonekana waunga mkono asilimia 100.

Nchi zote zilizoendelea na zinazoendela wanafanya hivyo na tumeziona hata katika suala la COVID-19 wapinzani wameunga mkono jitihada za serikali na penye kupinga wamepinga na kutaka ufafanuzi.

Lengo lao la kupinga ni kuitaka serikali ifanye marekebisho ya sheria zake kuhusiana na ugonjwa huo na mengine yanayobaki kama kuunga mkono "lockdown" wameunga mkono serikali zao.

Lakini upinzani wa Tanzania ni kupinga kila lililo jema na kibaya zaidi kuzungumzia upingaji huo mitandaoni kwa kukejeli na kukashifu vitendo ambavyo wananchi wameona na wamesikitishwa sana.

Kutohudhuria vikao vya bunge na kuendelea kulipwa fedha za vikao mmeliingizia hasara Bunge na taifa kwa ujumla maana fedha hizo ni bora zingeenda kushughulikia maendeleo ya huko vijijini na huduma zingine muhimu kwa nchi yetu.

Pia kutohudhuria vikao vya bunge mmewanyima wananchi haki yao ya kufikishiwa shida zao bungeni na badala yake mkampa kazi raisi Magufuli kuzunguka nchi nzima akishughulikia matatizo ya wananchi papo kwa hapo.

Matatizo ya wananchi kama kukosa huduma ya vyoo ni jukumu ya mbunge na jimbo jimbo lake kuhakikisha kuna vyoo vya umma katika maeneo kama masoko na vituo vya mabasi.

Sasa kibaya zaidi ni kitendo cha kuwashirikisha wageni kutaka kuvuruga amani ya nchi yetu na hata kufikia baadhi yao wageni hao khasa bwana Robert Amsterdam kuandika barua za vitisho na dhihaka kwa kiongozi wa Tanzania akidhani yeye ndie mahakama ya dunia!

Wananchi wa Tanzania si wajinga ni watu waelewa sana na wapinzani wasidharau kauli hii.

Nilisema pia humu kuwa wananchi hawa walojitokeza kwenye mikutano yenu hawakufanya hivyo bila sababu, walitaka kusikia mnachosema majukwaani.

Mlichofanya mkaishia kumzungumzia raisi Magufuli na serikali yake badala ya kunadi sera zenu na ilani za vyama vyenu.

Niliwakumbusha hapa ndani kabisa ya kampeni baada ya kuona mnapotea lakini hamkusikia mkazidisha kuchukua picha za nyomi la watu na kutupa mtandaoni.


Sasa hivi wanawachapa bakora khasa na kuwakumbusha kuwa upinzani ni kuwa objective unampinga mtu na hapohapo waonyesha unamsaidia katika baadhi ya mambo ambayo ni positive.

Kiukweli mnahitaji kujipanga uzuri na kuja kivingine mkipinga yanayostahiki na kuisaidia serikali kufanya shughuli zake bungeni na majimboni kwa ufanisi na huko ndiko kula na kipofu.

Sasa hata yule anefahamu kula na kipofu anawashindaaa!!

Hiyo ni kwasababu upinzani kuja kutawala nchi hii itachukua miaka mingi sana na sababu ni haohao wananchi mnaowadharau kwa kuwaita wajinga.

Lakini ni kheri mjinga asiefahamu na anaengojea kuelimishwa kuhusu sera mbadala, kuliko yule mpumbafu anaejiona afahamu kila kitu na hata kutumia mabeberu kutaka kuiuza nchi yake.

Tuendelee kushuhudia kichapo kutoka kwa wananchi na poleni wapinzani, poleni sana.
 
Sasa hapa ndio umeongea mkuu.
Hoja imeshiba vizuri. Tuko pamoja.

Ila licha ya madhaifu ya upinzani bado haiondoi ukweli kuwa ccm wameiba sana huu uchaguzi hilo liko wazi labda kama umetekwa na ukada wa ccm.
Hii ya CCM imeiba kura ni imani na madai yenu ambayo yataka kuondoa ukweli kwamba mmeshindwa uchgyzi huu kwa kishindo.
 
Mimi binafsi nimeitetea sana ccm hapa kwa kuwa maisha yangu na familia yameboreka zaidi kwa sera za JPm

Gharama zimeshuka sana sana za maisha

Kwa miaka 4 tangu 2016 watoto wangu wawili nimeweza kuwasomesha University of Oxford kwa msaada wa serikali na mimi nimegharamia vitu vidogo vidogo tu

Watoto wamemaliza shule mwaka jana na sasa wameajiriwa serikalini kwenye taasisi zenye uhuru wa interview, sio kama zamani mwenye akili anapata taabu

Ni furaha kubwa sana ukiwa ccm na kwa ushindi huu wa JPM hakika nitaendelea kula bata zaidi

Zamani hizo nafasi waligawana baadhi ya watu na familia zao

Maisha yangu yameboreka mara 1000

Chadema kwisha kwisha kabisa habari zao kwenda zao

Sasa nategemea sera mpya ambazo zitanifanya nisafiri duniani kama miaka 5 iliyopita

Ni miaka mitano ya JPm nimezunguka nchi nyingi sana zaidi ya 20 duniani ukilinganisha na nchi 10 tu wakati wa JK

Wakati wa JK mafisadi wali enjoy na kusafiri kwa kodi zetu

Wakati wa JPM tunasafiri kwa kuwa tuna sababu na pesa ipo
Shetani wewe unakula kod zetu
 
Hii ya CCM imeiba kura ni imani na madai yenu ambayo yataka kuondoa ukweli kwamba mmeshindwa uchgyzi huu kwa kishindo.
Mkuu nimegundua wewe sio objective ni subjective. Haihitaji rocket science kujua hili suala hata layman wa mtaan huku wanafahamu.
Haya endelea na mada yako, mimi niishie hapa.
 
Maadui Wa Nchi Yetu Ni:-

Umasikini

Ujinga

Maradhi

Halafu Na Hiki..........M

 
Back
Top Bottom