radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,427
- 32,196
Magufuli hajadanganya, Kaongea ukweli aliposema CCM itatawala milele. Nyinyi ndio mnajidanganya kuwa mtaitoa CCM madarakani 2020. Yani after everything kweli bado upinzani mnasubiria uchaguzi wa 2020? Mnachekesha kweli. Magufuli atashinda uchaguzi asubuhi saa 4. Bila katiba mpya msipoteze muda hata kupiga kura...
.
.
Hivi mnadhani Magufuli ni mpumbavu anafanya mambo yote anayofanya na mpaka kachukiwa na watanzania kiasi hiki na bado hajali?? Magufuli haitaji kura ya mtu hata mmoja?? Mumpigie kura, msimpigie yeye ndio mshindi. Na ndo maana anafanya anavyotaka. Haitaji mumpende wala.... Ukweli ni kwamba for as long as NEC ndio final say CCM ndio mshindi.
.
.
Seriously inchekesha mnooo ukiona upinzani wanajipa moyo na uchaguzi wa 2020, Yani it’s like they are in denial.
Hii ni post ya mange kimambe huyu dada yupo vizuri tuache masihara.
Mods naomba msifute hii post inafunzo kubwa sana.
.
.
Hivi mnadhani Magufuli ni mpumbavu anafanya mambo yote anayofanya na mpaka kachukiwa na watanzania kiasi hiki na bado hajali?? Magufuli haitaji kura ya mtu hata mmoja?? Mumpigie kura, msimpigie yeye ndio mshindi. Na ndo maana anafanya anavyotaka. Haitaji mumpende wala.... Ukweli ni kwamba for as long as NEC ndio final say CCM ndio mshindi.
.
.
Seriously inchekesha mnooo ukiona upinzani wanajipa moyo na uchaguzi wa 2020, Yani it’s like they are in denial.
Hii ni post ya mange kimambe huyu dada yupo vizuri tuache masihara.
Mods naomba msifute hii post inafunzo kubwa sana.