Uchaguzi 2020 Upinzani kumsimamisha Membe: Kosa kubwa, usaliti na dhambi isiyosameheka

Zitto tuondolee hili balaa la Membe.
Naona anazidi kujisogeza tu, vyama vya upinzani wanapaswa kufanya kila jambo kwa tahadhari kubwa wakati huu, chama na serikali vina haha kuhakikisha nchi haitumbukii kwenye vikwazo vya kiuchumi baada ya kuiba uchaguzi wa mwaka huu. Membe anaweza kuwa kete yao.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kwamba Membe anatumika na maccm?

Naona anazidi kujisogeza tu, vyama vya upinzani wanapaswa kufanya kila jambo kwa tahadhari kubwa wakati huu, chama na serikali vina haha kuhakikisha nchi haitumbukii kwenye vikwazo vya kiuchumi baada ya kuiba uchaguzi wa mwaka huu. Membe anaweza kuwa kete yao.
 
Badili Heading kwanza! unamaanisha MEMBE au MWAMBE??
Mkuu naona jamaa wanamkataa mjomba wetu Uncle Ben Membe.
Naona Ukana umezidi shilungo unachachuka!

Usikate tamaa lolote linawezekana chini ya jua, huenda akashinda uchaguzi na kuingia kwenye kasri lenye mimawe pale Dom.
Mimi naenda na JPM-2015-2020-2025, mambo ya kubadili katiba kuongeza muda au kuondoa ukomo sipendi hata kuyasikia.
 
Unalogic fulani hivi kwenye hoja zako ,Inabidi Membe afanyiwe vetting au asapoti upinzani ,bila kugombea tuone ukweli wake .
 
Mkuu naona jamaa wanamkataa mjomba wetu Uncle Ben Membe.
Naona Ukana umezidi shilungo unachachuka!

Usikate tamaa lolote linawezekana chini ya jua, huenda akashinda uchaguzi na kuingia kwenye kasri lenye mimawe pale Dom.
Mimi naenda na JPM-2015-2020-2025, mambo ya kubadili katiba kuongeza muda au kuondoa ukomo sipendi hata kuyasikia.
"Once the mission has started ,must be accomplished "

👊👊👊👊👊👊👊👊👊👊👊👊
 
Benard Membe ameweka wazi kuwa ikiwa vyama vya upinzani vitaungana na kumkubalia agombee ,basi yuko tayari kupeperusha bendera.

Hili litakua kosa kubwa, usaliti wa hali ya juu na dhambi isiyo sameheka kwa sababu zifuatazo.

1. Kama ilivyokuwa kwa Lowasa, Benard Membe atakua amejiunga na upinzani kwa maslahi yake binafsi. Sio kwamba anakubaliana na sera na falsafa za vyama vya upinzani, na wala sio kwamba anavipenda na kuvitakia mema vyama vya upinzani, hapana! Anataka kwenda huko ili tu atimize ndoto yake ya kugombea urais. Angependa zaidi kuitimiza akiwa kwenye chama anachokipenda cha CCM, lakini huko wamemtimua.

2. Kutenda kosa sio kosa bali kurudia kosa ni kosa kubwa, vyama vya upinzani vikiongozwa na CHADEMA vilifanya kosa la namna hii mwaka 2015, litakua jambo la ajabu kama watakua hawajifunza kutokana na maamuzi yale ya hovyo na yanayo kigharimu chama hadi leo hii.

3. Ni usaliti mkubwa kwa wafia chama na wananchi. Jaribu kufikiri mtu kama Tundu Lissu na wengine, wamekipigania chama usiku na mchana kwa jasho na damu, wengine wameuawa, wengine wamepata ulemavu wa kudumu na wengine wamepoteza mali zao, alafu leo hii unapowadia wakati muhimu kama huu, chama kinawaacha hawa wote na kuamua kumpa nafasi 'outsider' ili atimize ndoto zake binafsi! Ni usaliti usio sameheka. Dr. Slaa hawezi kuwasamehe CDM kwa kile walichokifanya 2015, na iwapo watakirudia tena basi kundi kubwa zaidi litajitenga nao na kuunga mkono juhudi, kuwanini ujitese wakati unao wahangaikia hawauoni umuhimu wako?

4. CCM wanaweza kuwa wanapanga hizi drama za Membe na chama chake, kama anavyojitapa yeye mwenyewe kuwa alikua mtumishi kwenye ile idara nyeti, basi tukae tukijua uzandiki na hujuma ni sehemu tu ya umahiri wake. Chama chake pendwa kinaweza kuwa kinamtumia kwa wakati huu ili kuuweka uchaguzi mkuu 'under control', akigombea mtu wao kama Membe hata akishindwa basi wana uhakika wa kumpa maelekezo awatulize wafuasi wake kuwa mambo yanashughulikiwa kwenye vyombo vya kisheria.

Lakini akigombea mtu radical wa upinzani, wanahofu kuwa anaweza kukataa matokeo na kuhamasisha wananchi wayakatae matokea kwa nguvu zote. Mwisho wa siku nchi inaweza kutumbukia kwenye sintofahamu itakayo hatarisha utawala wa CCM (au usalama wa taifa kwa mujibu wa viongozi wa CCM).
Subirini mtaona siasa zinavyokwenda CDM ni chama cha umma tofauti na CCM.
 
Huyo Dr.Slaa angehamia chama kingine ningemuelewa ila sio kwenda kutumika na serikali ya CCM alafu utake watu wakuone ulikuwa mwana mageuzi.
Kwani hakuna watumishi wa serikali ambao ni wana mageuzi? Ningekuelewa kama Slaa amechukua kadi ya CCM.
 
Benard Membe ameweka wazi kuwa ikiwa vyama vya upinzani vitaungana na kumkubalia agombee ,basi yuko tayari kupeperusha bendera.

Hili litakua kosa kubwa, usaliti wa hali ya juu na dhambi isiyo sameheka kwa sababu zifuatazo.

1. Kama ilivyokuwa kwa Lowasa, Benard Membe atakua amejiunga na upinzani kwa maslahi yake binafsi. Sio kwamba anakubaliana na sera na falsafa za vyama vya upinzani, na wala sio kwamba anavipenda na kuvitakia mema vyama vya upinzani, hapana! Anataka kwenda huko ili tu atimize ndoto yake ya kugombea urais. Angependa zaidi kuitimiza akiwa kwenye chama anachokipenda cha CCM, lakini huko wamemtimua.

2. Kutenda kosa sio kosa bali kurudia kosa ni kosa kubwa, vyama vya upinzani vikiongozwa na CHADEMA vilifanya kosa la namna hii mwaka 2015, litakua jambo la ajabu kama watakua hawajifunza kutokana na maamuzi yale ya hovyo na yanayo kigharimu chama hadi leo hii.

3. Ni usaliti mkubwa kwa wafia chama na wananchi. Jaribu kufikiri mtu kama Tundu Lissu na wengine, wamekipigania chama usiku na mchana kwa jasho na damu, wengine wameuawa, wengine wamepata ulemavu wa kudumu na wengine wamepoteza mali zao, alafu leo hii unapowadia wakati muhimu kama huu, chama kinawaacha hawa wote na kuamua kumpa nafasi 'outsider' ili atimize ndoto zake binafsi! Ni usaliti usio sameheka. Dr. Slaa hawezi kuwasamehe CDM kwa kile walichokifanya 2015, na iwapo watakirudia tena basi kundi kubwa zaidi litajitenga nao na kuunga mkono juhudi, kuwanini ujitese wakati unao wahangaikia hawauoni umuhimu wako?

4. CCM wanaweza kuwa wanapanga hizi drama za Membe na chama chake, kama anavyojitapa yeye mwenyewe kuwa alikua mtumishi kwenye ile idara nyeti, basi tukae tukijua uzandiki na hujuma ni sehemu tu ya umahiri wake. Chama chake pendwa kinaweza kuwa kinamtumia kwa wakati huu ili kuuweka uchaguzi mkuu 'under control', akigombea mtu wao kama Membe hata akishindwa basi wana uhakika wa kumpa maelekezo awatulize wafuasi wake kuwa mambo yanashughulikiwa kwenye vyombo vya kisheria.

Lakini akigombea mtu radical wa upinzani, wanahofu kuwa anaweza kukataa matokeo na kuhamasisha wananchi wayakatae matokea kwa nguvu zote. Mwisho wa siku nchi inaweza kutumbukia kwenye sintofahamu itakayo hatarisha utawala wa CCM (au usalama wa taifa kwa mujibu wa viongozi wa CCM).
Well said
 
Benard Membe ameweka wazi kuwa ikiwa vyama vya upinzani vitaungana na kumkubalia agombee ,basi yuko tayari kupeperusha bendera.

Hili litakua kosa kubwa, usaliti wa hali ya juu na dhambi isiyo sameheka kwa sababu zifuatazo.

1. Kama ilivyokuwa kwa Lowasa, Benard Membe atakua amejiunga na upinzani kwa maslahi yake binafsi. Sio kwamba anakubaliana na sera na falsafa za vyama vya upinzani, na wala sio kwamba anavipenda na kuvitakia mema vyama vya upinzani, hapana! Anataka kwenda huko ili tu atimize ndoto yake ya kugombea urais. Angependa zaidi kuitimiza akiwa kwenye chama anachokipenda cha CCM, lakini huko wamemtimua.

2. Kutenda kosa sio kosa bali kurudia kosa ni kosa kubwa, vyama vya upinzani vikiongozwa na CHADEMA vilifanya kosa la namna hii mwaka 2015, litakua jambo la ajabu kama watakua hawajifunza kutokana na maamuzi yale ya hovyo na yanayo kigharimu chama hadi leo hii.

3. Ni usaliti mkubwa kwa wafia chama na wananchi. Jaribu kufikiri mtu kama Tundu Lissu na wengine, wamekipigania chama usiku na mchana kwa jasho na damu, wengine wameuawa, wengine wamepata ulemavu wa kudumu na wengine wamepoteza mali zao, alafu leo hii unapowadia wakati muhimu kama huu, chama kinawaacha hawa wote na kuamua kumpa nafasi 'outsider' ili atimize ndoto zake binafsi! Ni usaliti usio sameheka. Dr. Slaa hawezi kuwasamehe CDM kwa kile walichokifanya 2015, na iwapo watakirudia tena basi kundi kubwa zaidi litajitenga nao na kuunga mkono juhudi, kuwanini ujitese wakati unao wahangaikia hawauoni umuhimu wako?

4. CCM wanaweza kuwa wanapanga hizi drama za Membe na chama chake, kama anavyojitapa yeye mwenyewe kuwa alikua mtumishi kwenye ile idara nyeti, basi tukae tukijua uzandiki na hujuma ni sehemu tu ya umahiri wake. Chama chake pendwa kinaweza kuwa kinamtumia kwa wakati huu ili kuuweka uchaguzi mkuu 'under control', akigombea mtu wao kama Membe hata akishindwa basi wana uhakika wa kumpa maelekezo awatulize wafuasi wake kuwa mambo yanashughulikiwa kwenye vyombo vya kisheria.

Lakini akigombea mtu radical wa upinzani, wanahofu kuwa anaweza kukataa matokeo na kuhamasisha wananchi wayakatae matokea kwa nguvu zote. Mwisho wa siku nchi inaweza kutumbukia kwenye sintofahamu itakayo hatarisha utawala wa CCM (au usalama wa taifa kwa mujibu wa viongozi wa CCM).
Lowasa hajafanya kosa lolote upinzani.
Alitimiza wajibu wake ,lakini CCM waliendelea kumuhujumubaada ya kumuhujumu kwenye kura na ushindi.
Lowasa Alirudi CCM kwa maslahi mapana binafsi, si kwa nia ya kuwakomoa wapinzani bali maslahi mapana ya Maisha yake.
Membe ni mtaji kwa upinzani, na uzoefu wake utatusaidia kujipanga kushika dola .Tukishinda yeye hana ugeni na Ikulu na systerm.
Tukishindwa yeye atabaki kuwa mwanachama wa Kawaida kama alivyoingia
 
Zitto tuondolee hili balaa la Membe.
Mkuu BAK nina uhakika unamjua vema Zitto, sina imani kabisa na Zitto hiyo hidden agenda ya CCM.
Huyu Bwn alitumika na CCM akifadhiriwa na NSSF chini ya Duni kufubaza nguvu za M4C ya CDM.
Uzuri wake aligundulika mapema akangolewa yeye, Kitila, Mwampamba na Shonza.
Sidhani kama amebadilika kuwa true member wa opposition.
CDM stay alert with these guys the Membes!!
 
Mkuu BAK nina uhakika unamjua vema Zitto, sina imani kabisa na Zitto hiyo hidden agenda ya CCM.
Huyu Bwn alitumika na CCM akifadhiriwa na NSSF chini ya Duni kufubaza nguvu za M4C ya CDM.
Uzuri wake aligundulika mapema akangolewa yeye, Kitila, Mwampamba na Shonza.
Sidhani kama amebadilika kuwa true member wa opposition.
CDM stay alert with these guys the Membes!!
Nalikumbuka vyema sana sakasaka lililomfanya afukuzwe CDM na mikakati yake ya siri na viongozi wa idara ya usalama wa taifa. Nilidhani amebadilika.
 
Nakubaliana nawe Mkuu. Zitto alishatoa kauli hadharani kwamba Zitto alishatoa kauli hadharani kwamba Lissu anastahili kupeperusha bendera ya upi za ni kama mgombea urais, mara kishabadili kauli. Chadema wasifanye makosa ya 2015 ya kumchukua ccm mwingine kama mgombea wa urais au ndiyo itakuwa KITANZI cha milele

https://www.mwananchi.co.tz/habari/...-urais-2020/1597296-4912456-qpgci1/index.html

Mkuu BAK nina uhakika unamjua vema Zitto, sina imani kabisa na Zitto hiyo hidden agenda ya CCM.
Huyu Bwn alitumika na CCM akifadhiriwa na NSSF chini ya Duni kufubaza nguvu za M4C ya CDM.
Uzuri wake aligundulika mapema akangolewa yeye, Kitila, Mwampamba na Shonza.
Sidhani kama amebadilika kuwa true member wa opposition.
CDM stay alert with these guys the Membes!!
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom