UPINZANI komaeni kutafuta mwafaka wa pamoja kuungana. Hakika CCM itaondoka madarakani muda sio mrefu,namba hazidanganyi.

MAHANJU

JF-Expert Member
Aug 26, 2014
5,244
7,966
Hii ni kwa mujibu wa uoni wangu wa kisomi makini usiokua rasimi. Hebu jaribuni kuchukulia kua katika eneo flani kuna wapiga kura 10, halafu fanya hivi watu 4 ni CCM, 3 ni CHADEMA, 1-CUF, 1-ACT, 1-NCCR.Chukua 3+1+1+1=6(upinzani kwa ujumla) na CCM=4.CCM watatawala vipi milele? Muunganiko makini wa vyama haujawahi kumwacha mtawala salama.


Ninachosisitiza ni kwamba, upinzani anzeni kukaa pamoja fanyeni mikakati madhubuti mmalize kazi. Siyaoni maisha marefu ya CCM, Pangeni safu imara zenye ushawishi pande zote msimamishe mtu mmoja mmoja.

Ukweli mchungu usiopingika ni kwamba hakuna kitu CCM wanakichukia kama kuungana, hawalali wanawaza usiku na mchana kuwagawanya. Hii ndio dawa yao.
 
Hii ni kwa mujibu wa uoni wangu wa kisomi makini usiokua rasimi. Hebu jaribuni kuchukulia kua katika eneo flani kuna wapiga kura 10, halafu fanya hivi watu 4 ni CCM, 3 ni CHADEMA, 1-CUF, 1-ACT, 1-NCCR.Chukua 3+1+1+1=6(upinzani kwa ujumla) na CCM=4.CCM watatawala vipi milele? Muunganiko makini wa vyama haujawahi kumwacha mtawala salama.


Ninachosisitiza ni kwamba, upinzani anzeni kukaa pamoja fanyeni mikakati madhubuti mmalize kazi. Siyaoni maisha marefu ya CCM, Pangeni safu imara zenye ushawishi pande zote msimamishe mtu mmoja mmoja.

Ukweli mchungu usiopingika ni kwamba hakuna kitu CCM wanakichukia kama kuungana, hawalali wanawaza usiku na mchana kuwagawanya. Hii ndio dawa yao.
Kama kanuni (formula) yako ni sahihi, tusubiri kuona matokeo ya Buyungu!
 
Hii ni kwa mujibu wa uoni wangu wa kisomi makini usiokua rasimi. Hebu jaribuni kuchukulia kua katika eneo flani kuna wapiga kura 10, halafu fanya hivi watu 4 ni CCM, 3 ni CHADEMA, 1-CUF, 1-ACT, 1-NCCR.Chukua 3+1+1+1=6(upinzani kwa ujumla) na CCM=4.CCM watatawala vipi milele? Muunganiko makini wa vyama haujawahi kumwacha mtawala salama.


Ninachosisitiza ni kwamba, upinzani anzeni kukaa pamoja fanyeni mikakati madhubuti mmalize kazi. Siyaoni maisha marefu ya CCM, Pangeni safu imara zenye ushawishi pande zote msimamishe mtu mmoja mmoja.

Ukweli mchungu usiopingika ni kwamba hakuna kitu CCM wanakichukia kama kuungana, hawalali wanawaza usiku na mchana kuwagawanya. Hii ndio dawa yao.
Very true ulichoongea
 
Acha kujidanganya kutushida CCM Ni Jambo gumu sana.kwa sababu
1.tuna jumuiya imara kuliko chama chochote
2.tumeonyesha demokrasia katika chaguzi zake ngazi ya taifa na mpk chini
3.tuna wapenzi na wanachama wengi wanaolipia ada yao
4.tunaongoza serikali ya tano kwa uwazi na maendeleo yanaonekana
Tuna sababu zaidi ya billions
 
Siasa si rahis hivo..
IPO hivi:
CCM 3, Polisi 9, DC 5,TRA 100, UT 50, TUME 10,000 alafu jumlisha matokeo ulete hapa badae baadae ya lunch
Upinzani inabid waende extra miles...uchaguzi Pekee Kwa sisisem ni ndoto
 
Hii ni kwa mujibu wa uoni wangu wa kisomi makini usiokua rasimi
una uoni hafifu
Hizo hekaya za kuungana wewe sio wa kwanza kuzitunga,na zilifeli
Buyungu zitto amewaachia chadema baada ya kuona mgombea wake hatapata kura za kutosha,kawaachia chadema akijua kabisa watashindwa
Kuitoa ccm kunahitaji kujibadili kwanza toka ndani ya vyama vyenu kuondoa ubinafsi na umimi
 
Siasa si rahis hivo..
IPO hivi:
CCM 3, Polisi 9, DC 5,TRA 100, UT 50, TUME 10,000 alafu jumlisha matokeo ulete hapa badae baadae ya lunch
Upinzani inabid waende extra miles...uchaguzi Pekee Kwa sisisem ni ndoto
Ha ha haaa we jamaa wewe umenichekesha sana kwa jinsi unavyoijui siasa ya tanzania.
 
Mkuu tatizo si Kushinda.Maana 2015 Upinzani ulishinda Zanzibar, Walipewa Nchi?
CCM Wamejiapiza hawawezi kutoka Madarakani kwa vipande vya karatasi (kura)walivyo print wenyewe.
Acha Tuisome namba tu Mkuu..
 
Kuna Tangazo Moja la Mganga wa Kienyeji linasema DAWA YA KUPATA
UJASIRI KAMA WA LIPUMBA...... Nimekumbuka tu!
 
Huwezi shinda kwa kura mkuu.. Unakumbuka uchaguzi wa Kinondoni? Wawakilishi wa upinzani wananyimwa barua za utambulisho, so hawaingii kwny vyumba vya kupigia kura. Watawala wanakuwa wenyewe humo, na bado sanduku la kura linachukuliwa baadaye linarejeshwa
 
Back
Top Bottom