Thailand
JF-Expert Member
- Nov 15, 2019
- 262
- 778
Upinzani msipokuwa macho mnaweza Kila mwaka wa uchaguzi mkawa Ni wa kutumiwa tu na watu was CCM wasipopata wanachokiitaji wanatuacha Kama ilivyotokea kwa Lowasa na Fredrick Sumaye.
Tunaweza kumpima Membe kwa mtihani mdogo tu kabla hatuja msaini rasmi kwenye chama mojawapo Cha upinzani.
Katiba ya CCM inaruhusu Kila mwanachama kugombea nafasi yoyote ya Uongozi Kama Ni kipindi sahihi Cha kufanya hivyo bila kubagua kwa visingizio vyovyote mtu yeyote atakae weka Nia ya kugombea nafasi hiyo.
Sasa kwa Nini uongozi was CCM kuchapisha form moja hali inajua kwa kufanya Hilo Ni kwenda kinyume na takwa la kikatiba. Kwanini wasinge ruhusu Kila Mwenye Nia ya kuchukua form achukue aende ashindwe kwenye kura ya maoni ndani ya chama!
Kwa hiyo Membe ili upate kibali huku upinzanini lazima utuoneshe kwanza namna unavyowasulubu hao Wana CCM wenzako waliokunyima nafasi ya kugombea Urais huku ukiwa umejiandaa kwa muda mrefu na huku unakidhi vigezo vya katiba yenu.
Upinzani tutafeli Sana endapo tutaendelea kuamini Hawa viumbe was kijani kufika chamani na kukabidhiwa nafasi kubwa ya kugombea Urais huku tukiwaacha wafia chama wetu wakitushangaa kwa makosa tunayoyafanya.
Yaani Membe hasipowaburuza mahakamani CCM kwa kosa Hilo walilofanya akakimbilia upinzani hiyo nafasi atakayopewa Ni Bora abaki akisapoti upinzani ila twende na Tundu Lissu au John Heche vijana shupavu wasioogopeshwa na kelele za fisiemu.
Tunaweza kumpima Membe kwa mtihani mdogo tu kabla hatuja msaini rasmi kwenye chama mojawapo Cha upinzani.
Katiba ya CCM inaruhusu Kila mwanachama kugombea nafasi yoyote ya Uongozi Kama Ni kipindi sahihi Cha kufanya hivyo bila kubagua kwa visingizio vyovyote mtu yeyote atakae weka Nia ya kugombea nafasi hiyo.
Sasa kwa Nini uongozi was CCM kuchapisha form moja hali inajua kwa kufanya Hilo Ni kwenda kinyume na takwa la kikatiba. Kwanini wasinge ruhusu Kila Mwenye Nia ya kuchukua form achukue aende ashindwe kwenye kura ya maoni ndani ya chama!
Kwa hiyo Membe ili upate kibali huku upinzanini lazima utuoneshe kwanza namna unavyowasulubu hao Wana CCM wenzako waliokunyima nafasi ya kugombea Urais huku ukiwa umejiandaa kwa muda mrefu na huku unakidhi vigezo vya katiba yenu.
Upinzani tutafeli Sana endapo tutaendelea kuamini Hawa viumbe was kijani kufika chamani na kukabidhiwa nafasi kubwa ya kugombea Urais huku tukiwaacha wafia chama wetu wakitushangaa kwa makosa tunayoyafanya.
Yaani Membe hasipowaburuza mahakamani CCM kwa kosa Hilo walilofanya akakimbilia upinzani hiyo nafasi atakayopewa Ni Bora abaki akisapoti upinzani ila twende na Tundu Lissu au John Heche vijana shupavu wasioogopeshwa na kelele za fisiemu.