Uchaguzi 2020 Upinzani bado wana mentality ya kujaza umati ndiyo kukubalika

Wasalaam,

The same Scenario ya 2015 nimeshangaa sana inajirudia kwa kasi Watu wako wanajadili namna ya wagombea wakipokelewa mikoani kwa umati mkubwa...
CCM bado wana mentality ya kusaidiwa na TISS, Wakurugenzi, Police, TBC na Tume isiyo huru ya Uchaguzi
 
Wasalaam,

The same Scenario ya 2015 nimeshangaa sana inajirudia kwa kasi Watu wako wanajadili namna ya wagombea wakipokelewa mikoani kwa umati mkubwa...
Hawezi kufikia umati wa lowasa hata siku moja.
 
Sasa kama unashinda hapa jf kumshabikia Lisu kwanini usilale na njaa?
Mimi sina shida ya wapi nitakula, no maana ninalima mashamba makubwa tu.

Shida ipo kwenu hasa wewe unaye ishi maisha ya kuramba miguu ili upate ridhiki yako
 
Mkuu hata kura zikihesabiwa na Lisu mwenyewe, hapati zaidi ya asilimia 20

Asilimia 20 nyingi, hata apate moja kwetu ni poa tu, ili mradi ziwe halali. Kama ccm inategemea ushindi mkubwa hivyo, kwanini ilinajisi chaguzi zote za marudio na wa SM?
 
Asilimia 20 nyingi, hata apate moja kwetu ni poa tu, ili mradi ziwe halali. Kama ccm inategemea ushindi mkubwa hivyo, kwanini ilinajisi chaguzi zote za marudio na wa SM?
Ukinajisiwa kivipi?
 
Naona dawa inawaingia vyema kabisa, ccm bye bye bye
emoji112.png
emoji112.png
emoji112.png
@Troll JF kaleta mada ya maana kwa wapinzani Ila mmeishia kumkejeli na kumdhihaki.

Hakuna asiyeifahamu Chadema au kumjua Lisu. Wengi wangependa kumpa Lisu kura Ila je Chadema mnauwezo wa kulinda hizo kura hadi mwisho? Au mnasubiri kuja kulalamika kuwa mmeibiwa kura zenu baada ya October?

Amekuwa mungwana kiasi cha kuwaonesha sehemu mtakapochinjiwa lkn nyie mnabweteka na mafuriko Kama ilivyokuwa 2015.....ama kweli tukutane baada ya October.
 
Mkuu, hakuna uchaguzi mwepesi kwa CCM kama huu!

Nmeona raia wengi sana wanamshangaa Lisu!

Ukitaka kujua hilo nenda kwenye coment za raia uone wanasemaje kuhusu Lisu, hasa kwenye page za BBC, VoA na DW.
Kiufupi Lisu hana mtaji wa watu nje ya chama chake.

Achana na wanaopiga kelele humu JF!
twende twita sasa
 
Wasalaam,

The same Scenario ya 2015 nimeshangaa sana inajirudia kwa kasi Watu wako wanajadili namna ya wagombea wakipokelewa mikoani kwa umati mkubwa.

CHADEMA mna cha kujifunza uchaguzi wa Mwaka 2015 ila ni dhahiri mmeonekana kuyasahau mafunzo hayo hadi sasa Mnamuona Lissu ndiye mshindi na Kuangali miji aliyotembelea na Kupima kura zake kwa Umati.

Uzi tayari, Tukutane Oktoba 28 kila mtu ashinde mechi zake.

From Tallying Centre

View attachment 1534443View attachment 1534443
Mimi naomba waendelee kujiaminisha hivyo bila kujua kuwa Uchaguzi ni Sayansi.
 
Nilitegemea KBS Uzi uwe mfupi. Mimi na wewe tunajua kwanini. Mlipokua mnatamba kwamba magufuli asimamishwa na maelfu ya tu barabarani mlimaanisha Nini kusema wingi wa watu?
 
Wasalaam,

The same Scenario ya 2015 nimeshangaa sana inajirudia kwa kasi Watu wako wanajadili namna ya wagombea wakipokelewa mikoani kwa umati mkubwa.

CHADEMA mna cha kujifunza uchaguzi wa Mwaka 2015 ila ni dhahiri mmeonekana kuyasahau mafunzo hayo hadi sasa Mnamuona Lissu ndiye mshindi na Kuangali miji aliyotembelea na Kupima kura zake kwa Umati.

Uzi tayari, Tukutane Oktoba 28 kila mtu ashinde mechi zake.

From Tallying Centre

View attachment 1534443View attachment 1534443
Wali wa kushiba utauona kwenye sahani
 
Back
Top Bottom