Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,891
- 33,450
Sasa kama unashinda hapa jf kumshabikia Lisu kwanini usilale na njaa?Eti maendereeeooo, wakati watu wanalala na njaaa
Sasa kama unashinda hapa jf kumshabikia Lisu kwanini usilale na njaa?Eti maendereeeooo, wakati watu wanalala na njaaa
CCM bado wana mentality ya kusaidiwa na TISS, Wakurugenzi, Police, TBC na Tume isiyo huru ya UchaguziWasalaam,
The same Scenario ya 2015 nimeshangaa sana inajirudia kwa kasi Watu wako wanajadili namna ya wagombea wakipokelewa mikoani kwa umati mkubwa...
Hawezi kufikia umati wa lowasa hata siku moja.Wasalaam,
The same Scenario ya 2015 nimeshangaa sana inajirudia kwa kasi Watu wako wanajadili namna ya wagombea wakipokelewa mikoani kwa umati mkubwa...
Nyani haoni kundule.Wasalaam,
The same Scenario ya 2015 nimeshangaa sana inajirudia kwa kasi Watu wako wanajadili namna ya wagombea wakipokelewa mikoani kwa umati mkubwa....
Mimi sina shida ya wapi nitakula, no maana ninalima mashamba makubwa tu.Sasa kama unashinda hapa jf kumshabikia Lisu kwanini usilale na njaa?
Habari ya mujini kwa sasa ni LissuHawezi kufikia umati wa lowasa hata siku moja.
Hiyo habali yenu kwa sasa ila yatakopo kuja mafuliko najua hamtakosa visingizio,Habari ya mujini kwa sasa ni Lissu
Mkuu hata kura zikihesabiwa na Lisu mwenyewe, hapati zaidi ya asilimia 20
Ukinajisiwa kivipi?Asilimia 20 nyingi, hata apate moja kwetu ni poa tu, ili mradi ziwe halali. Kama ccm inategemea ushindi mkubwa hivyo, kwanini ilinajisi chaguzi zote za marudio na wa SM?
@Troll JF kaleta mada ya maana kwa wapinzani Ila mmeishia kumkejeli na kumdhihaki.Naona dawa inawaingia vyema kabisa, ccm bye bye bye
twende twita sasaMkuu, hakuna uchaguzi mwepesi kwa CCM kama huu!
Nmeona raia wengi sana wanamshangaa Lisu!
Ukitaka kujua hilo nenda kwenye coment za raia uone wanasemaje kuhusu Lisu, hasa kwenye page za BBC, VoA na DW.
Kiufupi Lisu hana mtaji wa watu nje ya chama chake.
Achana na wanaopiga kelele humu JF!
Mimi naomba waendelee kujiaminisha hivyo bila kujua kuwa Uchaguzi ni Sayansi.Wasalaam,
The same Scenario ya 2015 nimeshangaa sana inajirudia kwa kasi Watu wako wanajadili namna ya wagombea wakipokelewa mikoani kwa umati mkubwa.
CHADEMA mna cha kujifunza uchaguzi wa Mwaka 2015 ila ni dhahiri mmeonekana kuyasahau mafunzo hayo hadi sasa Mnamuona Lissu ndiye mshindi na Kuangali miji aliyotembelea na Kupima kura zake kwa Umati.
Uzi tayari, Tukutane Oktoba 28 kila mtu ashinde mechi zake.
From Tallying Centre
View attachment 1534443View attachment 1534443
Wali wa kushiba utauona kwenye sahaniWasalaam,
The same Scenario ya 2015 nimeshangaa sana inajirudia kwa kasi Watu wako wanajadili namna ya wagombea wakipokelewa mikoani kwa umati mkubwa.
CHADEMA mna cha kujifunza uchaguzi wa Mwaka 2015 ila ni dhahiri mmeonekana kuyasahau mafunzo hayo hadi sasa Mnamuona Lissu ndiye mshindi na Kuangali miji aliyotembelea na Kupima kura zake kwa Umati.
Uzi tayari, Tukutane Oktoba 28 kila mtu ashinde mechi zake.
From Tallying Centre
View attachment 1534443View attachment 1534443
Ukinajisiwa kivipi?