Uchaguzi 2020 Upinzani bado wana mentality ya kujaza umati ndiyo kukubalika

Wasalaam,

The same Scenario ya 2015 nimeshangaa sana inajirudia kwa kasi Watu wako wanajadili namna ya wagombea wakipokelewa mikoani kwa umati mkubwa.

CHADEMA mna cha kujifunza uchaguzi wa Mwaka 2015 ila ni dhahiri mmeonekana kuyasahau mafunzo hayo hadi sasa Mnamuona Lissu ndiye mshindi na Kuangali miji aliyotembelea na Kupima kura zake kwa Umati.

Uzi tayari, Tukutane Oktoba 28 mtu ashinde mechi zake.

From Tallying Centre
View attachment 1534443View attachment 1534443
Mnahamisha magoli mlisema CDM imekufa baada ya kuona nyomi la mikoani mmeanza kutafuta visingizio vingine,
Kwa taarifa yenu tume iwe huru! Isiwe huru! Lisu atashinda na kutangazwa
 
Mkuu, hakuna uchaguzi mwepesi kwa ccm kama huu!

Nmeona raia wengi sana wanamshangaa Lisu!

Ukitaka kujua hilo nenda kwenye coment za raia uone wanasemaje kuhusu Lisu, hasa kwenye page za BBC, VoA na DW.
Kiufupi Lisu hana mtaji wa watu nje ya chama chake.

Achana na haya mazombie yanayopiga kelele humu JF!

Nahisi unazungumzia jeshi la mtandaoni la MATAGA na System wanaotumwa mitandaoni ili kushape public opinion in favor ya CCM na serikali.
Achana na zile comments, zipo. kwa lengo maalum
 
Kama mmeshindwa kujifunza kwa NCCR, CUF TLP walivyowahi kuwa na mafuriko ya watu lkn walizoofika nisiseme kufa pia mkashindwa kujifunza mafuriko ya 2015 basi nyie ni zaidi ya sikio la kufa.
Hizo ni zama za mawe ..unaongelea vyama rafiki wa ccm unavifananisha na chadema?? Punguza kutukosea heshima mkuu
 
Mkuu, hakuna uchaguzi mwepesi kwa ccm kama huu!

Nmeona raia wengi sana wanamshangaa Lisu!

Ukitaka kujua hilo nenda kwenye coment za raia uone wanasemaje kuhusu Lisu, hasa kwenye page za BBC, VoA na DW.
Kiufupi Lisu hana mtaji wa watu nje ya chama chake.

Achana na haya mazombie yanayopiga kelele humu JF!
Lowassa alishinda 2015 kwa 62% mkaiba ila kwa Lissu maji mtaita mma
 
Wasalaam,

The same Scenario ya 2015 nimeshangaa sana inajirudia kwa kasi Watu wako wanajadili namna ya wagombea wakipokelewa mikoani kwa umati mkubwa.

CHADEMA mna cha kujifunza uchaguzi wa Mwaka 2015 ila ni dhahiri mmeonekana kuyasahau mafunzo hayo hadi sasa Mnamuona Lissu ndiye mshindi na Kuangali miji aliyotembelea na Kupima kura zake kwa Umati.

Uzi tayari, Tukutane Oktoba 28 kila mtu ashinde mechi zake.

From Tallying Centre
View attachment 1534443View attachment 1534443
WAKIWA KIDUCHU MNASEMA WAMEFULIA WAKIJAZA UMATI WA WATU MNALETA HOJA KAMA HIZI.
HIVI MNATAKA HAWA WATU WAFANYAJE SIASA ZAO?
 
Wasalaam,

The same Scenario ya 2015 nimeshangaa sana inajirudia kwa kasi Watu wako wanajadili namna ya wagombea wakipokelewa mikoani kwa umati mkubwa.

CHADEMA mna cha kujifunza uchaguzi wa Mwaka 2015 ila ni dhahiri mmeonekana kuyasahau mafunzo hayo hadi sasa Mnamuona Lissu ndiye mshindi na Kuangali miji aliyotembelea na Kupima kura zake kwa Umati.

Uzi tayari, Tukutane Oktoba 28 kila mtu ashinde mechi zake.

From Tallying Centre
View attachment 1534443View attachment 1534443


Watu wa usalama wote tunawajua fanyeni Kazi kwa nchi sio matumbo yenu 🤣
 
Wasalaam,

The same Scenario ya 2015 nimeshangaa sana inajirudia kwa kasi Watu wako wanajadili namna ya wagombea wakipokelewa mikoani kwa umati mkubwa.

CHADEMA mna cha kujifunza uchaguzi wa Mwaka 2015 ila ni dhahiri mmeonekana kuyasahau mafunzo hayo hadi sasa Mnamuona Lissu ndiye mshindi na Kuangali miji aliyotembelea na Kupima kura zake kwa Umati.

Uzi tayari, Tukutane Oktoba 28 kila mtu ashinde mechi zake.

From Tallying Centre
View attachment 1534443View attachment 1534443
Kwa hiyo unataka kusema dalili ya kushinda ni kutokuwepo watu kwenye mikutano ya mgombea?

Lowasa hakushindwa uchaguzi bali hakutangazwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1534553View attachment 1534550View attachment 1534551View attachment 1534552View attachment 1534555
Screenshot_20200811-183727.jpg
View attachment 1534554
 
Wasalaam,

The same Scenario ya 2015 nimeshangaa sana inajirudia kwa kasi Watu wako wanajadili namna ya wagombea wakipokelewa mikoani kwa umati mkubwa.

CHADEMA mna cha kujifunza uchaguzi wa Mwaka 2015 ila ni dhahiri mmeonekana kuyasahau mafunzo hayo hadi sasa Mnamuona Lissu ndiye mshindi na Kuangali miji aliyotembelea na Kupima kura zake kwa Umati.

Uzi tayari, Tukutane Oktoba 28 kila mtu ashinde mechi zake.

From Tallying Centre
View attachment 1534443View attachment 1534443
https://www.jamiiforums.com/threads...a-hata-kuchangia-mijadala-ya-kisiasa.1347881/
 
Kwa taarifa tu sasa hata mikutano yao imebuma Kuanzia ule wa kuchukua fomu Dodoma na kuendelea.

Kwa mfano ile mikutano ya Jana Kahama na Shinyanga walikosa watu kabisa ilawalazimu wapige picha sehemu yenye watu wenginili waonekane wanaungwa mkono.
 
Wasalaam,

The same Scenario ya 2015 nimeshangaa sana inajirudia kwa kasi Watu wako wanajadili namna ya wagombea wakipokelewa mikoani kwa umati mkubwa.

CHADEMA mna cha kujifunza uchaguzi wa Mwaka 2015 ila ni dhahiri mmeonekana kuyasahau mafunzo hayo hadi sasa Mnamuona Lissu ndiye mshindi na Kuangali miji aliyotembelea na Kupima kura zake kwa Umati.

Uzi tayari, Tukutane Oktoba 28 kila mtu ashinde mechi zake.

From Tallying Centre
View attachment 1534443View attachment 1534443
Mentality ya CCM iyo Lisu alipoenda kuchukua fomu
 
Mkuu, hakuna uchaguzi mwepesi kwa ccm kama huu!

Nmeona raia wengi sana wanamshangaa Lisu!

Ukitaka kujua hilo nenda kwenye coment za raia uone wanasemaje kuhusu Lisu, hasa kwenye page za BBC, VoA na DW.
Kiufupi Lisu hana mtaji wa watu nje ya chama chake.

Achana na haya mazombie yanayopiga kelele humu JF!
Comments hazipigi kura wewe msichana mzuri
 
Wakati Lowassa akikusanya hao watu alikuta mazingira ya kisiasa mazuri mara 700 ya sasa, hakukuwa na kundi la magu la watu wasiojulikana, alikuta cdm ikiwa imefanya siasa za hamasa kwa miaka mitano mfululizo, alikuwa hajatoka Ubelgiji bila kufanya siasa, hakukuta hii hofu ya kisiasa iliyopo hivi sasa. Kimsingi mlitarajia cdm hii iwe na idadi ya wale watu wanaojitokeza kwenye mikusanyiko ya Hashimu Rungwe.

Na hiki kinachoendelea nina hakika Magu ataiagiza tume ya uchaguzi imtoe huyo game changer, maana roho itakuwa inamuuma sana, watu kwenda kufurika kwa mtu ambaye hajajenga flyover, wala reli.
Mkuu hata kura zikihesabiwa na Lisu mwenyewe, hapati zaidi ya asilimia 20
 
Wasalaam,

The same Scenario ya 2015 nimeshangaa sana inajirudia kwa kasi Watu wako wanajadili namna ya wagombea wakipokelewa mikoani kwa umati mkubwa.

CHADEMA mna cha kujifunza uchaguzi wa Mwaka 2015 ila ni dhahiri mmeonekana kuyasahau mafunzo hayo hadi sasa Mnamuona Lissu ndiye mshindi na Kuangali miji aliyotembelea na Kupima kura zake kwa Umati.

Uzi tayari, Tukutane Oktoba 28 kila mtu ashinde mechi zake.

From Tallying Centre
View attachment 1534443View attachment 1534443
Hivi si tuliambiwa upinzani umekufa? Huo umati unatoka wapi?
 
Back
Top Bottom