RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,614
- 3,903
Hii ni shariti kubwa kabisa na lenye nguvu kabisa katika serikali ya awamu ya sita ambapo upinzani kazi moja waliyopewa ni kusifia maridhiano huku wakichafua uongozi wote wa JPM.
Tayari maelekezo hayo yameshaanza kufanyiwa kazi katika mkutano wa chadema uliofanyika jijini Mwanza. Hata ACT-Wazalendo wameelekezwa hivo ingawa siyo wote wanaokubali shariti hilo la mikutano ya siasa hata CUF na wao wamepewa maelekezo hayo lakini miongoni mwao wanapinga maelekezo hayo kwa kuwa kazi za JPM zinaonekana kwa wananchi.
Upinzani kama wamechukuwa kama agenda yao kuu ya kutukana uongozi uliopita wa JPM wajue kuwa wapo ambao hawatawaelewa labda wavuta bhangi ambao hawafatilii mambo ya nchi.
Nawatakiwa jumapili njema.
Tayari maelekezo hayo yameshaanza kufanyiwa kazi katika mkutano wa chadema uliofanyika jijini Mwanza. Hata ACT-Wazalendo wameelekezwa hivo ingawa siyo wote wanaokubali shariti hilo la mikutano ya siasa hata CUF na wao wamepewa maelekezo hayo lakini miongoni mwao wanapinga maelekezo hayo kwa kuwa kazi za JPM zinaonekana kwa wananchi.
Upinzani kama wamechukuwa kama agenda yao kuu ya kutukana uongozi uliopita wa JPM wajue kuwa wapo ambao hawatawaelewa labda wavuta bhangi ambao hawafatilii mambo ya nchi.
Nawatakiwa jumapili njema.