UPINZANI 2020: Njia za Kwenda Magogoni na Bungeni Zimeota MBIGIRI

Kifyatu

JF-Expert Member
Oct 12, 2010
3,382
3,196
Ndugu zangu wa upinzani, hivi tumefikaje hapa?

Upinzani mahiri uliotikisa chama tawala kabla ya 2015 sasa umesambaratika kiasi hiki cha kurundikwa kundi moja na wakina ACACIA na wahujumu uchumi?

Mliteleza wapi maswahiba wangu?

Najua kuna watu ndani ya upinzani wenye uelewa wa kindani sana kuliko mimi kuhusu mikakati ya kisiasa. Hivyo basi sitathubutu kuwaelekeza cha kufanya ili kuliokoa hili basi la upinzani lisiingie mtaroni.

Ninachoweza kusema tu ni kuwa muwe wakweli kuhusu uchaguzi wa 2020.

Nawasihi msipoteze rasilmali zenu nyingi kwenye kiti cha uraisi. Njia ya kwenda Magogoni imeota mbigiri ndugu zangu. Cut your losses please.

Nafikiri pia muangalie ni viti gani vya ubunge vinapaswa kupiganiwa kwa nguvu zote - hapa sina uhakika. Madiwani wapiganiwe kwa nguvu zote na pengine resources nyingi zinaweza kuelekezwa huko.

Kwa sasa tafuteni mikakati mbadala (counter narratives) ya kuwaletea wananchi maendeleo na sio kufuata chambo cha kupinga maamuzi yote ya raisi Magufuli.

Labda hiki hamtakifurahia lakini Raisi Magufuli is for real. He is not fake and is resolute in his governance. Watanzania wamekiona hiki na kwa kumpinga wholesale ni kuwapinga Watanzania. Don't do it.

La mwisho.
Kuna vijana wenu mumewaweka huku mtandaoni kujibu mapigo. Wengi wa hawa ni marika ya wajukuu au watoto wetu. Huwezi kuamini mitusi tunayozabwa nayo. I guess hii ndio price ya kushiriki kwenye anonymous social media kama JF. Mimi binafsi, hayaniumizi hata kidogo. Tatizo ni kuwa sijui wengine wanalichukuliaje.

This is neither here nor there. Nitaliacha kama lilivyo.

Mimi sina chama. Chukueni kinachowafaa, tupeni yaliyobaki.

Wa-khatab-a-hu
Kifyatu.
 
Ndugu zangu wa upinzani, hivi tumefikaje hapa?

Upinzani mahiri uliotikisa chama tawala kabla ya 2015 sasa umesambaratika kiasi hiki cha kurundikwa kundi moja na wakina ACACIA na wahujumu uchumi?

Mliteleza wapi maswahiba wangu?

Najua kuna watu ndani ya upinzani wenye uelewa wa kindani sana kuliko mimi kuhusu mikakati ya kisiasa. Hivyo basi sitathubutu kuwaelekeza cha kufanya ili kuliokoa hili basi la upinzani lisiingie mtaroni.

Ninachoweza kusema tu ni kuwa muwe wakweli kuhusu uchaguzi wa 2020.

Nawasihi msipoteze rasilmali zenu nyingi kwenye kiti cha uraisi. Njia ya kwenda Magogoni imeota mbigiri ndugu zangu. Cut your losses please.

Nafikiri pia muangalie ni viti gani vya ubunge vinapaswa kupiganiwa kwa nguvu zote - hapa sina uhakika. Madiwani wapiganiwe kwa nguvu zote na pengine resources nyingi zinaweza kuelekezwa huko.

Kwa sasa tafuteni mikakati mbadala (counter narratives) ya kuwaletea wananchi maendeleo na sio kufuata chambo cha kupinga maamuzi yote ya raisi Magufuli.

Labda hiki hamtakifurahia lakini Raisi Magufuli is for real. He is not fake and is resolute in his governance. Watanzania wamekiona hiki na kwa kupinga wholesale ni kuwapinga Watanzania. Don't do it.

La mwisho.
Kuna vijana wenu mumewaweka huku mtandaoni kujibu mapigo. Wengi wa hawa ni marika ya wajukuu au watoto wetu. Huwezi kuamini mitusi tunayozabwa nayo. I guess hii ndio price ya kushiriki kwenye anonymous social media kama JF. Mimi binafsi, hayaniumizi hata kidogo. Tatizo ni kuwa sijui wengine wanalichukuliaje.

This is neither here nor there. Nitaliacha kama lilivyo.

Mimi sina chama. Chukueni kinachowafaa, tupeni yaliyobaki.

Wa-khtab-a-hu
Kifyatu.

4c9d6539b744912aba0dd70a13b0bcfb.jpg
 
Infact Leo huwez sikia Mada yoyote ya kukosoa Maana think tank wao hajakosoa
Kwny twitter yake kaunga mkono
Ila kesho kukicha akishaambiwa na Mbowe kuwa tumepoteza credit kwa kuunga hoja Za JPM ndipo atabadilika na kuanzia hapo atapost vitu vya ajabu.. IT IS THEN UTAWAONA watakavyojitokeza kuunga mkono kwa mkurupuko kwa kila upuuzi na kutuko atakachokisema think tank wao.. So far akil kwa sasa ziko stagnant Maana hajazifungua mwenye ufunguo
 
Hivi kwenye ile list ya watu waliolisababishia hasara kubwa taifa letu kuna mpinzani!! ?? Yaani mtu unakuja hapa unapost utumbo tu!!!! Urghhhhhhh!!!!!
 
Infact Leo huwez sikia Mada yoyote ya kukosoa Maana think tank wao hajakosoa
Kwny twitter yake kaunga mkono
Ila kesho kukicha akishaambiwa na Mbowe kuwa tumepoteza credit kwa kuunga hoja Za JPM ndipo atabadilika na kuanzia hapo atapost vitu vya ajabu.. IT IS THEN UTAWAONA watakavyojitokeza kuunga mkono kwa mkurupuko kwa kila upuuzi na kutuko atakachokisema think tank wao.. So far akil kwa sasa ziko stagnant Maana hajazifungua mwenye ufunguo
Hahaaa kama nauona ukweli flani ktk hoja yako.
 
Kwani watakuelewa hao wahuni waliotymwa au waliojitolea kutetea fikra za mwenyekiti Mbowe au Fikra za Lissu? Tusubiri muda ndio jibu..
 
Tunahitaji bunge lenye walau 50-50, hatutaki bunge la wale jamaa wapiga makofi na wazee wa ndio kila mara. Huko mbelez mabunge mengi yapo balanced, bunge letu lina waliokunywa maji ya kijani...
 
Hawa jamaa sio. Wanapinga mpaka kutetea maslahi ya nchi? ila mhe mwiguru alisema kua kwenye kupigania maslahi ya nchi hakuna siasa.
 
upinzani bongo ni kiboko kwani lazima kila kitu wapinge? just saying!!!! sasa saa hivi wanalalamika kuwa waliofanya hivyo CCM so what?? soo magufuli asipaganie kisa ni ccm ...in either way inabidi tumove forward tupiganie kile tulichopoteza kwasababu hawajapoteza tuu ccm tumepoteza wote...tuachane na ushabiki wa kisiasa usiofaa
 
Wanajipanga watoke vipi, subiri kesho, utasikia kila aina ya ngonjera. Tatizo wanajitahidi kuliziba jua kwa ungo
 
[HASHTAG]#RipotiYaKwanza[/HASHTAG]

Lissu: Tusihangaike na udongo, tuhangaike na mikataba na sheria mbovu za madini zilizotufikisha hapa. Tuangalie tulipojikwaa, tusiangalie tulipoangukia.

CCM: Lissu analinda wezi. Mikataba na sheria za madini hazina shida. Shida ipo kwenye udongo wenye makinikia. Tumeibiwa sana kwenye udongo. Hatukubali.

[HASHTAG]#RipotiYaPili[/HASHTAG]

JPM: Tumelogwa na nani? Watanzania tumeibiwa sana. Naagiza mikataba yote na sheria zote za madini zipitiwe upya.

CCM: Rais wetu mzalendo. Amefanya kazi kubwa sana. Tumuombee.!!

[HASHTAG]#MyTake[/HASHTAG]:
Lugha ileile aliyoongea Lissu akaambiwa amehongwa, ndiyo aliyoongea JPM leo akaitwa mzalendo. Akili za CCM kama kifurushi cha jaza ujazwe .!!!! C & P
 
  • Thanks
Reactions: Ebe
Ndugu zangu wa upinzani, hivi tumefikaje hapa?

Upinzani mahiri uliotikisa chama tawala kabla ya 2015 sasa umesambaratika kiasi hiki cha kurundikwa kundi moja na wakina ACACIA na wahujumu uchumi?

Mliteleza wapi maswahiba wangu?

Najua kuna watu ndani ya upinzani wenye uelewa wa kindani sana kuliko mimi kuhusu mikakati ya kisiasa. Hivyo basi sitathubutu kuwaelekeza cha kufanya ili kuliokoa hili basi la upinzani lisiingie mtaroni.

Ninachoweza kusema tu ni kuwa muwe wakweli kuhusu uchaguzi wa 2020.

Nawasihi msipoteze rasilmali zenu nyingi kwenye kiti cha uraisi. Njia ya kwenda Magogoni imeota mbigiri ndugu zangu. Cut your losses please.

Nafikiri pia muangalie ni viti gani vya ubunge vinapaswa kupiganiwa kwa nguvu zote - hapa sina uhakika. Madiwani wapiganiwe kwa nguvu zote na pengine resources nyingi zinaweza kuelekezwa huko.

Kwa sasa tafuteni mikakati mbadala (counter narratives) ya kuwaletea wananchi maendeleo na sio kufuata chambo cha kupinga maamuzi yote ya raisi Magufuli.

Labda hiki hamtakifurahia lakini Raisi Magufuli is for real. He is not fake and is resolute in his governance. Watanzania wamekiona hiki na kwa kupinga wholesale ni kuwapinga Watanzania. Don't do it.

La mwisho.
Kuna vijana wenu mumewaweka huku mtandaoni kujibu mapigo. Wengi wa hawa ni marika ya wajukuu au watoto wetu. Huwezi kuamini mitusi tunayozabwa nayo. I guess hii ndio price ya kushiriki kwenye anonymous social media kama JF. Mimi binafsi, hayaniumizi hata kidogo. Tatizo ni kuwa sijui wengine wanalichukuliaje.

This is neither here nor there. Nitaliacha kama lilivyo.

Mimi sina chama. Chukueni kinachowafaa, tupeni yaliyobaki.

Wa-khatab-a-hu
Kifyatu.
IMG-20170610-WA0034.jpg
 
Ndugu zangu wa upinzani, hivi tumefikaje hapa?

Upinzani mahiri uliotikisa chama tawala kabla ya 2015 sasa umesambaratika kiasi hiki cha kurundikwa kundi moja na wakina ACACIA na wahujumu uchumi?

Mliteleza wapi maswahiba wangu?

Najua kuna watu ndani ya upinzani wenye uelewa wa kindani sana kuliko mimi kuhusu mikakati ya kisiasa. Hivyo basi sitathubutu kuwaelekeza cha kufanya ili kuliokoa hili basi la upinzani lisiingie mtaroni.

Ninachoweza kusema tu ni kuwa muwe wakweli kuhusu uchaguzi wa 2020.

Nawasihi msipoteze rasilmali zenu nyingi kwenye kiti cha uraisi. Njia ya kwenda Magogoni imeota mbigiri ndugu zangu. Cut your losses please.

Nafikiri pia muangalie ni viti gani vya ubunge vinapaswa kupiganiwa kwa nguvu zote - hapa sina uhakika. Madiwani wapiganiwe kwa nguvu zote na pengine resources nyingi zinaweza kuelekezwa huko.

Kwa sasa tafuteni mikakati mbadala (counter narratives) ya kuwaletea wananchi maendeleo na sio kufuata chambo cha kupinga maamuzi yote ya raisi Magufuli.

Labda hiki hamtakifurahia lakini Raisi Magufuli is for real. He is not fake and is resolute in his governance. Watanzania wamekiona hiki na kwa kupinga wholesale ni kuwapinga Watanzania. Don't do it.

La mwisho.
Kuna vijana wenu mumewaweka huku mtandaoni kujibu mapigo. Wengi wa hawa ni marika ya wajukuu au watoto wetu. Huwezi kuamini mitusi tunayozabwa nayo. I guess hii ndio price ya kushiriki kwenye anonymous social media kama JF. Mimi binafsi, hayaniumizi hata kidogo. Tatizo ni kuwa sijui wengine wanalichukuliaje.

This is neither here nor there. Nitaliacha kama lilivyo.

Mimi sina chama. Chukueni kinachowafaa, tupeni yaliyobaki.

Wa-khatab-a-hu
Kifyatu.
Zungusheni madish yakae sawa
Magu kawasaidia wapinzani wakawaeleze waliowabeza wakitoka bungeni wakati wa uoitishwaji wa sheria za wizi huku anayejiita mpambanaji sasa akiwa mmoja wa wapitishaji.

Nampongeza kwa kuminye domokrasia angejuta kuchukuwa fomu na kugombea na hata urais angeyamani auache
Anayaishi na kutumia maneno ya wapinzani mazuzu mnaona kuna anachofanya
Anamtaja Karamagi kwani hakuwepo bungeni wakati Zitto anamtaja na kufukuzwa ?
Anakubali mapendekezo kuzipitia sheria hakuwepo wapinzani waliokuwa wanazilalamikia ?
Sijui nani kawaroga in maguz voice
 
Ndugu zangu wa upinzani, hivi tumefikaje hapa?

Upinzani mahiri uliotikisa chama tawala kabla ya 2015 sasa umesambaratika kiasi hiki cha kurundikwa kundi moja na wakina ACACIA na wahujumu uchumi?

Mliteleza wapi maswahiba wangu?

Najua kuna watu ndani ya upinzani wenye uelewa wa kindani sana kuliko mimi kuhusu mikakati ya kisiasa. Hivyo basi sitathubutu kuwaelekeza cha kufanya ili kuliokoa hili basi la upinzani lisiingie mtaroni.

Ninachoweza kusema tu ni kuwa muwe wakweli kuhusu uchaguzi wa 2020.

Nawasihi msipoteze rasilmali zenu nyingi kwenye kiti cha uraisi. Njia ya kwenda Magogoni imeota mbigiri ndugu zangu. Cut your losses please.

Nafikiri pia muangalie ni viti gani vya ubunge vinapaswa kupiganiwa kwa nguvu zote - hapa sina uhakika. Madiwani wapiganiwe kwa nguvu zote na pengine resources nyingi zinaweza kuelekezwa huko.

Kwa sasa tafuteni mikakati mbadala (counter narratives) ya kuwaletea wananchi maendeleo na sio kufuata chambo cha kupinga maamuzi yote ya raisi Magufuli.

Labda hiki hamtakifurahia lakini Raisi Magufuli is for real. He is not fake and is resolute in his governance. Watanzania wamekiona hiki na kwa kupinga wholesale ni kuwapinga Watanzania. Don't do it.

La mwisho.
Kuna vijana wenu mumewaweka huku mtandaoni kujibu mapigo. Wengi wa hawa ni marika ya wajukuu au watoto wetu. Huwezi kuamini mitusi tunayozabwa nayo. I guess hii ndio price ya kushiriki kwenye anonymous social media kama JF. Mimi binafsi, hayaniumizi hata kidogo. Tatizo ni kuwa sijui wengine wanalichukuliaje.

This is neither here nor there. Nitaliacha kama lilivyo.

Mimi sina chama. Chukueni kinachowafaa, tupeni yaliyobaki.

Wa-khatab-a-hu
Kifyatu.
We ni Kifyatu kwelikweli. Hivi inawezekanaje mtu mzima ukaanza kuwaza mambo ya 2020 kwa mazamo wa kitoto hivyo!?. Kuna mambo mangapi hapa kati mpaka kufika huko unakokusema!? Ndio kusema hujui kwamba mtu anaweza kujenga heshima yake kwa muda mrefu sana Ila akaja iharibu kwa sekunde!? Kama huna chama kaa kimya,kila chama kina utaratibu wa kupeana ushauri.
 
Lakini unafikiri upinzani wanaweza kumng'oa Magufuli ifikapo 2020? Kama unafikiri hivyo haya, labda sina nijualo.
Kwa msaada wa polisi Magu atabaki lakini kidemokrasia hana cha kumbakisha
Hizi kiki za kitoto ni kwa ninyi uzao wa wale walioamini maji yanayeshusha risasi enzi za Kinjeketile Ngwale
Ni ninyi ninyi Mafisiemu
 
Back
Top Bottom