Upimaji wa mipaka:malawi vs tz boundaries

Njowepo

JF-Expert Member
Feb 26, 2008
9,711
2,226
Nasikia kesho ile ndege ya mama Tibaijuka itakuwa ikivinjari maeneo ya ziwa nyasa kuweka sawa suala la mpaka kwa mujibu wa mmoja wa wananchi aliyesikia tangazo la kuwataka wananchi wasiwe na hofu iyo ndege ikiwa inapita!
my take
Ni uamuzi wa busara sana huo kama inchi,ingawa malawi ataendelea kulalamika ila itamfanya ajue kuwa we are serious on this issue na ikiwezekana tutawapa coordinates za mpaka ili kuonesha ujirani mwema na kuwa hatuna hiyana nao
 
Wamewapa malawi taarifa kuwa wanaweka sawa mpaka i.e kudetermine coordinates za huo mpaka? Au wanajifanyia 2,malawi wanatakiwa wawe na hizo taarifa 4fair game!
 
Wamewapa malawi taarifa kuwa wanaweka sawa mpaka i.e kudetermine coordinates za huo mpaka? Au wanajifanyia 2,malawi wanatakiwa wawe na hizo taarifa 4fair game!

Huitaji kumpa taarifa jirani juu ya unachokifanya nyumbani kwako
 
Malawi hatakiwi pewa taarifa ndo ajue Tz tukiamua tunaweza tena baada ya apo tunaweka maboya ole wake mtu akatize!
Malawi ni kama mkoa kwetu so lazima afuate mkubwa anachosema au afuate mwongozo wa mkubwa!
Maana kama ata mazungumzo wanasusia then we need to proceed on our own baadae watatujoin tuu!
 
1465571771900.jpg
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom