Hakuna TFDA...mamlaka hiyo imehamia TBS.. akushauri anzia SIDO..watakua palekezo mazuri kabla ya kwenda TBS.Habar wakuu Nina bidhaa yangu ya kutoa madoa na sugu mwilin ,nimeambiwa siwez uza mpk ithibitishwe na TFDA
Nauliza inacost kias gan kupima bidhaa yako na inachukua muda gan