FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,052
- 40,715
Naomba kufahamu tofauti za kisheria zinazopelekea ng'ombe 6,000 walioingizwa kinyume cha sheria toka Uganda kupigwa mnada na vifaranga 6,000 vilivyoingizwa kinyume cha sheria kutoka Kenya kuchomwa moto. Naomba ufafanuzi wa kisheria tafadhali.