Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Wazee,
Nimemsikia Mhe. Kafulila kwenye matangazo ya Dira ya Dunia ya Idhaa ya Kiswahili BBC leo akieleza mpango wake wa kupeleka hoja bungeni ili wabunge wapige kura ya kutokuwa na imani na serikali. Naomba wataalam wa sheria hususani kwenye masuala ya bunge watuelimishe kidogo kuhusu mpango huu. Kwa kuangalia bunge letu la sasa, hivi kweli mpango huu wa Mhe. Kafulila unaweza ukainyima usingizi serikali?
Tafadhali karibu kwa mawazo.
Nimemsikia Mhe. Kafulila kwenye matangazo ya Dira ya Dunia ya Idhaa ya Kiswahili BBC leo akieleza mpango wake wa kupeleka hoja bungeni ili wabunge wapige kura ya kutokuwa na imani na serikali. Naomba wataalam wa sheria hususani kwenye masuala ya bunge watuelimishe kidogo kuhusu mpango huu. Kwa kuangalia bunge letu la sasa, hivi kweli mpango huu wa Mhe. Kafulila unaweza ukainyima usingizi serikali?
Tafadhali karibu kwa mawazo.