Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 7,667
- 12,289
Honi zinatukata stimu ya kupiga cha asubuhi.Kero nyingine ni school bus ahsubuhi saa 11 zinapiga honi sana kwenye point zinapowachukulia watoto
Wawe na adabu aisee.!
Honi zinatukata stimu ya kupiga cha asubuhi.Kero nyingine ni school bus ahsubuhi saa 11 zinapiga honi sana kwenye point zinapowachukulia watoto
Hao ni ushamba kama siyo bangi zinazowasumbuaHuu ujinga wa honi hadi kwenye foleni.Sielewi kabisa busara ya kupigia honi gari liliopo mbele yako.
sasa mkuu unataka tuanze kuita kwa mdumooo?Kero nyingine ni school bus ahsubuhi saa 11 zinapiga honi sana kwenye point zinapowachukulia watoto
Miluzi inatoshasasa mkuu unataka tuanze kuita kwa mdumooo?
uko sahihi sana, kwenye jambo la ulinzi umesema kweli kabisa.Habari Wakuu!
Kuna hii tabia ya Watu wanaoishi katika Nyumba zenye mageti, pindi wanapokuwa wanarudi majumbani mwao kuanza kupiga honi (wakati mwingine mfululizo) ili wafunguliwe mageti, hasa hizi nyumba ambazo mageti yake hufunguliwa na Mmojawapo wa mwanafamilia na sio Mlinzi.
Hivi kuna ulazima huo kama humo ndani unapotaka kuingia ni kwako na karibia watu wote wa humo ndani una namba zao za simu? Kuna tatizo lolote ukimpgia simu mmojawao ukiwa nje umesimama au umekaribia kabisa getini kuwa akufungulie?
Ki usalama pia hii nadhani haijakaa vizuri, watu wanaweza kujua umerudi au bado kwa kusikilizia honi zako tu, mana mlio wa honi unaenda mbali kidogo.
Pia ni usumbufu hata kwa majirani hasa nyakati za usiku, kwa maoni yangu upigaji wa simu ni bora zaidi Kuliko ufunguliwe geti kwa kupiga honi.
Naomba kuwakilisha.
Kweli kabisaa wengine wanazidisha mnoo,hii ni kero kubwaa😏Habari Wakuu!
Kuna hii tabia ya Watu wanaoishi katika Nyumba zenye mageti, pindi wanapokuwa wanarudi majumbani mwao kuanza kupiga honi (wakati mwingine mfululizo) ili wafunguliwe mageti, hasa hizi nyumba ambazo mageti yake hufunguliwa na Mmojawapo wa mwanafamilia na sio Mlinzi.
Hivi kuna ulazima huo kama humo ndani unapotaka kuingia ni kwako na karibia watu wote wa humo ndani una namba zao za simu? Kuna tatizo lolote ukimpgia simu mmojawao ukiwa nje umesimama au umekaribia kabisa getini kuwa akufungulie?
Ki usalama pia hii nadhani haijakaa vizuri, watu wanaweza kujua umerudi au bado kwa kusikilizia honi zako tu, mana mlio wa honi unaenda mbali kidogo.
Pia ni usumbufu hata kwa majirani hasa nyakati za usiku, kwa maoni yangu upigaji wa simu ni bora zaidi Kuliko ufunguliwe geti kwa kupiga honi.
Naomba kuwakilisha.