mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,276
- 12,335
Mbunge wa kuchaguliwa ama yule wa viti maalum hukoma kuwa mbunge pale tu akikosa kuwa mwanachama wa chama Cha siasa ama muda wake kuisha au sababu zingine za kisheria zilizo ainishwa katika katiba.
Je inakuwaje kwa akina Bashiru na Polepole?
Nani Mwenye mamlaka ya kuwafuta ubunge kabla bunge halijavunjwa?
Je inakuwaje kwa akina Bashiru na Polepole?
Nani Mwenye mamlaka ya kuwafuta ubunge kabla bunge halijavunjwa?