Upi ni umri sahihi wa mtoto kuacha kuingia chumbani kwa wazazi wake?

napiga hodi, chumba Cha wazazi unataka kwenda kufanya Nini?
K2qni haiwezekani mzazi akakutuma ukamchukulie kitu chumbani kwake pale ambapo yeye ana kazi zingine ?

Au unadhani unaingia tu unapojiskia mtoto ?
Kuna mahitaji gani muhimu unahitaji kwenye chumba Cha wazazi?
Kama mzazi kakutuma ukamchukulie kitu chumbani hilo sio hitaji la muhimu ?
Chumba Ni faragha
Hata choo ni faragha lakini watu wanaingia kwa haja maalumu.

Sehemu kuwa faragha haina maana hakuendeki bali mwana yake kunaendeka kwa haja maalumu.
 
Me mpk sasa naingia chumban kwa wazaz wangu, na stegemei kuacha teh teh.

Huku kwetu hakuna hizo mila potofu, hicho chumba kina nn hata nisiingie 😏
 
Baada ya balehe..zaidi ya hapo unaingia Kama mzazi amekutuma uingie.
 
Tabia ya kupiga hodi Chumba Cha wazazi haiko Sawa sana, maana endapo kama utapiga hodi na ukaona wamekausha basi kichwani mwako Kuna mawazo utayapata kuhusu kinachoendelea humo ndani

Sidhani kama ni sahihi kuwafikilia wazazi wako kuwa muda huo wananyanduana waga kuna heshima flani hivi inapungua endapo mtu unaemuheshimu ukijua siku/muda flani alikuwa ananyanduana

Kwa watoto let's say wa miaka 7 kurudi chini kuingia Chumba za wazazi ni sahihi muda wowote wanaojiskia na mara nyingi Asubui wakati wanajiandaa na kwenda shule unajua tu hawa lazima wataingia tu kutusalimia

kwahiyo ukiwa na watoto wadogo mnapaswa kusitisha shughuri zote za kunyanduana/kulala vibaya/kukaa vibaya/kuweka nguo za ndani vibaya na wakishaenda shule basi na mlango unaufunga kabisa, ila siku za weekend ambazo wapo nyumbani hufungi mlango kabisa na unakuwa wa kwanza kuandaa mazingira coz unajua Leo itakuwa ni ingia Toka

Me nadhani ukisha balehe issue ya kuingia au kuomba ruhusa ya kuingia pale ambapo wazazi wako nje au mmoja wao yupo nje, Kwa Wakati huo waga wanakuwa wamekiandaa Chumba kwa ajili ya wavamizi, na ukiwa mkubwa ata kama unaondoka me nadhani ni Bora kusema tu Kwa sauti, MAMA/MZEE MI NATOKAAAA
 
Mimi kwenye chumba cha wazazi nimeingia sana nikastaafu mwenyewe nilipoanza form 1.

Tena kama nikiwa na hela enzi zile nilikuwa naenda kuficha kwenye chumba cha mama, hapo najua usalama 100%.
 
Mtoto wa kike muda huwa mrefu kidogo kuliko mtoto wa kiume....

Numbers sijui
 
Chumba Ni faragha jamani, hebu kuweni serious!
Si ndo niliko toka kuna ubaya gani kwenda kupa salimia??? wajameni hivi roho mbaya mpaka mliko toka! mweee! hata ukikuta wana fanya si wao! kwani wanakufanya wewe??…...waambie tu sorry pesa ya shule imeisha!

Then aga ndeleeni!! Binti yangu aliingia ghafla siku moja wkt nafanya!1 wala hata sikuacha niliendelea tu wkt anaongea na mamake huko!! tena ana miak 25 hivi!
 
Si ndo niliko toka kuna ubaya gani kwenda kupa salimia??? wajameni hivi roho mbaya mpaka mliko toka! mweee! hata ukikuta wana fanya si wao! kwani wanakufanya wewe??…...waambie tu sorry pesa ya shule imeisha!

Then aga ndeleeni!! Binti yangu aliingia ghafla siku moja wkt nafanya!1 wala hata sikuacha niliendelea tu wkt anaongea na mamake huko!! tena ana miak 25 hivi!
Hiii ni tea
 
وَإِذَا بَلَغَ ٱلۡأَطۡفَٰلُ مِنكُمُ ٱلۡحُلُمَ فَلۡيَسۡتَـٔۡذِنُواْ كَمَا ٱسۡتَـٔۡذَنَ ٱلَّذِينَ مِن قَبۡلِهِمۡۚ كَذَٰلِكَ يُبَيِّنُ ٱللَّهُ لَكُمۡ ءَايَٰتِهِۦۗ وَٱللَّهُ عَلِيمٌ حَكِيمٞ

(Dr. Mustafa Khattab)
And when your children reach the age of puberty, let them seek permission ˹to come in˺, as their seniors do. This is how Allah makes His revelations clear to you, for Allah is All-Knowing, All-Wise.

(Ali Muhsin Al-Barwani)
Na watoto wanapo fikilia umri wa kubaalighi basi nawatake ruhusa, kama walivyo taka ruhusa wa kabla yao. Hivyo ndivyo anavyo kubainishieni Mwenyezi Mungu Aya zake, na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi Mwenye hikima.

-Surah An-Nur, Ayah 59

Quran inatufundisha hivyo
Ila kiarabu bana eti "kubaaalighi".
 
Kwangu sina kizingiti kabisa. Ila tu mtoto akishaanza kujitegemea hutegemei awe tena nashughuli ya kuingia chumbani. Ni Busara kwangu asubuhi watoto walikuwa wanagonga kutujulia hali nikisema karibu wanafungua mlango. Nisiposema karibu Nikamjibu Tu wanajua kuwa hawatakiwi kuongia. Ndiyo nilivyofundisha. Na muda mwingine nilikuwa natuma chumbani kuniletea kitu. Na kuna mambo Fulani ya kifamilia chumbani kwangu watoto walijua kabati au droo yenye vitu Fulani muhimu. Na kwenye safe kuna list ya vitu vilivyopo na combination keys vimehifadhiwa na watoto walijua vilipohifadhiwa. Hata kwa sasa wanajua maana wote wanajitegemea. Ni muhimu mno kushirikisha watoto wajue arrangement ya chumba chako na chumba kile unachohifadhia vitu muhimu. Narudia ni muhimu mno. Ila angalizo ukiona watoto kitabia siyo poa basi kuna mmoja au wawili washirikishe. Walipokuwa wadogo kabisa walikuwa wanajingiza tu kwa Fujo kama mbuzi🤣🤣🤣 na walikuwa wanaomba zamu za Kulala chumbani mpaka walipofika say 5 yes. Last born alilala Sana chumbani kwetu mpaka nilipomtoa ilikuwa mbinde Sana kusinzia chumbani kwake. Tuna bond kubwa Sana na huyu kuliko wengine japo nao Kwa kweli family bond ni kubwa mno. Ninamshukuru Sana Mungu.
Well understood
 
Back
Top Bottom