safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,161
- 15,836
K2qni haiwezekani mzazi akakutuma ukamchukulie kitu chumbani kwake pale ambapo yeye ana kazi zingine ?napiga hodi, chumba Cha wazazi unataka kwenda kufanya Nini?
Au unadhani unaingia tu unapojiskia mtoto ?
Kama mzazi kakutuma ukamchukulie kitu chumbani hilo sio hitaji la muhimu ?Kuna mahitaji gani muhimu unahitaji kwenye chumba Cha wazazi?
Hata choo ni faragha lakini watu wanaingia kwa haja maalumu.Chumba Ni faragha
Sehemu kuwa faragha haina maana hakuendeki bali mwana yake kunaendeka kwa haja maalumu.