Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 14,497
- 26,991
Tangu miaka 0 hadi kifo ni wakati wa kula bata kamwe usisubiri. Tena ukiona siku imepita bila kula bata ujue utajibu mbele ya Mungu kwanini umepoteza siku aliyokupa.
Mungu mwenyewe alikula bata siku moja tu kwa wiki, wewe ni nani ule kila siku!