successiful dreamer
Senior Member
- Sep 10, 2019
- 103
- 189
Wanajamvi natumaini wote mu wazima wa afya Mwenyezi Mungu katujalia kuiona siku njema ya leo.
Niende moja kwa moja kwenye lengo la kuja kwenu.Kipindi cha nyuma nikiwa bado mdogo nilikua nikisiakia habari nyingi kuhusu pombe.Wapo waliosimulia kua mlevi hadhuriwi na wanga na nyingine nyingi za kusisimua,zenye mazuri na mabaya yake mengi tu.
Sasa kuna watu wengine walienda mbali na kuihusisha pombe na tiba ya magonjwa ya tumbo hasa minyoo.Naomba mnisaidie kuhusu hii hoja je ni kweli pombe inatibu minyoo?Je kama ni kweli ni aina gani inafaa katika matibabu na kwa nini uipendekeze hiyo aina?
Asanteni wakuu nawatakia siku njema sana na ustahimilivu mkubwa katika hiki kipindi kilichojaa matatizo lukuki kuanzia Uviko 19 na tozo za miamala.
Niende moja kwa moja kwenye lengo la kuja kwenu.Kipindi cha nyuma nikiwa bado mdogo nilikua nikisiakia habari nyingi kuhusu pombe.Wapo waliosimulia kua mlevi hadhuriwi na wanga na nyingine nyingi za kusisimua,zenye mazuri na mabaya yake mengi tu.
Sasa kuna watu wengine walienda mbali na kuihusisha pombe na tiba ya magonjwa ya tumbo hasa minyoo.Naomba mnisaidie kuhusu hii hoja je ni kweli pombe inatibu minyoo?Je kama ni kweli ni aina gani inafaa katika matibabu na kwa nini uipendekeze hiyo aina?
Asanteni wakuu nawatakia siku njema sana na ustahimilivu mkubwa katika hiki kipindi kilichojaa matatizo lukuki kuanzia Uviko 19 na tozo za miamala.