sir kiduku
Member
- Oct 12, 2019
- 86
- 213
Salaam wana JF, natumai mu wazima..
Bila ya kupoteza muda ngoja niende moja kwa moja kwenye topic. Naombeni ushauri ni course gani nzuri ya kusoma kati ya hizi.
1.Auto-electronics & Electronics Engineering
2.Biomedical Equipment Engineering
3.Mechanical Engineering
Ipi ni nzuri hapo wakuu ambayo inaweza ikafiti katika kipindi hichi kigumu cha ajira?
NB: Zote ni katika ngazi ya Diploma. Karibuni wakuu kwa ushauri wenu.
Bila ya kupoteza muda ngoja niende moja kwa moja kwenye topic. Naombeni ushauri ni course gani nzuri ya kusoma kati ya hizi.
1.Auto-electronics & Electronics Engineering
2.Biomedical Equipment Engineering
3.Mechanical Engineering
Ipi ni nzuri hapo wakuu ambayo inaweza ikafiti katika kipindi hichi kigumu cha ajira?
NB: Zote ni katika ngazi ya Diploma. Karibuni wakuu kwa ushauri wenu.