Bank bora kwa sasa ni CRDB pia kwa mfuko uliobora kuliko mingine aingie LAPF .... NB. Huu ni ushauri tu pia yeye mwenyew anaweza tembelea tovuti ya SSRA ( huyu ni regulator) wa mifuko ya hifadh ya jamii pamoja na LAPF pia ajitahid kupitia bank performanc report toka BoT pamoja na bank husika then mwisho wa siku ataconclude kwa upande wake
Aombe msaada kwa watu wake wa HR wampe details zaidi kuhusu mufuko ya hifadhi ya jamii sababu ipo inayotoa mikopo ya masomo kama PSPF na ipo inayotoa mikopo ya nyumba..kuhusu bank aangalie bank zenye branch nyingi na ATM Tanzania nzima kama nmb/crdb na zile ambazo ni convenient kupata mkopo wenye riba nafuu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.