Moneyowner
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,423
- 1,251
Mabibi na mabwana hamjambo wote, pole kwa wenye matatizo ya hapa na pale, naomba niende kwenye mada moja kwa moja.
Hivi ni mkoa upi ambao unapambana kila kukicha yawe makazi yako ya kudumu achilia mbali na kwamba umezaliwa huko.
Ila tujikite katika ubora wa manbo yafuatayo:-
1.Huduma za kijamii na miundo mbinu
2.Usalama wa afya na Mali
3.Fursa za kujiongezea kipato na kukuza uchumi binafsi.
4.Gharama za maisha.
5.Hali ya hewa na majanga ya asili.
6. Upatikanaji wa aridhi kwa shughuli mbalimbali za kiuchumi.
Hii naomba iwasadie pia wafanyakazi wanaohamishwa hamishwa, badala ya kujenga nyumba kila wahamishwako. Kama unapapenda pia ulikozaliwa siyo mbaaya.
Karibuni
@darubinpost
Hivi ni mkoa upi ambao unapambana kila kukicha yawe makazi yako ya kudumu achilia mbali na kwamba umezaliwa huko.
Ila tujikite katika ubora wa manbo yafuatayo:-
1.Huduma za kijamii na miundo mbinu
2.Usalama wa afya na Mali
3.Fursa za kujiongezea kipato na kukuza uchumi binafsi.
4.Gharama za maisha.
5.Hali ya hewa na majanga ya asili.
6. Upatikanaji wa aridhi kwa shughuli mbalimbali za kiuchumi.
Hii naomba iwasadie pia wafanyakazi wanaohamishwa hamishwa, badala ya kujenga nyumba kila wahamishwako. Kama unapapenda pia ulikozaliwa siyo mbaaya.
Karibuni
@darubinpost