Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,146
- 34,190
Amesema anauza nini mkuu.Nenda Morogoro ndani ndani,kuna fursa na unafuu wa kupata soko la bidhaa zako
Huenda wino wake ni invisible kwangu.
Amesema anauza nini mkuu.Nenda Morogoro ndani ndani,kuna fursa na unafuu wa kupata soko la bidhaa zako
tuitionHujaitaja Dar kwanini? Nenda kwanza Dar es Salaam upite tuition ya mwaka mmoja ndio ufikirie mambo mengine
dar hamna lolote acha kumpoteza mwenzio...watu wengi wanaishi dar wakiwa na matumaini makubwa ya kufanikiwa lakini mwisho wa siku wanazeeka wakiwa hawana kitu.....watu wamezeeka halafu bado wanajiita waselaHujaitaja Dar kwanini? Nenda kwanza Dar es Salaam upite tuition ya mwaka mmoja ndio ufikirie mambo mengine
Hela aliyo nayo haitoshi hata nauli na malazi ya siku mbili maana huyu lazima awe chokoraa kwa kulala zaidi ya mwezi mitaani. Na kwa baridi ya Mbeya sasa hivi ukilala nje siku mbili UNAKUFAMsigombane,,,,, mwambieni aende mbeya hasa maeneo ya uyole au mbalizi atatoboa
Aje apite kama shuledar hamna lolote acha kumpoteza mwenzio...watu wengi wanaishi dar wakiwa na matumaini makubwa ya kufanikiwa lakini mwisho wa siku wanazeeka wakiwa hawana kitu.....watu wamezeeka halafu bado wanajiita wasela