Kashaija72
JF-Expert Member
- May 18, 2020
- 2,031
- 4,862
Najua sio wewe Ila sikuona ulazima wa kumtag.Mkuu comment #49 sio mie mkuu
Labda umeji mislead
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Najua sio wewe Ila sikuona ulazima wa kumtag.Mkuu comment #49 sio mie mkuu
Labda umeji mislead
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Baba yangu mdogo analima Moro vanilla miaka kama mitano walikuwa wanauza kilo 100k,sasa hivi kilo 20k na kila siku bei inazidi kushuka.Jumamosi ya trh 19 walikuwa hapo Serena wakishawishi Vijana wakalime Vannilla.
Motivation speaker kasema kilo moja Ni laki 9....na kashauri Vijana hii ndio njia pekee ya kututoa kwenye umaskiniBaba yangu mdogo analima Moro vanilla miaka kama mitano walikuwa wanauza kilo 100k,sasa hivi kilo 20k na kila siku bei inazidi kushuka.
Ba Mdogo juzi aliniambia anaing'oa ile mivanila aendelee na kilimo chake cha ndizi.Motivation speaker kasema kilo moja Ni laki 9....na kashauri Vijana hii ndio njia pekee ya kututoa kwenye umaskini
Nakubaliana na wewe kwenye 'contents', ila jaribu kuwatembelea kwa walioko field kwa nini hawasogei?Sasa kama watumiaj ni dunia nzima..wew unalalamika nn kwamba youtubers wanaangaika hawnaa pesa. Hawnaa subscribers?..maana content zao hazina uhalisia.?ndo tunarud palepale...uhalisia ni kitu muhimu sana vinana kwenye project zenu
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂Sasa mbona wanadanganya watu Hawa?Ba Mdogo juzi aliniambia anaing'oa ile mivanila aendelee na kilimo chake cha ndizi.
Sasa hv vijana wanakuwa wachungaji,wanaanzisha makanisa.
Kuna DECI moja inakuja kupitia mgongo wa kilimo Cha Vanilla,Hawa jamaa wanasema vanilla inalipa sana,pesa nje nje,sasa wanataka uwafate wakupe shamba huko njombe ulime!!sasa Cha kuj iuliza kama vanilla ni mgodi wa dhahabu kwanini wao wasilime hayo mashamba wapige pesa wawe na mkwanja mrefu kama Daimond,au Bakheresa!!,
Kwamba wao ni wema na Wana upendo wanataka hayo mamilioni tuyapate wengi ndio maana wanataka kutushirikisha.!!I smell rotten fish,I don't fucking buy it!!!
Hapa nahisi kupigwa za us
Ishu ya kodi na mazingira magum kw a youtubers na online media si zmekuja mwaka jana tu mkuu?..haya hyo miaka ya nyuma vipNakubaliana na wewe kwenye 'contents', ila jaribu kuwatembelea kwa walioko field kwa nini hawasogei?
Madhara ya ukoloni: KUTOAMINIANA ili tusijenge pamoja tujitenge na tusiungane very badDUNIA YA LEO KWENYE UJASIRIAMALI KUNA KITU KINAITWA 'OPM' yaani other people's mind other people's money hapo ndipo vijana wengi walipokwama na mkwamo ni mkubwa kinoma, na wazee siku hizi hawatoi connection tena coz vijana wengi hawaaminiki