MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,172
- 23,975
- Thread starter
- #41
Kama kuja kutalii au kusalimia ndugu na jamaa zake haina tatizo!Upepo utapita ? Subiri Fatou benSouda atue nchini ndio akili itawakaa sawa .
Kama kuja kutalii au kusalimia ndugu na jamaa zake haina tatizo!Upepo utapita ? Subiri Fatou benSouda atue nchini ndio akili itawakaa sawa .
Ni kweli jinai haiozi lakini lazima iwepo jinai inayolingana na vigezo vyake!Jinai haiozi, leo ICC wamesema wanataka kufudua kesi ya Ruto upyaa
Yupi mwenye nafuu inzi au mnyama anaeweza hata kuliwa nyama.unadhani ICC Wanachukua kesi kama wauza machungwa mzee...unajua UFIPA hawakukosea wanachama wenu walivyoitwa manyumbu
Kujipa matumaini yasiyopo ni kupoteza muda na pia ni matumizi mabaya ya fikra!Upepo utapita huku kwetu lakini rafiki zetu wazungu (EU & US) wanafuatilia hii kitu hadi kieleweke na kitaeleweka tu hakuna namna.
Naanza kusikia harufu ya mtu kama si kumugabewa basi itakuwa kugadafiwa kabisa!
Nipo sana. Kwa nini Nife kwa stress??Kumbe upo? Nilifikiri umeshakufa kwa stress za kushindwa uchaguzi mkuu. Pole mkuu!
Yupo, kwa sasa anasubiri Rais Magufuli afikishwe kwenye mahakama ya kimataifa ya uhalifu ili uchaguzi mwingine ufanyike!Kumbe upo? Nilifikiri umeshakufa kwa stress za kushindwa uchaguzi mkuu. Pole mkuu!
Acha tu ifufuliwe mkuu,hawa jamaa wakati Wa kesi yao mashaidi walikufa ktk mazingira ya utata.Jinai haiozi, leo ICC wamesema wanataka kufufua kesi ya Ruto upyaa
Watanzania tukaaambiwa ''tukae mkao wa kula'' kwa sababu ''vielelezo'' na ''vidhibiti'' vimewasilishwa kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC). Maelezo haya yaliwafanya wasiozijua vizuri siasa za Tanzania kuanza kushangilia huku wengine wakitumaini wako mbioni kushuhudia Uchaguzi Mkuu mwingine kwa sababu watawala wa sasa wakiongozwa na Rais Magufuli wanapelekwa gerezani, Uholanzi!
Kitanuka tu punde si punde!Kujipa matumaini yasiyopo ni kupoteza muda na pia ni matumizi mabaya ya fikra!
Afrika ina tabu nyingi sana mkuu, ngoja tuone what will happen, naamini there is a better plan kwa ajili ya watakaokuwa mashahidiAcha tu ifufuliwe mkuu,hawa jamaa wakati Wa kesi yao mashaidi walikufa ktk mazingira ya utata.
Huku kwetu kama kesi itafunguliwa ICC ntashauri mashahidi wapewe hifadhi za ukimbizi nchi za mabeberu,vinginevyo hakuna atakaejitokeza.
Rejea kilichowaokoa Uhuruto.Kama kuja kutalii au kusalimia ndugu na jamaa zake haina tatizo!
Kama mimi ni mjinga basi wewe endelea tu kusubiri Rais Magufuli kupelekwa ICC!Ficha ujinga. Kesi za ICC siyo kama za kuiba kuku. Hata ukiiba kuku ukakamatwa, kesi haishi siku moja. Toa mfano wa kesi moja y ICC iliyohitimishwa katika mwezi mmoja.
Omar al Bashir aliongoza wee, mpaka akaingia kambani, sasa ananyea ndoo.Hili ni hitimisho lako lakini ukweli unabaki kuwa siasa za Tanzania ni kama upepo ambao hauna madhara kwa wanaozijua vizuri!
Kwa historia yako hapa Jf, Ninajua una uelewa mkubwa zaidi ya hiki unachokiandika hapa!Kitanuka tu punde si punde!
Hii ni kujipa matumaini yasiyo na uhalisia!Afrika ina tabu nyingi sana mkuu, ngoja tuone what will happen, naamini there is a better plan kwa ajili ya watakaokuwa mashahidi
Ulichoandika hapa kinaashiria huzijui vizuri geopolitics za dunia hii!Rejea kilichowaokoa Uhuruto.
Ni kuwauwa mashahidi muhimu kesi ikakosa ushahidi Wa kutosha.hao jamaa wangefungwa.
We Ruto ndo umenifanya nikaamni kuwa walokole baadhi hawajaokoka.
Vipi mmefikia wapi mkuu?Ndo mnadanganyana huko Lumumba kuwa suala la ICC limepita?
Kwani ICC wameshatoa ripoti kuwa hawatachunguza?
Kwa hiyo?Omar al Bashir aliongoza wee, mpaka akaingia kambani, sasa ananyea ndoo.
Hakuna sehemu nimemtisha mtu yeyote!
Kupambania neno "haki" ni sehemu ya maisha! Hoja ya msingi ni haki zipi katika mazingira gani?
Haki inayopambaniwa nchini ni upepo tu kama unazijua vizuri siasa nchini!