Upepo, mvua zaathiri miundombinu ya umeme

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Upepo mkali na mvua kubwa ambazo zimeendelea kunyesha maeneo mbalimbali hapa Nchini zimeathiri Miundombinu ya Umeme

Shirika la Umeme Nchini limeeleza kuwa hali hiyo imepelekea baadhi ya wananchi kukosa huduma ya umeme kwa nyakati tofauti

Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA), imetoa tahadhari ya Mvua kuanzia Januari 22 - 25 kwa maeneo kadhaa Nchini yakiwemo Dar es Salaam, Pwani, Lindi na Visiwa vya Unguja na Pemba

CD302EC4-33CC-4041-A3BA-9A5804F1B553.jpeg


05BC13B1-8D5F-4BF7-89D7-E52819BA6697.jpeg
 
Upepo mkali na mvua kubwa ambazo zimeendelea kunyesha maeneo mbalimbali hapa Nchini zimeathiri Miundombinu ya Umeme

Shirika la Umeme Nchini limeeleza kuwa hali hiyo imepelekea baadhi ya wananchi kukosa huduma ya umeme kwa nyakati tofauti

Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA), imetoa tahadhari ya Mvua kuanzia Januari 22 - 25 kwa maeneo kadhaa Nchini yakiwemo Dar es Salaam, Pwani, Lindi na Visiwa vya Unguja na Pemba

View attachment 2091337

View attachment 2091338
AHSANTE KWA TAARIFA
 
Back
Top Bottom