Bushmamy JF-Expert Member Aug 18, 2019 8,848 15,252 Oct 1, 2019 #1 Upepo mkali watokea jijini Arusha na kusababisha aga la jiji hilo kujaa vumbi Your browser is not able to display this video. Tupeane updates jamani kwa mliopo Arusha, huu upepo ni wa aina gani? Hali si hali hapa
Upepo mkali watokea jijini Arusha na kusababisha aga la jiji hilo kujaa vumbi Your browser is not able to display this video. Tupeane updates jamani kwa mliopo Arusha, huu upepo ni wa aina gani? Hali si hali hapa
Da'Vinci JF-Expert Member Dec 1, 2016 35,676 106,782 Oct 1, 2019 #2 Aisee mtu aliye umbali wa mita mia huwezi muona... Hayo ni maeneo ya Kaloleni.. Yaani hapa siwezi pumua
Aisee mtu aliye umbali wa mita mia huwezi muona... Hayo ni maeneo ya Kaloleni.. Yaani hapa siwezi pumua
Da'Vinci JF-Expert Member Dec 1, 2016 35,676 106,782 Oct 1, 2019 #4 Nimekimbilia kanisani kwa Fr.Babu eti View attachment 1220577
NDUKI JF-Expert Member Jan 19, 2013 3,423 2,414 Oct 1, 2019 #5 Mi nimependa tu hii picha nimeiweka Wallpaper aisee. Ahsante sana. 😊
Clkey JF-Expert Member May 29, 2014 5,668 15,246 Oct 1, 2019 #7 Toka nimezaliwa sijawahi kuona aiseee,hamuonani giza, kama mvua inanyesha daaaah
Clkey JF-Expert Member May 29, 2014 5,668 15,246 Oct 1, 2019 #9 sawee225 said: wapi mkuu Click to expand... Arusha
Joblee JF-Expert Member Sep 27, 2015 1,470 1,586 Oct 1, 2019 #10 Hatari sana kiza ketapanda maeneo mengi na vumbi la kutosha
Hammaz JF-Expert Member May 16, 2018 5,169 10,478 Oct 1, 2019 #11 Fanya hivi: Tusaidie hata video clip angalau..
Da'Vinci JF-Expert Member Dec 1, 2016 35,676 106,782 Oct 1, 2019 #13 Yaani nywele zimejaa vumbi.. afu niivaa tisheti nyeupe
Ulimbo JF-Expert Member Aug 14, 2009 3,767 4,035 Oct 1, 2019 #14 Nasikia Kuna vumbi limejitokeza katika jiji la Arusha, na haijafahamika limetokana na nini. Mlioko huko tujuzeni
Nasikia Kuna vumbi limejitokeza katika jiji la Arusha, na haijafahamika limetokana na nini. Mlioko huko tujuzeni
Miiku JF-Expert Member Oct 8, 2014 3,835 2,630 Oct 1, 2019 #16 Upepo mkali na giza Tanesco kateni umeme
Da'Vinci JF-Expert Member Dec 1, 2016 35,676 106,782 Oct 1, 2019 #17 Mataa ya Barabarani yamejua ni usiku yakawaka
N NAKWEDE JF-Expert Member Aug 1, 2007 27,971 35,113 Oct 1, 2019 #18 Da'Vinci said: Yaani nywele zimejaa vumbi.. afu niivaa tisheti nyeupe Click to expand... Kumbe uko Arusha! Ila angalau simu yako umeiona ukaweza ku comment
Da'Vinci said: Yaani nywele zimejaa vumbi.. afu niivaa tisheti nyeupe Click to expand... Kumbe uko Arusha! Ila angalau simu yako umeiona ukaweza ku comment
Bushmamy JF-Expert Member Aug 18, 2019 8,848 15,252 Oct 1, 2019 Thread starter #19 Tuombeeni jamani Hali ni mbaya hapa Arusha
bwii JF-Expert Member May 24, 2014 1,429 2,658 Oct 1, 2019 #20 Naomba picha ya huo upepo nkwambie ni wa aina gani maana mm n mtaalam sana wa mambo ya upepo!