Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,703
- 8,473
Unataka kusema kulala ni inversely proportional na madeni mkuu
Hakika
Madeni yanaondoa usingizi kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kusema kulala ni inversely proportional na madeni mkuu
Msata hali ni hiyohiyo
Hawa TMA chance labda iwe 98% ndio inatokea.Bunju sokoni unavuma hatari, miti iliyokauka na majani ni kudondoka tu, nimetazama weather report, wanadai bunjub kwetu, mvua yaweza nyesha saa kumi na moja na kumi na kumi na mbili asubuhi, probability ni 50%..
Basi hapo ni kazi kwako kuanika nguo mkuu.Huku jua kali kinoma
Asee ni Mungu ni mwema kidgo hali imetulia kwa sasaHatimaye ukafa kimasihara.
Tulio nchi kavu tukiona hali kama hii hatujifikirii zaidi sisi bali tunawaza kwa ndugu na jamaa wanaofanya shughuli majini(baharini) & pamoja waishio karibu na fukwe itakuwaje.Wanaume wa Dar bhana, upepo kidogo tuu na manyunyu imeshakuwa habari kubwa
Njombe ni ubishi tuu wa binadamu ilikua sio maeneo ya kuishi huko kungepandwa miti tuu...baridi kali utadhani adhabuhuku njombe hua unaanza sakumi aise unapuliza balaa changanya na baridi kali la huku linalochoma na nyasi
Yani utashangaa TMAA pia kutoa tamko.Wanaume wa Dar bhana, upepo kidogo tuu na manyunyu imeshakuwa habari kubwa
Nilikuwa Kigamboni imebidi niamke nishangae maana si kwa upepo ule.Nilifikiri ni TSUNAMIHabari.
Hivi sasa ni saa 03:00Hrs, usiku wa manane na imani kama ulikuwa macho kumekuwa na upepo mkali kupita kiasi.
Sasa hapa pakikucha mamlaka ya hali ya hewa watakuja na neno gani sababu huwa ni watu wa kutabiri ila mara nyingi wamekuwa wakienda nje na vinavyotokea.
Huko ulipo sasa maeneo hayo umeshuhudia upepo huu au baadhi ya maeneo ndio tumekumbwa na upepo huu?
Nawasilisha Mzee Mkoloni.
Unaweza kuta ni lile Joka kubwa la baharini lilikuwa linatoka 😜Ni KISULISULI tu
😂😂😂😂Mtoto wa Mjini hakimbii deni....Acha tusinzie tu hakuna namna madeni ni mengi mno kwa mangi,hadi songesha😂😂kwa raha gani mliyonayo hadi mnapata usingizi nyie binadamu??
Mtakua hamna madeni aisee