Kisoda2
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 2,475
- 745
Naja kwenu ndugu zangu hapa jamvini mnijuze juu ya hii hoja ya huyu waziri kusema kwamba vijana wetu wamefeli 2009 kutokana na kutumia vitabu vingi kwenye somo moja,na kutoa kauli hizi:
-Wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi isiendelee kutumia vitabu hivyo mashuleni.
-Serikali itaanzisha mfumo wa matumizi ya kitabu kimoja kwa somo katika kila daraja kote nchini.
-mtihani ni mmoja kwa chi nzima kwa hiyo kitabu kiwe kimoja tu.
-Shule zisijishughulishe na ununuzi wa vitabu.
Sasa hapa napata kizunguzungu kuhusu upeo wa huyu waziri na hatma ya elimu ya mtanzania.
Najaribu kujiuliza alipokua akisoma yeye ni vitabu vingapi alitumia mpaka akaupata huo uprofesa ama hata kufika chuo kikuu.
Kuna mengi ya kumuuliza huyu bwana atupatie majawabu ya kina ni wapi anatupeleka katika hili.
Naomba kuwasilisha,..
-Wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi isiendelee kutumia vitabu hivyo mashuleni.
-Serikali itaanzisha mfumo wa matumizi ya kitabu kimoja kwa somo katika kila daraja kote nchini.
-mtihani ni mmoja kwa chi nzima kwa hiyo kitabu kiwe kimoja tu.
-Shule zisijishughulishe na ununuzi wa vitabu.
Sasa hapa napata kizunguzungu kuhusu upeo wa huyu waziri na hatma ya elimu ya mtanzania.
Najaribu kujiuliza alipokua akisoma yeye ni vitabu vingapi alitumia mpaka akaupata huo uprofesa ama hata kufika chuo kikuu.
Kuna mengi ya kumuuliza huyu bwana atupatie majawabu ya kina ni wapi anatupeleka katika hili.
Naomba kuwasilisha,..