Sweet16
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 5,124
- 8,713
Hahahaa mbutananga wakiachana tu na mumewe anamfungulia kesi ya kumbaka sjui anatumiaga nn yule mama dah....kwaivo unataka kuniambia yule jamaa alomuoa resty alikuwa akiishi ktk ile nyumba ya baba wa mtoto mkubwa wa resty? Baada ya kuchukuliwa ndo kuanza kutafuta nyumba nyingine ya kupanga? Maisha ya isnta raha saanaMbutananga kaolewa na hechibii moja matata la kisukuma wahenga walinena kila Jambo na wakati wake nampongeza mno mbutananga aisee.
Rest na Rachel bado wanachambana, huwa wanatulia na kuanza upya Yani ni ka wote ni mwezi mchanga