bibikuku
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 832
- 495
Jenista Muhagama unaposema, " NADHANI WALIOUNGA MKONO HOJA (KUPITISHA BAJETI) WAMESHINDA", una maana gani?
Kama unadhani je huna uhakika?
Kama huna uhakika ni kanuni gani ya Bunge inakuruhusu upendeleo upande unaohisi umeshinda?
Umeongoza vyema bunge leo lakini hitimisho la kudhania limetibua shughuli yote na hii iko kwenye record!
N.B: kumradhi sana Mh.Mwenyekiti Bungeni leo 10/07/2012, Mh. J. Mhagama kwa kukosea kulitamka jina lako linavyopaswa!
Mkuu, kanuni za bunge ndivyo zinavyosema kuwa spika, naibu spika ama wenyeviti watasema "NADHANI waliosninda....." sababu hana uhakika wa asilimia 100 isipokuwa anahisi kwa upeo wake binafsi kama binadamu na ndivyo na kanuni zinasema hivyo hivyo wala haijakosewa. Fuatilia siku zote utaona ndivyo wanavyotamka