Upendeleo mwingine ukoo wa Rais Kikwete

Unfortunately, ndio Tanzania tunayoitengeneza. Si umeona jinsi mtoto wa Wassira alivyopata advertise na kukabidhiwa kadi katika tukio lililoandaliwa maalum na katibu mkuu wa chama? Unadhani hakuna vija wengine wenye elimu na uwezo wa kuongea zaidi yake? Amefanya nini kudeserve heshima anayopewa kama si jina Wassira?
 
umemsahau Godfrey Mwakyembe, Aisha Daftari, Hamis Mkuchika, na mdogo wake Lusinde anayeitwa Gerald Job Lusinde!
 
WAaCHE waendelee tu. MAPINDUZI ya kweli yanakuja. Saadam na watoto wake kadhaa waliuawa; Khadafi na watoto wake nao vile vile. Tusubiri nasi Kuwasafisha vizazi vya MAFISADI wa Tanzania. SIKU HIYO INAKUJA. Si mbali iko karibu. Je nyumbani kwa Mkuu wa Kaya vilio vitakuwa vingapi?
 
Unfortunately, ndio Tanzania tunayoitengeneza. Si umeona jinsi mtoto wa Wassira alivyopata advertise na kukabidhiwa kadi katika tukio lililoandaliwa maalum na katibu mkuu wa chama? Unadhani hakuna vija wengine wenye elimu na uwezo wa kuongea zaidi yake? Amefanya nini kudeserve heshima anayopewa kama si jina Wassira?

KWanza nikubaliane nawe kua Esther ame draw attention kubwa si kwasababu ya kile anacho kijua ila ni jana la baba yaje (though baba yake huyo alimkana), kihalisia, mtoto wa kigogo wa magamba, aliye kulia ndani ya raha, kula kuku, shule amesoma vizuri tu bila shida yeyote halafu akaonekana upande Hasi wa aliokulia, tuwe wakweli, lazima alete Tension isio ya kawaida, huu ni ukweli usiofichika, lakini pia nitofautiane na wewe kidogo, hivi Chadema wamemfanyia nini tofauti na wanachama wengine Esther? sijaona binafsi, tokea tukio la yeye kupewa kadi na Dr. Slaa, sijaona kingine ndani ya CDM walicho mafnyia huyu binti, tukio lililo mpa heshima binti huyu ni lile la jumapili ya wiki iliyokwisha pale ukumbi wa Nkuruma, hakika ameonesha njia, kama kupanda chart, hapa pia tuwe wakweli, binti amejipandisha mwenyewe, juhudi zake na ujasiri wake binafsi, Hongera sana Esther, napenda kumpongeza kua, ameona hawezi kuishi kinafiki, haweki kuishi na kuongea kitu asicho kiamini, hii ndio tofauti kati yake na watoto wa wakubwa wenzie!

Binafsi siamini watoto wa Samuel Sitta, Dr. Mwakyembe, Prof. Mwandosya kama wanaipenda ccm toka katika sakafu za mioyo yao, wameamua kuishi kinafiki, sana sana wanaogopa kufa au wanaogopa baba zao wasije wakapoteza kazi na wao kukosa chakula, bado nashawishika kumkubali sana Esther, and i think through her, tutasikia watoto wengine wa wakubwa wakifanya hivyo, ni ngumu sana kuishi maisha ya kinafiki, wanaweza tu wa dini fulani pekee yao, wao humsifia mtu maadam ni wa dini yao, hata kama ana madhaifu elefu kumi kidogo!
 
nngu007 Hizi thread zenye maneno "HABARI ZA UHAKIKA, ZA KUTOKA CHANZO CHETU CHA HABARI N.K" mara nyingi ni za kizushi sana. Hebu weka source kama Gazeti, TV, au Redio. Hata hivyo Kuwa Rais hakuwezi kumzuia ndugu yako kugombea nafasi ya uongozi.

Source ni Gazeti la Jamhuri la WIKI HII
 
Ni haki ya kila mtu ya kikatiba kugombea uongozi. KAMA WANAFAA UTAWAKATAA? halafu watu huwa hamjitokezi mnalalamika tu kichini chini.

GO OUT THERE JOIN AND CHALLENGE THEM otherwise mlie tuu !
 
Hata sura yako inafanana na Sheikh Farid, wale wale! Back to the point, umesoma hiyo article vizuri kweli, au Magamba yameziba hadi macho na kukufanya usione vizuri? Rudia tena kusoma, source ya habari hiyo imeandikwa aya ya tano kutoka mwisho! Pia nakushangaa kulinganisha namna daktari na mwanasheria wanavyopatikana na jinsi viongozi wa Magamba wanavyopatikana! Yaani hata hujui tofauti ya taaluma (profession) na siasa (kwa Tanzania ni SI HASA, yaani politicking). Yaani watu wanavyokamua MUCHAS kwa miaka zaidi ya mitano huku waki-sup na ku-pass kwa grade C tu wewe unakuja kulinganisha na jinsi ndugu wa M.k.w.e.r.e wanavyojiokotea uongozi kwenye Chama kinachokufa miaka mitatu ijayo? You are such an idiot! Too low to any matured and self-humbled person!

Unatokwa na povu la viroba bure bro,kwa sababu hao unaowaita ukoo wa Kikwete waligombea uongozi kwa mujibu wa katiba ya chama ya chama chao,what is the problem there! Kama una evidence kuwa taratibu za uongozi kwa mujibu wa katiba ya CCM zilikiukwa,its what we need. Kwa akili yako unashawishi nini,kuwa mtu mmoja kuwa kiongozi itoshe kuwa ndugu au yeyote anayefahamiana naye anapoteza sifa za kugombea uongozi..what type of stupid ideas are these?

Kwa nini huamini kuwa kuna uozo CDM,kwa mujibu wa ulinganisho wenu kama viongozi ni hawa: Slaa na wake zake(Rose Kamili na Josephine),Tundu Lissu na dada yake Christina,Ndesamburo na mtoto wake Lucy Owenya na mkwe wake Grace Kiwelu,Anthony Komu na mkewe Anna Komu,...so far unanipotezea muda.!
 
Hakuna tatizo wanafamilia kuwa chama kimoja na kugombea nafasi, hata Chadema kuna wana ndugu wengi wana nafasi za uongozi, mfano Mzee Ndesamburo, na binti yake pamoja na mkwe wake wote kwa pamoja ni wabunge.
 
Unatokwa na povu la viroba bure bro,kwa sababu hao unaowaita ukoo wa Kikwete waligombea uongozi kwa mujibu wa katiba ya chama ya chama chao,what is the problem there! Kama una evidence kuwa taratibu za uongozi kwa mujibu wa katiba ya CCM zilikiukwa,its what we need. Kwa akili yako unashawishi nini,kuwa mtu mmoja kuwa kiongozi itoshe kuwa ndugu au yeyote anayefahamiana naye anapoteza sifa za kugombea uongozi..what type of stupid ideas are these?

Kwa nini huamini kuwa kuna uozo CDM,kwa mujibu wa ulinganisho wenu kama viongozi ni hawa: Slaa na wake zake(Rose Kamili na Josephine),Tundu Lissu na dada yake Christina,Ndesamburo na mtoto wake Lucy Owenya na mkwe wake Grace Kiwelu,Anthony Komu na mkewe Anna Komu,...so far unanipotezea muda.!

Mkuu umemaliza kila kitu umetisha mbaya.
 
KWanza nikubaliane nawe kua Esther ame draw attention kubwa si kwasababu ya kile anacho kijua ila ni jana la baba yaje (though baba yake huyo alimkana), kihalisia, mtoto wa kigogo wa magamba, aliye kulia ndani ya raha, kula kuku, shule amesoma vizuri tu bila shida yeyote halafu akaonekana upande Hasi wa aliokulia, tuwe wakweli, lazima alete Tension isio ya kawaida, huu ni ukweli usiofichika, lakini pia nitofautiane na wewe kidogo, hivi Chadema wamemfanyia nini tofauti na wanachama wengine Esther? sijaona binafsi, tokea tukio la yeye kupewa kadi na Dr. Slaa, sijaona kingine ndani ya CDM walicho mafnyia huyu binti, tukio lililo mpa heshima binti huyu ni lile la jumapili ya wiki iliyokwisha pale ukumbi wa Nkuruma, hakika ameonesha njia, kama kupanda chart, hapa pia tuwe wakweli, binti amejipandisha mwenyewe, juhudi zake na ujasiri wake binafsi, Hongera sana Esther, napenda kumpongeza kua, ameona hawezi kuishi kinafiki, haweki kuishi na kuongea kitu asicho kiamini, hii ndio tofauti kati yake na watoto wa wakubwa wenzie!

Binafsi siamini watoto wa Samuel Sitta, Dr. Mwakyembe, Prof. Mwandosya kama wanaipenda ccm toka katika sakafu za mioyo yao, wameamua kuishi kinafiki, sana sana wanaogopa kufa au wanaogopa baba zao wasije wakapoteza kazi na wao kukosa chakula, bado nashawishika kumkubali sana Esther, and i think through her, tutasikia watoto wengine wa wakubwa wakifanya hivyo, ni ngumu sana kuishi maisha ya kinafiki, wanaweza tu wa dini fulani pekee yao, wao humsifia mtu maadam ni wa dini yao, hata kama ana madhaifu elefu kumi kidogo!

Sasa mkuu, unadhani kitendo cha kukabidhiwa kadi na katibu mkuu wa chama katika tukio maalum na waandishi wa habari wakakaribishwa ni swala dogo? Baada ya hapo binti alikaribishwa na kituo fulani cha TV. hahitaji kingine zaidi ya hicho. Kinachotakiwa kujiuliza ni je, Dr. Slaa alitumia kigezo gani kumpa Esther na dada yake kadi kwa heshima kubwa zaidi ya vijana wengine wasomi ambao hawana majina yaliyozoeleka kisiasa? Sidhani kama katika vijana wasomi waliojiunga na chadema mwaka huu yeye ana kitu cha zaidi kuliko wengine zaidi ya jina la ukoo wake. na hicho ndicho kinachojadiliwa hapa - tabia ya watu kupewa fursa zaidi kutokana na majina yao.
Nadhani uliona na mtoto wa Kambona kule Uingereza alivyopewa kipaumbele wakati anajiunga chadema. sasa jiulize, hawa wakigombea uongozi watakuwa katika level field na mtoto wa mkulima?
 
Source na mwandishi wetu hahaha

Lawama ziwaendee wana Bagamoyo sio JK mwenyewe.

Mimi kama rais na mdogo wangu anataka kuwa mwanasiasa what has it got to do with me?

Spot on mkuu, hata mimi nilisoma uzi nikakosa mantiki - hivi kuna dhambi gani kama jamaa zake wanataka kuingia mambo ya siasa? Mtoa mada amekiri kwamba walipigiwa kura wakachaguliwa, angesema walikiuka taratibu tungemuelewa.

Uzi mzima una lengo moja tu, mambo mengine ni kama michezo ya kuigiza tu - wanaye mtafuta hapo ni Ridhiwan basi! Nimejaribu kufatilia nyuzi nyingine zinazo muhusu wanamjibu ovyo ovyo tu, hata akiuliza jambo la kawaida watu wanaliwekea kichwa na miguu wana-derail mada kabisa - kuna haja gani ya kumfanya binadamu mwenzenu ajisikie munyonge/vibaya ndani ya TAIFA lake - partisians not withstanding. Wabunge/wanachama wangapi katika TAIFA hili wanapita bila kupingwa mbona amuwashikii BANGO? Kwani hata wajumbe kutoka nasaba ya Kikwete hata wakiwa wawili/watatu kwenye NEC wanaweza kubadilisha nini i.e wana-impact gani kwenye mahamuzi ya NEC - idadi yao ni negligible.
 
Unatokwa na povu la viroba bure bro,kwa sababu hao unaowaita ukoo wa Kikwete waligombea uongozi kwa mujibu wa katiba ya chama ya chama chao,what is the problem there! Kama una evidence kuwa taratibu za uongozi kwa mujibu wa katiba ya CCM zilikiukwa,its what we need. Kwa akili yako unashawishi nini,kuwa mtu mmoja kuwa kiongozi itoshe kuwa ndugu au yeyote anayefahamiana naye anapoteza sifa za kugombea uongozi..what type of stupid ideas are these?

Kwa nini huamini kuwa kuna uozo CDM,kwa mujibu wa ulinganisho wenu kama viongozi ni hawa: Slaa na wake zake(Rose Kamili na Josephine),Tundu Lissu na dada yake Christina,Ndesamburo na mtoto wake Lucy Owenya na mkwe wake Grace Kiwelu,Anthony Komu na mkewe Anna Komu,...so far unanipotezea muda.!
Mimi nilichokushangaa na kukuona kama vile wewe ni punguani ni pale ulipolinganisha kupata uongozi wa Magamba na taaluma za udaktari na uanasheria. These are exactly stupid ideas one can expect from a low level thinker!
 
Wilaya ya Bagamoyo ina majimbo mawili ambayo ni Bagamoyo na Chalinze. Nahisi RIZ 1 2015 ananyemelea jimbo la Chalinze na si la Bagamoyo la Shukuru Kawambwa
....Huyo hatagombea Bagamoyo mwaka 2015, na walishakubaliana na dogo kuwa yeye akimaliza atamuachia, dogo Target yake ni Bagamoyo, maana kwake lina opportunities zaidi zaidi za kiuchumi.
 
Uko sahihi mkuu!. Kawambwa sasa kiu yake ni kupata uwaziri bila kuwa MBUNGE kama hilo litapita katika katiba mpya!
....Huyo hatagombea Bagamoyo mwaka 2015, na walishakubaliana na dogo kuwa yeye akimaliza atamuachia, dogo Target yake ni Bagamoyo, maana kwake lina opportunities zaidi zaidi za kiuchumi.
 
Spot on mkuu, hata mimi nilisoma uzi nikakosa mantiki - hivi kuna dhambi gani kama jamaa zake wanataka kuingia mambo ya siasa? Mtoa mada amekili kwamba walipigiwa kura wakachaguliwa, angesema wamekihuka taratibu tungemuelewa.

Uzi mzima una lengo moja tu, mambo mengine ni kama kihini macho tu - wanaye mtafuta hapo ni Ridhiwan basi! Nimejaribu kufatilia nyuzi nyingi zinazo muhusu utakatu wanamjibu ovyo ovyo tu, hata akiuliza jambo la kawaida watu wanaliwekea kichwa na miguu wana-derail mada kabisa - kuna haja gani ya kumfanya binadamu mwenzenu ajisikie munyonge/vibaya ndani ya TAIFA lake - partisians not withstanding. Wabunge/wanachama wangapi katika TAIFA hili wanapita bila kupingwa mbona hamuwashikii BANGO? Kwani hata wajumbe kutoka nasaba ya Kikwete hata wakiwa wawili/watatu kwenye NEC wanaweza kubadirisha nini i.e wana-impact gani kwenye mahamuzi ya NEC - idadi yao ni negligible.


Kiswahili kumbe kigumuu!.
 
Ujinga ukifanyika Chadema unahalalisha upuuzi wa CCM?

Hakuna tatizo wanafamilia kuwa chama kimoja na kugombea nafasi, hata Chadema kuna wana ndugu wengi wana nafasi za uongozi, mfano Mzee Ndesamburo, na binti yake pamoja na mkwe wake wote kwa pamoja ni wabunge.
 
Back
Top Bottom