Upendeleo kwa wanawake

Nov 6, 2009
7
0
Sera hii iliyoshikiwa bango na CCM ndio ninayotaka kuijadili hapa kwa nia ya kuonyesha jinsi inavyohitaji umakini mkubwa katika kuitekeleza.

Yakifanyika makosa, nchi itaingia matatani kwelikweli.

Hebu tuchukue mifano michache ambayo inaweza kuchukuliwa kama mwongozo wa kufanya maamuzi mazito kwa Taifa.

Tunapata picha gani kwa matukio/vituko vilivyofanywa na akina mama wanaoonekana ni wenye heshima zao tena mbele ya hadhara !!!!
Jenista Mhagama vs Hawa Ghasia. Ilibaki kiduchu wangechaniana magauni pale mjengoni. Kwenye uchaguzi wa UWT - CCM, watu almanusura wavaane maungoni. Ya sasa nayo kali. Sophia Simba vs Anne Kilango Malecela, Yameingia hata ya maisha binafsi ???. Halafu tunazungumzia MAADILI YA JAMII. Hiyo ni MIFANO michache TU. Mnaweza kuwa mmpeleka ujumbe UNO mkastukia wajumbe wenu wamegaragazana kwenye makoridooo !!!! AIBUUUU !!!!!

WANA JF wenye mifano mingine CHANGIENI PAMOJA NA HOJA ZENU. Lakini mimi nasema, bado tunahitaji kuwa makini zaidi. Tukifanya kazi kwa KUBEBANA, TUTALIANGAMIZA TAIFA. ANAYESTAHILI NA APEWE KULINGANA NA SIFA NA UWEZO WAKE.

Haiwezekani kazi za TAIFA ZIKAGAWIWA KISHKAJI. Hiyo ni HUJUMA na UFISADI.

Kukosana kupo. Lakini, sikumbuki. Hivi na wanaume wamekwisha fikishana hivyo hadharani ?.

Wana JF karibuni tuchangie!!!
 
Kwa hiyo hiyo mikwaruzo ndiyo upendeleo kwa wanawake au una maanisha nini?
 
kwa kweli mimi sio muumini wa upendeleo usiokuwa na tija kwa wanawake..natambua kuna wanawake wengi tu wajinga kama wanaume wengi walivyo wajinga...nashauri wanawake na wanaume wenye akili wapate fursa sawa ....kupambana ...na si kubebana....
 
MI sikuzote huw anasema .... watanzania tunaumizwaaa kwa kuaminishwa kuwa promo ndio njia sasa hii ya kumuwezesha tu.. yaani kila sehem mijitu inapiga promo watu wanashangilia na ukihoji unaonekana hupendi mabadiliko.. kuanzia ngazi ya elimu huwezi kutenga alama za kufaulu tofauti kwa wanawake na wanaume (sina hakika kama hili bado lipo mwenye data anijuze) haya ukija kwenye maswala ya ajira utasikia zitolewe nafasi wka ajili ya wanawake thats BULLSHIT.. mtu anachukuliwa kwa kigezo cha uwezo sio kwa sababu ya jinsia.. kwasababu kama mnataka twende kiuwiano.. kitendo cha kutangaza nafasi flani kwa ajili ya wanawake wkanza huko ni kwadhaklilisha wenyewe kwa kuwafanya watu wasiojiweza na kutaka kubebwa na pili ni kutopata mshindani sahihi.. huwezi ukanisimamisha mimi na mtu liyewekwa pale kwa sababu ya udhaifu wake.. Mi napinga swalal la wabunge w akuteuliwa hao wanawake.. bora wangetengewa walemavu nawao pia ingewekwa misngi ya kuwapata wale walio bora sio kwasababu tu mlemavu...

tatizo kua kundi la watu wachachache wanajifanya MASTERMIND na kucontrol mindset zetu..

na chakusikitisha hakuna anayehoji.. mbona jeshini upuuzi huo hakuna..

swala la haki sawa kwa wanawake na wanaume hakuna..hata mungu aliliona hilo its smthing natural kuanzia nyanja ya sayansi mpaka kidini...

Kwa kifupi huo ndio msimamo wangu nimegoma kubadilika.. No GENDER BALANCE ..NEVER AND IT WILL NEVER HAPPEN..na wanawake wasisapoti hilo

(NO OFFENCE)lakini ni moja ya udhalilishaji wenye degree kubwa kuliko niliowahi kuuona

ahaa..(nina hasira)
 
Back
Top Bottom