Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,350
huo wote ni mfume dume. wanaume wamejiwekea mfumo utakaowarahisishia kuWATAFUNA bila huruma hao wanawake kwa kisingizio cha viti maalum. ona Selina kombani eti ndo waziri wa katiba na sheria khaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!