Upendeleo: Geita yapewa vifaa vingi kupambana na Corona na haina mgonjwa hata mmoja, na mikoa yenye maambukizi yapewa vifaa vichache

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
Hii inasikitisha na kuhuzunisha na inathibitisha kuwa mambo mengi yanapelekwa kuangalia nani yuko wapi hasa kiongozi wa nchi na si janga liko wapi.

Screenshot_20200502-061242.png
Screenshot_20200502-061256.png
Screenshot_20200502-061319.png
 
Tuwe waangalifu sana tunapoleta mambo kama haya, tusije tukawa waanzishaji na wachocheaji wa mfarakano bila ya kujitambua.
Ni wajibu kujiridhisha kwa kuangalia taarifa kwa makini na kuelewa vigezo vilivyotumika katika kugawa vitu kama hivyo. Tukishajiridhisha kwamba vigezo havikufuatwa, hapo ndipo inatubidi kupaza sauti, tena kwa ukali zaidi.

Je, katika mgao huo wa hivyo vifaa kuna vigezo vyovyote vilivyotumika, kwa mfano wingi wa watu wanaoishi katika eneo hilo?

Siwatetei kabisa serikali hii, kwa sababu wamekwishaonyesha upendeleo wa wazi, lakini pia sipendi hawa wawe ndio watuchochee kugawanyika kama taifa, kwa kujizuia kuwa sehemu ya mipango yao ya kutugawa.
 
Mie pia ningefanya kama wao.
Mikoa isiyo na maambukizi napeleka vifaa vingi vya kujikinga na maambukizi.
Yenye maambukizi nnepeleka vichache.

Ingekuwa Tiba basi mikoa yenye maambukizi ingepewa kipaumbele.
Ahsante kwa taarfa.
Endelea kusalia Nyumbani Covid ipo mtaani.
 
Mie pia ningefanya kama wao.
Mikoa isiyo na maambukizi napeleka vifaa vingi vya kujikinga na maambukizi.
Yenye maambukizi nnepeleka vichache.

Ingekuwa Tiba basi mikoa yenye maambukizi ingepewa kipaumbele.
Ahsante kwa taarfa.
Endelea kusalia Nyumbani Covid ipo mtaani.
Unapigana vita kati ya Idd amin na tanzania, kwenye mapigano live on the ground unapeleka vifaru kidogo, kwenye hakuna mapigano unapeleka vifaru vingi? Sehemu hakuna maambukizi unazuia watu wasiende huko, siyo kuwapa vifaa vingi.
 
Mie pia ningefanya kama wao.
Mikoa isiyo na maambukizi napeleka vifaa vingi vya kujikinga na maambukizi.
Yenye maambukizi nnepeleka vichache.

Ingekuwa Tiba basi mikoa yenye maambukizi ingepewa kipaumbele.
Ahsante kwa taarfa.
Endelea kusalia Nyumbani Covid ipo mtaani.

Clever
 
Unapigana vita kati ya Idd amin na tanzania, kwenye mapigano live on the ground unapeleka vifaru kidogo, kwenye hakuna mapigano unapeleka vifaru vingi? Sehemu hakuna maambukizi unazuia watu wasiende huko, siyo kuwapa vifaa vingi.
Ni ngumu kuzuia watu kutokwenda,ni rahisi kuwaambia watu tumieni vifaa kuepuka maambukizi.
Huu mchezo hauhitaji hasira mpwa na mbinu za mapambano ya kizama za Iddi Amini na Nyerere.
Baadhi ya inchi nyingi wamefungua mipaka yao,
 
Tuwe waangalifu sana tunapoleta mambo kama haya, tusije tukawa waanzishaji na wachocheaji wa mfarakano bila ya kujitambua.
Ni wajibu kujiridhisha kwa kuangalia taarifa kwa makini na kuelewa vigezo vilivyotumika katika kugawa vitu kama hivyo. Tukishajiridhisha kwamba vigezo havikufuatwa, hapo ndipo inatubidi kupaza sauti, tena kwa ukali zaidi.

Je, katika mgao huo wa hivyo vifaa kuna vigezo vyovyote vilivyotumika, kwa mfano wingi wa watu wanaoishi katika eneo hilo?

Siwatetei kabisa serikali hii, kwa sababu wamekwishaonyesha upendeleo wa wazi, lakini pia sipendi hawa wawe ndio watuchochee kugawanyika kama taifa, kwa kujizuia kuwa sehemu ya mipango yao ya kutugawa.
Acha kutishana,mchocheaji wa kwanza wa mifarakano ni taasisi na viongozi wenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni ngumu kuzuia watu kutokwenda,ni rahisi kuwaambia watu tumieni vifaa kuepuka maambukizi.
Huu mchezo hauhitaji hasira mpwa na mbinu za mapambano ya kizama za Iddi Amini na Nyerere.
Baadhi ya inchi nyingi wamefungua mipaka yao,
Nchi gani zenye akili zimefungua mipaka?
Kwanini watu mnakuwa majuha! Mwenye anajiita amiri jeshi amejificha shimoni haonekani, mwezi na zaidi, hilo haliwapi ufahamu kuwa kuna hatari kubwa. Utakimbiaje kaugonjwa kadogo?
 
Back
Top Bottom