kunze
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 398
- 469
Unakuta kabisa,Dada umeolewa na mume Bora (Tena kwa ndoa ya gharama kwelikweli Wengine hadi wanaoana kwa 30+ mil) ili kuwa mwili mmoja kwa minajili ya kuzaa na kuijaza dunia Sasa badala ya kutumikia majukumu yako hayo ya msingi,wewe unajigeuza na kuwa Jasusi shupavu au kuwa mpelelezi/mkaguzi wa simu ya mumeo Why umpe kero na karaha mtoto wa mwenzio kosa lake kukuoa? Wadau,naomba mnipe uzoefu wenu hapo.
imekaaje hiyo
imekaaje hiyo