Upekuzi wa sukununu: Kampeni meneja na mgombea wake washindwa kuvuka rekodi zao Kinondoni!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,875
141,811
Kwa wale wahenga wa gazeti la Mzalendo la zamani ni wazi mnaikumbuka kona ya upekuzi wa sukununu. Nadhani angekuwepo leo hii angetufanyia kautafiti kadogo ka kutusaidia mbeleni, kwanini kura za mshindi wa pili wa 2015 imeshindikana kuzifikia?....ndio kusema kwa sasa Idd Azan ndiye anayekubalika zaidi Kinondoni kuliko Mtulia na Mwalimu na hii ina maana kubwa katika uchaguzi wa ubunge 2020 hapa jimboni. Tafakari!
 
Kwa wale wahenga wa gazeti la Mzalendo la zamani ni wazi mnaikumbuka kona ya upekuzi wa sukununu. Nadhani angekuwepo leo hii angetufanyia kautafiti kadogo ka kutusaidia mbeleni, kwanini kura za mshindi wa pili wa 2015 imeshindikana kuzifikia?....ndio kusema kwa sasa Idd Azan ndiye anayekubalika zaidi Kinondoni kuliko Mtulia na Mwalimu na hii ina maana kubwa katika uchaguzi wa ubunge 2020 hapa jimboni. Tafakari!
Watu hawataki kupoteza muda wao kwa ajili ya uchafuzi wa uchaguzi. Kwa kile kitendo cha DED kuchelewesha hati za viapo vya mawakala hadi masaa machache kabla ya ' uchafuzi' ni wazi kulikuwa hakuna uchaguzi na kulikuwa na maandalizi ya makusudi ya kuharibu uchaguzi.

Vv
 
Kwa wale wahenga wa gazeti la Mzalendo la zamani ni wazi mnaikumbuka kona ya upekuzi wa sukununu. Nadhani angekuwepo leo hii angetufanyia kautafiti kadogo ka kutusaidia mbeleni, kwanini kura za mshindi wa pili wa 2015 imeshindikana kuzifikia?....ndio kusema kwa sasa Idd Azan ndiye anayekubalika zaidi Kinondoni kuliko Mtulia na Mwalimu na hii ina maana kubwa katika uchaguzi wa ubunge 2020 hapa jimboni. Tafakari!

we baki na hizi hoja wenzako wako bungeni!!

what?? unataka kujipa moyo 2020??

last week imekuwaje?
 
Back
Top Bottom