Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,597
Nimesoma thread humu ndani kuhusu mgombea ubunge wa UPDP, kwa bahati nzuri nilifanikiwa kupata picha zake baada ya kufukuzia msafara wake kwa baiskeli, ulinipita nikiwa katika baa ya Kibo nikipata msosi. Alipofika aliuliza hapa ndio stendi yenu akajibiwa ndio, akauliza maliwatoni ni wapi, akaelekea huko akidai anakwenda kukagua, lakini nadhani alikwenda kuchimba dawa maana alikuwa chicha mbaya.
Nimewaletea picha hizo ili wale ambao kwa sababu moja ama nyingine hamkuweza kuziona msipitwe.
Msafara wa Ali Kabaka, mgombea Ubunge kwa tiketi ya UPDP ukielekea kwenye viwanja vya kampeni eneo la stendi mjini Igunga tarehe 25/09/2011. Gari inayoonekana nyuma sio sehemu ya msafara huo.
Nimewaletea picha hizo ili wale ambao kwa sababu moja ama nyingine hamkuweza kuziona msipitwe.
Msafara wa Ali Kabaka, mgombea Ubunge kwa tiketi ya UPDP ukielekea kwenye viwanja vya kampeni eneo la stendi mjini Igunga tarehe 25/09/2011. Gari inayoonekana nyuma sio sehemu ya msafara huo.