basi we utakuwa hujielewe, huo muda ukifika itakuwa ni tarehe 17 na si 16 tena. Labda use me saa 11:59 usikuHata mtihani wengi wanafeli kwa kutosoma na kuelewa instructions, simu feki zitazimwa tar 16/6/2016 saa 6 usiku, masaa 18 yajayo na sasa ni saa 12:00 asubuhi(kwa kiswahili)
05:30 bado dk 29Unamaanisha nini ??
watajua kupitia ip addressMkuu Ikiwa na zao zitazimwa watajuaje kuwa yako imezimwa?!
Hi girl longtime no hear.Unamaanisha nini ??
nenda chumbani kwake mkuuHi girl longtime no hear.
9 minutes remainNasubil kwa ham sana
hiyo ya ndani mkuuTumia PC
ha ha ha ha haDu simu yangu imeshika joto balaa.!