Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
1. Serikali imetoa Waraka mpya wa posho za kujikimu ndani ya nchi utakaoanza kutumika tarehe 01.07.2022. Posho husika zimepanda kwa majiji/manispaa kuwa hadi 150,000 na Makao makuu ya Mikoa na Wilaya na sehemu zingine ulingana na scale za Mishahara.
2. Serikali imetoa Waraka mpya wa posho za masaa ya ziada extra duty allowance utakaoanza kutumika 01.07.2022. Maafisa 60,000/= kwa siku, Watumishi ngazi ya kati kama PS, makarani na madereva ni 40,000/= kwa siku na Operational service kama Walinzi na Wahudumu ni 30,000/= kwa siku.
3. Serikali imefuta mfumo wa OPRAS katika kupima utendaji kazi watumishi. Umeanzishwa mfumo mpya wa Online unaoitwa PEPMIS ambao kila mtumishi ataujaza na atapimwa kulingana na mahitaji ya kazi ya kada yake kuanzia tarehe 01.07.2022
2. Serikali imetoa Waraka mpya wa posho za masaa ya ziada extra duty allowance utakaoanza kutumika 01.07.2022. Maafisa 60,000/= kwa siku, Watumishi ngazi ya kati kama PS, makarani na madereva ni 40,000/= kwa siku na Operational service kama Walinzi na Wahudumu ni 30,000/= kwa siku.
3. Serikali imefuta mfumo wa OPRAS katika kupima utendaji kazi watumishi. Umeanzishwa mfumo mpya wa Online unaoitwa PEPMIS ambao kila mtumishi ataujaza na atapimwa kulingana na mahitaji ya kazi ya kada yake kuanzia tarehe 01.07.2022