Yaliyojiri kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Uhujumu Uchumi - Sept 17, 2021

Hali ya ndani ya mahakama kuu Divisheni ya makosa ya uhujumu uchumi na Rushwa ni shwari

Leo tumepita getini bila bugudha na hakuna polisi wa nje zaidi ya hawa maalum wa mahakama

Hakika Jambo la jana kupigania haki ya mahakama na kutaka isimame kama mhimili huru ni nzuri sana

Jopo la mawakili wetu wa utetezi (mawakili wa Freeman Mbowe na wenzake) kama kawaida yao, limefika on-time, Mapema sana ikiwa sifa yake kuu nidhamu, Ushirikiano, upendo na kwenda na muda, pia kusikiliza na kujali hisia na sauti za ndugu, jamaa, marafiki wa wateja wao (watuhumiwa)

Ndugu zangu mnaouliza kuhusu shahidi wa leo ni nani, hakika wasikilizaji hatuwezi kufahamu. Hiyo ni kazi ya Jamhuri kuwasilisha jina la shahidi wao mbele ya mahakama kati ya wale mashahidi 24 waliotajwa kwenye preliminary hearing...

Hivi sasa ni saa 4 asubuhi na dakika zake 19 kwa saa za Afrika ya mashariki, bado mheshimiwa Jaji na mawakili wa upande wa Jamhuri (serikali) hawajaingia ndani ya chumba cha mahakama kuu Divisheni ya makosa ya uhujumu uchumi na Rushwa. Mahakama sasa imejaa TOP!

Pia, tunawashukuru jeshi la polisi kutoka moyoni kabisa, mmepungua ndani ya chumba cha mahakama, mbarikiwe.. Eeh! Mmeona watu wameingia wenyewe mahakamani, wamejipanga wenyewe na sasa wanasubiri mahakama ianze. SISI ni wastaarabu na tunahubiri ustaarabu kila siku #MboweSioGaidi

Hivi sasa ni saa 4 na dakika 25 saa za Afrika ya mashariki bado mawakili wa serikali na mheshimiwa Jaji hawajaingia ndani ya chumba cha mahakama kuu Divisheni ya makosa ya uhujumu uchumi na Rushwa..

Pamoja na kwamba polisi leo sio wengi kama siku zote, lakini kuna mzozo umeibuka hapa Mahakamani. Wananchi wanasema wamekosa nafasi za kuketi, hivyo wanaomba askari polisi wapungue mahakamani, wakaimarishe ulinzi wa raia na mali zao, ili nafasi zipatikane nyingi. Bado wapo!

Askari mmoja hapa anahamaki na kusema polisi na usalama nao wanayo haki ya kusikiliza mwenendo wa kesi maana ni open court na wanahoji kwamba tunapata wapi haki ya kuipangia mahakama nani wa kuingia na kukaa ndani? Swali hilo ukiwauliza wao kwanini walituzia jana, hawana jibu?

Raia bado wanasisitiza askari wasimame na kupungua mahakamani ndani, walinde watu na mali zao, ili wananchi wapate nafasi ya kuketi. Wananchi wanawakazia macho na kuwatambua. Lakini tunawaeleza wananchi watulie, waache askari hao wafuatilie kesi. Wasipate sababu kwamba VURUGU..

Hivi sasa ni saa 4 na dakika 53 kwa saa za Afrika ya mashariki, bado kesi inayowahusu Freeman Mbowe na wenzake watatu haijaanza, tunamsubiria mheshimiwa Jaji na mawakili wa serikali waingie ndani ya chumba cha mahakama.
Hivi sasa ni saa 5 na dakika zake 6 saa za Afrika ya mashariki.

Hali ya eneo la mahakama ni shwari kabisa, ni kata ya Sinza, wilaya ya Ubungo, Mkoani Dar es Salaam

Hali ya hewa ni mawingu kiasi na nyuzi Joto 27.7 inayoruhusu kabisa shahidi kuendelea na kesi, bila visingizio!

Pamoja na mheshimiwa Jaji kusisitiza Jana kuwa kesi ianze leo saa 4 kamili Kufuatia ombi la mawakili wa serikali, Lakini mpaka sasa, ni 5 na dakika 15 kesi bado haijaanza, lakini hatuelewi, labda sababu zilizo nje ya uwezo wao. Tuendelee kuwa na subira, maana yavuta kheri..

Mstari wa pili kutoka mwisho, wameketi waandishi wa habari (leo tupo nao live), Wameingia Kwa wingi sana kuliko Siku zote (inspiration), Leo na wao wamenufaika na msimamo wa Jana. Wabarikiwe.

Mstari wa mwisho (Backbench) wameketi watu mchanganyanyiko wakiwepo Polisi na TISS.

Sema kwa sauti mbowe sio gaidi

Unpopular opinion: wewe unadhani kwa kuchelewa huku mawakili wa serikali kuingia ndani ya chumba cha mahakama kuu Divisheni ya makosa ya uhujumu uchumi na Rushwa, Je, wanamshauri DPP aachane na hii kesi dhidi ya Freeman Mbowe na wenzake maana wanajua #MboweSioGaidi, namna gani?

Jopo la mawakili wa utetezi

1.Peter Kibatala
2.Jeremiah Mtobesya
3.Jonathan Mndeme
4.John Malya
5.Evaresta Kisanga
6.Hadija Aron
7.Maria Mushi
8.Gaston Garubindi
9.Seleman Matauka
10.Ferdinand Makore
11.Dickson Matata
12.Rita Ntagazwa
13.Alex Masaba
14.Michael Mwangasa

Habari njema sana, ule mtiti mdogo wa wananchi umesaidia benchi lilikuwa reserved kwa makarao, wameanza kukaa familia na ndugu wa watuhumiwa..

Ubishi na makavu yanasaidia sana.. Tusiache kuongea na kupiga kelele kuhusu haki zetu wakati wote ndugu zangu. Msiache kuongea.


Jopo la mawakili wa utetezi (wanaitwa mawakili wasomi, utake usitake), yaani mawakili wa Freeman Mbowe na wenzake wakijadiliana jambo la kitaalam.. Unaweza kuwapa jina, hebu pendekeza jina, hii timu yao inapaswa kupewa jina gani?

Pamoja na kwamba watuhumiwa wamefikishwa mapema (tangu saa 3 asubuhi) na mawakili wa utetezi kufika mapema ndani ya chumba cha mahakama kuu Divisheni ya makosa ya uhujumu uchumi, bado mawakili wa serikali hawajafika. Hivi sasa ni saa 5 na dakika 29 saa za Afrika ya mashariki

Shukrani za pekee leo zimuendee Wakili Gabriel Fikirini ambaye kafika mahakamani kwa mara ya kwanza akisafiri kutokea Jijini Mwanza kwa ajili ya kuongeza nguvu kwenye kesi ya Freeman Mbowe na na wenzake..

Wakili Deogratius Mahinyila (@AdvMahinyila) aliyetoka Jijini Dodoma hadi Dar es Salaam kuongeza nguvu tangu wiki iliyopita.. Niliwapa simulizi yake kwa ufupi, niwape tena? Umri wake ni mdogo mara 3 ya umri wa Humphrey Polepole na mara 5 ya umri wa Mzee Kabudi.

Wakili Deogratius Mahinyila (@AdvMahinyila) atakumbukwa akiwa mgombea wa udiwani kupitia Chadema Dodoma, kata ya Berega, alishitakiwa kwa makosa uhujumu uchumi, akiwa gerezani, Isanga (gereza katili) akafanya mitihani ya uwakili na kufaulu kuwa wakili wa mahakama kuu.
Pia, tunawashukuru jeshi la polisi kutoka moyoni kabisa, mmepungua ndani ya chumba cha mahakama, mbarikiwe.. Eeh! Mmeona watu wameingia wenyewe mahakamani, wamejipanga wenyewe na sasa wanasubiri mahakama ianze. SISI ni wastaarabu na tunahubiri ustaarabu kila siku #MboweSioGaidi
 
Hali ya ndani ya mahakama kuu Divisheni ya makosa ya uhujumu uchumi na Rushwa ni shwari

Leo tumepita getini bila bugudha na hakuna polisi wa nje zaidi ya hawa maalum wa mahakama

Hakika Jambo la jana kupigania haki ya mahakama na kutaka isimame kama mhimili huru ni nzuri sana

Jopo la mawakili wetu wa utetezi (mawakili wa Freeman Mbowe na wenzake) kama kawaida yao, limefika on-time, Mapema sana ikiwa sifa yake kuu nidhamu, Ushirikiano, upendo na kwenda na muda, pia kusikiliza na kujali hisia na sauti za ndugu, jamaa, marafiki wa wateja wao (watuhumiwa)

Ndugu zangu mnaouliza kuhusu shahidi wa leo ni nani, hakika wasikilizaji hatuwezi kufahamu. Hiyo ni kazi ya Jamhuri kuwasilisha jina la shahidi wao mbele ya mahakama kati ya wale mashahidi 24 waliotajwa kwenye preliminary hearing...

Hivi sasa ni saa 4 asubuhi na dakika zake 19 kwa saa za Afrika ya mashariki, bado mheshimiwa Jaji na mawakili wa upande wa Jamhuri (serikali) hawajaingia ndani ya chumba cha mahakama kuu Divisheni ya makosa ya uhujumu uchumi na Rushwa. Mahakama sasa imejaa TOP!

Pia, tunawashukuru jeshi la polisi kutoka moyoni kabisa, mmepungua ndani ya chumba cha mahakama, mbarikiwe.. Eeh! Mmeona watu wameingia wenyewe mahakamani, wamejipanga wenyewe na sasa wanasubiri mahakama ianze. SISI ni wastaarabu na tunahubiri ustaarabu kila siku #MboweSioGaidi

Hivi sasa ni saa 4 na dakika 25 saa za Afrika ya mashariki bado mawakili wa serikali na mheshimiwa Jaji hawajaingia ndani ya chumba cha mahakama kuu Divisheni ya makosa ya uhujumu uchumi na Rushwa..

Pamoja na kwamba polisi leo sio wengi kama siku zote, lakini kuna mzozo umeibuka hapa Mahakamani. Wananchi wanasema wamekosa nafasi za kuketi, hivyo wanaomba askari polisi wapungue mahakamani, wakaimarishe ulinzi wa raia na mali zao, ili nafasi zipatikane nyingi. Bado wapo!

Askari mmoja hapa anahamaki na kusema polisi na usalama nao wanayo haki ya kusikiliza mwenendo wa kesi maana ni open court na wanahoji kwamba tunapata wapi haki ya kuipangia mahakama nani wa kuingia na kukaa ndani? Swali hilo ukiwauliza wao kwanini walituzia jana, hawana jibu?

Raia bado wanasisitiza askari wasimame na kupungua mahakamani ndani, walinde watu na mali zao, ili wananchi wapate nafasi ya kuketi. Wananchi wanawakazia macho na kuwatambua. Lakini tunawaeleza wananchi watulie, waache askari hao wafuatilie kesi. Wasipate sababu kwamba VURUGU..

Hivi sasa ni saa 4 na dakika 53 kwa saa za Afrika ya mashariki, bado kesi inayowahusu Freeman Mbowe na wenzake watatu haijaanza, tunamsubiria mheshimiwa Jaji na mawakili wa serikali waingie ndani ya chumba cha mahakama.
Hivi sasa ni saa 5 na dakika zake 6 saa za Afrika ya mashariki.

Hali ya eneo la mahakama ni shwari kabisa, ni kata ya Sinza, wilaya ya Ubungo, Mkoani Dar es Salaam

Hali ya hewa ni mawingu kiasi na nyuzi Joto 27.7 inayoruhusu kabisa shahidi kuendelea na kesi, bila visingizio!

Pamoja na mheshimiwa Jaji kusisitiza Jana kuwa kesi ianze leo saa 4 kamili Kufuatia ombi la mawakili wa serikali, Lakini mpaka sasa, ni 5 na dakika 15 kesi bado haijaanza, lakini hatuelewi, labda sababu zilizo nje ya uwezo wao. Tuendelee kuwa na subira, maana yavuta kheri..

Mstari wa pili kutoka mwisho, wameketi waandishi wa habari (leo tupo nao live), Wameingia Kwa wingi sana kuliko Siku zote (inspiration), Leo na wao wamenufaika na msimamo wa Jana. Wabarikiwe.

Mstari wa mwisho (Backbench) wameketi watu mchanganyanyiko wakiwepo Polisi na TISS.

Sema kwa sauti mbowe sio gaidi

Unpopular opinion: wewe unadhani kwa kuchelewa huku mawakili wa serikali kuingia ndani ya chumba cha mahakama kuu Divisheni ya makosa ya uhujumu uchumi na Rushwa, Je, wanamshauri DPP aachane na hii kesi dhidi ya Freeman Mbowe na wenzake maana wanajua #MboweSioGaidi, namna gani?

Jopo la mawakili wa utetezi

1.Peter Kibatala
2.Jeremiah Mtobesya
3.Jonathan Mndeme
4.John Malya
5.Evaresta Kisanga
6.Hadija Aron
7.Maria Mushi
8.Gaston Garubindi
9.Seleman Matauka
10.Ferdinand Makore
11.Dickson Matata
12.Rita Ntagazwa
13.Alex Masaba
14.Michael Mwangasa

Habari njema sana, ule mtiti mdogo wa wananchi umesaidia benchi lilikuwa reserved kwa makarao, wameanza kukaa familia na ndugu wa watuhumiwa..

Ubishi na makavu yanasaidia sana.. Tusiache kuongea na kupiga kelele kuhusu haki zetu wakati wote ndugu zangu. Msiache kuongea.


Jopo la mawakili wa utetezi (wanaitwa mawakili wasomi, utake usitake), yaani mawakili wa Freeman Mbowe na wenzake wakijadiliana jambo la kitaalam.. Unaweza kuwapa jina, hebu pendekeza jina, hii timu yao inapaswa kupewa jina gani?

Pamoja na kwamba watuhumiwa wamefikishwa mapema (tangu saa 3 asubuhi) na mawakili wa utetezi kufika mapema ndani ya chumba cha mahakama kuu Divisheni ya makosa ya uhujumu uchumi, bado mawakili wa serikali hawajafika. Hivi sasa ni saa 5 na dakika 29 saa za Afrika ya mashariki

Shukrani za pekee leo zimuendee Wakili Gabriel Fikirini ambaye kafika mahakamani kwa mara ya kwanza akisafiri kutokea Jijini Mwanza kwa ajili ya kuongeza nguvu kwenye kesi ya Freeman Mbowe na na wenzake..

Wakili Deogratius Mahinyila (@AdvMahinyila) aliyetoka Jijini Dodoma hadi Dar es Salaam kuongeza nguvu tangu wiki iliyopita.. Niliwapa simulizi yake kwa ufupi, niwape tena? Umri wake ni mdogo mara 3 ya umri wa Humphrey Polepole na mara 5 ya umri wa Mzee Kabudi.

Wakili Deogratius Mahinyila (@AdvMahinyila) atakumbukwa akiwa mgombea wa udiwani kupitia Chadema Dodoma, kata ya Berega, alishitakiwa kwa makosa uhujumu uchumi, akiwa gerezani, Isanga (gereza katili) akafanya mitihani ya uwakili na kufaulu kuwa wakili wa mahakama kuu.
Mkuu acha kukaa tu safu ya mbele, hata kama kesi ikienda kusikilizwa nyumbani na chumbani kwa Mbowe- ATAFUNGWA siyo kwa kuonewa bali kwa ushahidi makini wa polisi wetu
 
Hii Kesi ya Ugaidi ya Mbowe, inncreasingly taratibu za Mahakama sasa zinaonekana kuwa issue.
Majaji, Serikali na mawakili ndio sasa wanaonekana fika kuwa wachambuzi wa sheria kama zinavyotakiwa kuwa.

Nainavyoekekea kuna upande umeanza kuadhirika.

Watazamaji hadi mabalozi wa nchi za nje wameshaonyesha interest katika kesi hii.
 
Mkuu acha kukaa tu safu ya mbele, hata kama kesi ikienda kusikilizwa nyumbani na chumbani kwa Mbowe- ATAFUNGWA siyo kwa kuonewa bali kwa ushahidi makini wa polisi wetu
Cannabis sativa at work...!!!
 
One wonders, why take too long for the trial to commence? Or maybe there is a "Liaison" going on between the court and the prosecution side to have the former throw in the towel so as to save the regime from further ignominy. It's just my supposition.
Bado hamjasema ,mbinu ya kuwazodoa mawakili wanaofanya kazi kwa mujibu wa sheria za nchi ili kuwa discourage haitafanikiwa kumnusuru Mbowe ,kitakachomuokoa ni yeye kutoshiriki uovu anaotuhumiwa nao
Cannabis sativa at work...!!!
Leo amesahau kuendelea na dozi aliyoandikiwa central zone hosp.
 
Nachoshangaa watanzania wanakwenda mahakamani na hukumu zao tusikilize maamuzi ya mahakama kwani ikitoka hukumu nje ya matazamio yetu tutasemaje
 
17 September 2021
Mahakama Kuu
Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi,
Dar es Salaam, Tanzania


KESI YA MBOWE SHAHIDI MAHITA ABANANA NA KIBATALA MAHAKAMANI / TULIWAPA NDIZI NA ENERGY WAKALA



Source : MwanaHALISI TV

N.B kichwa cha habari na maelezo ktk clip tofauti kabisa huo 'mbanano haujaripotiwa', waandishi wa habari wa Mwanahalisi mmetuangusha. Bora tutegemee citizen journalists ambao wanaripoti vyema kabisa.
 
Jaji: Mimi nimepata nafasi ya kutafakari , nilianza kwenye hoja iliyoibuliwa na wakili wa serikali, kumbukumbu za mahakama zinaonyesha Kibatala alisema kwa niaba ya Mawakili wote na Kwa niaba ya Washitakiwa wote siku hiyo ya 15.09.2020 uwakilishi ilikuwa kwa mawakili wote na kwaNiaba ya washtakiwa wote.

hivyo utenganisho inaanza Leo

ni maamuzi yangu kuwa mahojiano yaliyofanywa na Wakili Kibatala na Wakili Mtobesya kwa niaba ya Mawakili wote na washtakiwa wote

hivyo basi sioni sababu ya kumuita tena shahidi wa kwanzaJaji: Hivyo naangiza kuendelea na shahidi wa pili aitwe sasa tuweze kuendelea....

Jaji: katika Mwenendo wa Mahakama nimeondoa kuwa Kibatala ni Wakili wa mshtakiwa wa 4 kwa siku ya tarehe hiyo ya 15.. Kibatala aliwakilisha washtakiwa wote kwa niaba ya mawakili wote..Jaji anamuita Shahidi

Shahidi anaingia anajikwaa

Jaji: pole sana

Shahidi: naitwa Inspector Mahita

Jaji: wewe ni dini gani?

Shahidi: ni Muislamu

Jaji: unaweza kuapa?

Shahidi: Wallah Wabillah nathibitishaWakili wa Serikali : Shahidi ieleze Mahakama wewe ni Mkazi wa wapi

shahidi: Mkazi wa Morogoro

wakili wa Serikali: Unafanya kazi gani

Shahidi: Polisi

wakili wa Serikali: kabla ya 2021 leo ulikuwa wapi?

shahidi: nilikuwa msaidizi Ofisi ya Upelelezi Arusha wakili wa Serikali umenza lini Kazi ya Upolisi

Shahidi: 2010

wakili wa Serikali: katika Idara ya upelelezi huko Polisi upo tangu lini?

shahidi: Takribani miaka 8

wakili wa Serikali: Ukiwa msaidizi wa upelelezi majukumu yako ni yapi?shahidi: upelelezi wa Makosa ya jinai, ukamataji wa watuhumiwa, Kusimamia Askari ambao wapo chini yangu, Kupokea maelekezo ya Viongozi wangu, kufanya Upekuzi, kufanya escort za watuhumiwa, lengo la msingi Kuzia na kupambana na uhalifuwakili wa Serikali: nitakuuliza Mnamo tarehe 04 Mwezi 08 2020 tarehe hiyo ulikuwa wapi?

shahidi: nilikuwa kituoni natekeleza Majukumu yangu kama kawaida

wakili wa Serikali: kituo gani?

Shahidi: kituo cha kati

wakili wa Serikali: ieleze Mahakama 04.8.2020 jioni ilikuwajeshahidi: nilipigiwa simu na afande wangu ACP Ramadhan Kingai

wakili wa Serikali: eleza alikupigia simu akisemaje

shahidi: aliniambia niende ofisini kwake

wakili wa Serikali: eleza ulivyo tekeleza

shahidi: nilifika ofisini kwake

wakili wa Serikali: alikupa malekezo gani?shahidi: kuna kazi na Askari nitaondoka nao, kuna kazi na suala la kufuatilia

wakili wa Serikali: kitu gani kingine alikueleza?

shahidi: aliniambia niandae Askari wengine

shahidi: tuliaanza safari tukiwa dereva wake Constable Azizi

wakili wa Serikali: mlisimama wapi?shahidi: Polisi Arumeru, wilaya ya Usa river

wakili wa Serikali: Mkaelekea wapi?

shahidi: tulikuwa tunaelekea Kilimanjaro tukasimamama kituo cha USA river wilaya ya Arumeru

Jaji: mwanzo umeongea tofauti, umechanganya?

wakili wa Serikali: rudia Vizuri

shahidi:police Usa riverwakili wa Serikali: Polisi Usa river kilitokea nini?

shahidi: tulishika wote tukiwa na Afande Kingai tukapata Briefing ya kazi

wakili wa Serikali: Briefing uliyopewa ilihusu kazi gani?

Shahidi: Briefing niliyopewa ni kwamba kuna Kikundi kina panga kufanya matukio ya kigaidi
Shahidi: maeneo mbalimbali nchini ikiwemo Arusha, Kilimanjaro, Dar es Salaam na Mwanza na pia kikundi hicho kilikuwa na nia ya kumdhuru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya

wakili wa Serikali: Elezea sasa mkafanyeje?shahidi: kwa kuwa kikundi hicho kilikuwa Mkoa wa Kilimanjaro Wilaya ya Moshi Mjini kwenda Kuwamakata

wakili wa Serikali: baada ya briefing kitu gani kiliendelea?

shahidi: tuliendelea na safari na tulifika majira ya Saa 2 Usiku. tukaendelea na upelelezi kuwakamata watuhumiwawakili wa Serikali: mliendelea na upelelezi mpaka muda gani?

shahidi: ilipofika majira ya saa 6 tukiwa tumewakosa ikabidi tubreak..

wakili wa Serikali: ieleze mahakama sasa tarehe 05 Mwezi wa 8 2020 mlifanya nini!shahidi: ilikuwa muda wa asubuhi tuliendelea kusubiri taarifa ambazo afande alikuwa akizopokea na ilipofika Saa 6 akaniambia kuwa watuhumiwa tuliokuwa tunawatafuta wameonekana Maeneo ya RAU MOSHI..

wakili wa Serikali: Rau ipo Maeneo gani?

shahidi: ipo kama unaelekea Key Hotelwakili wa Serikali: ifahamishe mahakama hatua mlizo chukua ni zipi.

shahidi: kwanza tuliuliza afande hao tunaoenda kuwakamata muonekano wao ukoje? Afande akasema mmoja alikuwa amevaa Shati, Mmoja alikuwa amevaa kama Kitenge na Mtuhumiwa wa tatu alikuwa amevaa Jezi ya mpira..wakili wa Serikali: watu mliotakiwa kuwakamata ni wangapi?

shahidi: watu watatu kwa mujibu wa Afande

wakili wa Serikali: baada ya hapo?

shahidi: tulifika maeneo ambayo walikwepo tukiwa na gari yetu yenye tinted, tuka Drop Section ya kwanza ambayo alioongoza Afande kingaiShahidi: section ya pili nili' drop mimi na Afande Francis na gari

timu ya kwanza ilikuwa inaelekea kwa watuhumiwa.

watuhumiwa walikuwa wameiona, watuhumiwa wawili walianza kutoka wakielekea nilipo mimi..

wakili wa Serikali: eleza uliwatambuaje.shahidi: section ya kwanza ya Afande Kingai ilivyotoka iliwafanya watake kukimbia, ilibidi kuwasimamisha kutaka kujiridhisha

wakili wa Serikali: ifahamishe Mahakama kwa namna gani uliwasimamisha

shahidi: nikawasimamisha kwa Sauti kali "Simama hapo chini ya ulinzi"wakili wa Serikali: baada ya response yako hiyo walifanya nini?

shahidi: walisimama, wakaamriwa kuweka mikono juu wakatii..

wakili wa Serikali: kitu gani kilifuata?

shahidi: nilijitambulisha, naitwa Inspector Mahita natokea Central Arusha nafanya kazi kwenye kikosi Maalumwakili wa Serikali: Baada ya kuwatambulisha?

shahidi: niliwaonya wakiwa wawili kuwa wanatuhumiwa kula njama za kutenda matendo ya ugaidi

wakili wa Serikali: wenzenu wakina Kingai wakati huo walikuwa wapi?

shahidi: walikuwa wanakuja, sababu walikuwa umbali mrefuShahidi: kingai akatoa order kwa Jumanne wapekuliwe

wakili wa Serikali: shahidi sasa ieleze Mahakama Jumanne alitekeleza vipi Maelekezo ya Kingai?

shahidi: alitekeleza, kuna mama mmoja alikuwa anashuhudia pale, aliwaambia wasogee karibu washuhudie anachokifanya..Shahidi: huyo mama alikuwa anauza supu..

wakili wa Serikali: ieleze Mahakama taratibu za Upekuzi.

shahidi: Mmoja ali amriwa asimame juu ambaye baadae nikaja kumtambua alikuwa anaitwa Adamoo Adama kasekwa

wakili wa Serikali: wakati huo ulikuwa unafanya nini?shahidi nilikuwa na afande Jumanne

shahidi: wakati afande anampekua upande wa kushoto wa suruali yake alikuta Luvern Pistol A5340

wakili wa Serikali: kitu gani kingine?

shahidi: aliendelea kumkagua mifukoni akamakuta na kete 58 ambazo baadae zilijulikana ni madawa ya kulevyawakili wa Serikali: kitu gani kingine?

Shahidi: alikuwa na simu yake

wakili wa Serikali: ieleze mahakama ndani ya Pistol palikuwa na kitu gani?

shahidi: ndani ya magazine palikuwa na risasi 3

wakili wa Serikali: baada ya upekuzi nini kilifuata?shahidi: Upekuzi uliofuatia ulikuwa wa Adam Ling'wenya. yeye wakati anapelekuliwa alikuwa na kete 25

wakili wa Serikali: mbali na kete ni kitu gani kingine?

shahidi: na simu yake

wakili wa Serikali kingine unachokumbuka

Shahidi: Hapana kwa sasa..wakili wa Serikali: mashahidi waliokwepo Unawakumbuka, ieleze mahakama majina yao..

Shahidi: nakumbuka majina yao ya kwanza ya Anita na Esther

wakili wa Serikali: baada ya Upekuzi nini kulifuata

shahidi: naona...

wakili Peter Kibatala: Objection aseme ni hear say au anakijuaJaji: mmeelewa?

wakili wa Serikali: ndiyo

shahidi: baada ya Upekuzi

shahidi: tulianza kujaza Certificate of Seizure

wakili wa Serikali: baada ya kusaini kilifuata nini?

wakili Peter Kibatala: Objection hajasema ilisainiwa

Jaji: ni kweli hajasema wakili wa Serikali?wakili wa Serikali: samahani mheshimiwa

shahidi: Baada ya kujaza Certificate of Seizure ilisainiwa na watuhumiwa

wakili wa Serikali mkaelekea wapi?

Shahidi: tukaelekea kituo cha kati Moshi

wakili wa Serikali: wakati mnaelekea Moshi Kitu gani kilifuata?shahidi: yalikuja magari 2 tukapanda

wakili wa Serikali: mkaelekea wapi?

shahidi: kituo cha kati Moshi

wakili wa Serikali: wakati mnaelekea Moshi kitu gani kilifuata?

Shahidi: Afande kingai aliwauliza kwa taarifa alizonazo walikuwa 3, je 3 Moses Lijenje yupo wapi?wakili wa Serikali: Majibu yao yalikuwa ni yapi? +

shahidi: walisema kweli walikuwa naye na wakakubali kutuonyesha alipokuwa, kwani walikuwa naye palepale wakati tunawakamata

shahidi: Afande kingai alitoa maelekezo Afande Francis aendelee kuwachukua maelezo..Shahidi: sisi tuliokuwa kwenye gari jeupe na Afande kingai pamoja na Jummane tukawa tumerudi RAU madukani kumtafuta mtuhumiwa mwingine Moses

wakili wa Serikali: nini sasa mlichofanya?

shahidi: baada ya kurudi tulimkosa..
Shahidi: lakini Adam na Ling'wenya wenyewe wakasema huyu kuna vijiwe vyake tulivyokuwa tunazunguka wote Moshi

wakili wa Serikali: baada ya kutoka Rau mkaelekea wapi?

Shahidi: tukawa tunazunguka maeneo mbalimbali. ndani ya Moshi Mjini, KCMC, Majengo yaani vijiwe vijiweShahidi: baadae tukaenda mpaka Boma Ng'ombe na Aishi..

Jaji: hebu rudia maeneo mliyozunguka ndani ya Moshi

shahidi anarudia.......

wakili wa Serikali: kwanini mlikuwa mnazunguka maeneo hayo?

shahidi: watuhumiwa wenyewe walikuwa wanatuongoza

wakili wa Serikali: ikawajeShahidi: tulimaliza saa nne au saa tano usiku

wakili wa Serikali: nini kilifanyika?

Shahidi: tulikaa pale Boma kwa sababu tulijua atapanda vibasi hadi saa 2 asubuhi. Tulikaa Boma Mg'ombe tukafanya kikao cha kipolisi asubuhi kwenye saa 2 mpaka saa 3. tukaelekea kituo cha katiwakili wa Serikali: mlielekea Kitio cha kati kufanya nini

shahidi: kuwaweka watuhumiwa mahabusu

wakili wa Serikali: siku inayofuata nini kilifanyika?

shahidi: saa 11 kuelekea saa 2 kwenda kuwafuata watuhumiwa mahabusu, kwa Afande alisema tuelekee Stand kuuShahidi: tulienda na watuhumiwa kwa sababu wao ndiyo wanamfahamu, na tulikaa Stand tukijua anaweza kuwa anataka kwenda kusafiri na kukaa stand bila mafanikio

wakili wa Serikali: nini kilifuata?

shahidi: tukielekea maeneo ya pale stand sisi na watuhumiwa tukaenda kupata chaiamejificha na baadae tukaeleka Sakina Arusha

wakili wa Serikali: ifahamishe kama Mlifika Arusha, Arusha mlipita maeneo gani?

shahidi: kwakuwa tulikuwa kwenye leading investigation moja kwa moja tulienda Sakina na hatukumkuta tukaona wanatupotezea mudawakili wa Serikali: baada ya kupata chai nini kilifuata?

shahidi: hoja iliibuka kwa watuhumiwa kuwa Moses ana dada yake Arusha

wakili wa serikali: baada ya hoja hiyo nini kilifuata?

shahidi: Afande Kingai alisema tupite kwanza kwenye vijiwe tulivyopata Jana anaweza kuwawakili wa Serikali: baada ya ya kuwakosa mlielekea wapi?

shahidi: tukielekea Moshi na Afande kingai akatoa malekezo kuwa kwakuwa kesi tunayoifuatilia imefunguliwa Dar es Salaam

wakili wa Serikali: unasema alitakiwa kuelekea Dar es Salaam kwa ajili ya nini?shahidi: kwa sababu Kesi ilifunguliwa Dar es Salaam tulitakiwa twende Dar es Salaam na kwa sababu matukio yalikuwa yafanyike sehemu mbalimbali ikabidi twende Dar es Salaam..

wakili wa Serikali: ieleze mahakama chakula cha mchana mlipata wapi?wakili Peter Kibatala: Objection anafundisha cha kuongea

Jaji: Objection izingatiwe

wakili wa Serikali: nimesikia Mheshimiwa Jaji

wakili wa Serikali: baada ya ya kuelekea Dar es Salaam nini kilifuata?shahidi: tukiwa njia panda Himo gari yetu ilipata Break Down, afande akaita gari nyingine na pale pana kuwa papo bize cha kula cha usiku ilibidi tupate pale.

wakili wa Serikali: kwa kuwa unasema mlipata Break Down ni majira gani mliondoka Pale?shahidi: tuliondoka majira ya saa 2 Usiku na Kufika Dar es Salaam Majira ya saa 11 Alfajiri siku ya tarehe 07

Jaji: Mlifika Dar es Salaam saa ngapi?

shahidi: saa 11 Alfajiri

wakili wa Serikali: nakurudisha nyuma mlipokuwa njia panda Himo unasema mlikula je ni akina nani hao?shahidi: sisi na Convoy yetu yote pamoja na watuhumiwa

wakili wa Serikali: baada ya kufika Central nini kilifuata hiyo saa 11?

shahidi: afande kingai alitupatia Break akatuambia Saa 1 turudi pale Central..

wakili wa Serikali: saa 1 kitu gani kilifanyika?shahidi: afande alitupa maelekezo tutoke kituoni pale Central na Goodluck na Asst. Inspector Swila kuendelea na upelelezi

Jaji: Mlipewa Maelekezo gani?

shahidi: Afande kingai alitupa maelekezo tutoke tuendelee kufanya upelelezi kuhusiana na watuhumiwa ambao bado hawajakamatwawakili wa Serikali: shahidi ieleze mahakama sasa muda wote mlipokuwa mnatoka na watuhumiwa, wakati huo walikuwa kwenye ulinzi wa nani?

shahidi: wakati huo mimi ndiyo nilikuwa nasimamia ulinzi

wakili Serikali: kwakuwa wewe ndiyo ulikuwa na watuhumiwa wakati wote ieleze Mahakamawalikuwa na hali gani?

shahidi: walikuwa na hali nzuri

wakili wa Serikali: sawawakili wa Serikali: Shahidi nakupeleka pia, kwamba Tarehe 7 mlikuwa Dar es Salaam na kwamba mlipewa maelezo kuendelea na upelelezi Je, ni lini tena uliitwa tena kushughukika na watuhumiwa??

shahidi anasita.. anasita tena hapa..

Namna gani pale..Jaji: anasema endeleeni wewe na anaekuongoza ni suala lenu

shahidi: niliitwa 08.8.2020 kituo cha Central na nilipofika nilikutana na Afande kingai na Jopo zima la timu na nilipewa malekezo kuwa watuhumiwa wale wote tuwatie Central pale lockup au tuwapeleke kituo cha MbweniShahidi baada ya kusitasita, sasa anaendelea hapa..

Anasema, kwa sababu ya msingi ni kwamba watuhumiwa kwa mafunzo waliyopitia inapaswa tuwapeleka kituo kingine

Jaji; rudia sababu ipi iliwafanya muwatoe Central police Dar es Salaam tafadhali ndugu shahidi..shahidi: afande Kingai alisema kutoka watuhumiwa wenyewe mafuno yao na Makomandoo, walikuwa ni Makomandoo wa JWTZ na kwamba Complexity ya upelelezi wenyewe sababu watuhumiwa wengine tulikuwa bado hatujawapata

kwamba tuwapeleke kituo cha Mbweni kwa a sababu Kuna Informationtulikuwa hatujazimalizia

wakili wa Serikali: kituo cha Mbweni kipo wapi?

shahidi: kipo Wilaya ya Kinondoni

wakili wa Serikali: mliowapeleka tofauti na wewe mlikuwa na akina nani?

Shahidi: ASP Jumanne, Asst. Inspector Swila, Detective Constable Goodluckwakili wa Serikali: unakumbuka Ilikuwa majira gani

shahidi: Saa nne kuelekea saa tano

Jaji: kama unaweza kufafanua ilikuwa ya Asubuhi au Jioni?

shahidi: ilikuwa Asubuhi?

wakili wa Serikali: Shaidi yapo malalamiko kuwa Watu hawa waliteswa!

shahidi: Hapana, hawakuteswawakili wa Serikali: walipata Treatment gani?

shahidi: walipata Treatment ya Dignity na Respect

wakili wa Serikali: ni hayo tu mheshimiwa Jaji

Jaji: Utetezi Je, mpo tayari kuendelea?

wakili Peter Kibatala: naomba kwanza tushauriane na wakili wa Mshtakiwa ili aanze..KIBWAGIZO..

Kwa hiyo askari polisi wa kikosi cha ACP Ramadhan Kingai walikunywa chai na magaidi, kiroho safi baada ya kupata breakdown eeh! Bado hawa magaidi rojo-rojo kweli, sio kama Osama Bin LADEN.. MAGAIDI??? Face with tears of joy

Tuendelee...Kimya kidogo, kisha anasimama wakili Nashon Nkungu..

Wakili Nashon Nkungu: nakumbuka tarehe 08 ulitoa maelezo Central police?

shahidi: sahihi kabisa

wakili Nashon Nkungu: anampelekea shahidi maelezo hayo..

Shahidi: anayakana kuwa siyo ya kwake sababu hajaya saini..Wakili Nashon: anamuomba sasa Jaji apewe rasmi maelezo hayo mahakamani ambayo shahidi wa pili aliyoyatoa kwa RCO Ilala..

wakili wa Serikali: anamuomba Jaji kuwa wakili aanze kwanza kusema anachotaka kabla ya maelezo..

Jaji: anauliza kwa tashwishwi, Maelezo yapo au hayapo?wakili wa Serikali wanakunali kuwa maelezo hayo yapo Mahakamani..

Jaji anamueleza wakili Nashon Nkungu kuwa Endelea kutengeneza msingi wako, na kisha uyatumie hayo maelezo...wakili Nashon: Shahidi Je, ni kweli maelezo uliyoyatoa katika statement yake ya RCO Ilala kuwa kulikuwa kuna kazi unaenda kufanya Moshi Baada ya kupigiwa na Afande kingai na kuwa ulikuwa hufahamu unaenda wapi tofauti na ulichosema kwenye statement yako?shahidi: ni kweli sikuwa najua mpaka nilipofika Arumeru

wakili Nashon: Je shahidi unaweza kueleza upande ambao mshtakiwa aliposachiwa alitolewa hiyo pistol kwa Demonstration?

shahidi anasimama anafanya kwa kitendowakili Nashon: kati yako na Kingai nani alikuwa na nafasi nzuri ya kuwaona watuhumiwa?

shahidi: wote

wakili Nashon: kwa hiyo ni sahihi nikisema kuwa alichokiona kingai ndicho ulichokiona wewe?

shahidi: kama nilivyosema mimi nilitokea kwa mbele..wakili Nashon: ieleze mahakama kuwa kati ya wewe na Kingai nani anaidanganya Mahakama, Sababu Kingai anasema mliwakamata wakati wanakunywa supu wewe unasema wakati wanatembea..

shahidi: Mimi sijui Kingai katoa ushahidi gani, maana sikuwepo..Nashon: Je shahidi unamfahamu BWIRE?

shahidi: siwezi kujibu

Jaji: Shahidi, unapswa kujibu

shahidi: sikuwa namfhamu kwa tarehe hiyo

Nashon: unaifahamu Police Notebook

shahidi: nafahamu

Nashon: unajua ulitakiwa kuna nayo mahakamani?

shahidi: taarifa ya siri mali ya polisiwakili Nashoni anakaa anamkaribisha wakili John Mallya

Malya: Shahidi ni sahihi Polisi wanapima Afya mara kwa mara?

shahidi: hiyo ni Jambo binafsi

Jaji: Shahidi Jibu tafadhali kama unafahamu au hujui

Mallya: umefanya kazi na Kingai kwa muda gani?

shahidi: kwa Miaka 3 au 2wakili Mallya: kwa hiyo nikisema Kingai ana matatizo ya kusahau au kupoteza kumbukumbu ni sahihi?

shahidi: siwezi kujibu

Jaji; toa JIBU

shahidi: sifahamu

Wakili Mallya: kwa hiyo nikisema Kingai ana kumbukumbu NZURI napatia.?

Shahidi: ndiyo!wakili Mallya: umeeleza katika msafara wemu mlianzia Moshi Je akija mtu akisema mlianzia Boma Ng'ombe atakuwa ni muongo?

Shahidi: Sifahamu.

wakili Mallya: unapswa ujue kwa sababu ulikwepo kwenye msafara..

shahidi: Ndiyo atakuwa anasema uongo..wakili Mallya: Umesema kuwa mliwapa chakula watuhumiwa ila hukutaja aina ya chakula wa kiasi cha chakula

shahidi: ndiyo

Wakili Mallya: Umezungumzia kuhusu kituo cha Polisi Central

shahidi: ndiyo

Wakili Mallya: Je ni Kwei pale kuna huduma zote ikiwemo mahabusu?

shahidi ndiyowakili Mallya: pale Central kuna polisi wengi kuliko Mbweni

shahidi: sahihi kabisa

Mallya: kuna Ofisi ya RPC ILALA?

shahidi: sahihi Kabisa

wakili Mallya: kuna ZCO?

shahidi: sahihi kabisa

Mallya: kuna Mkuu wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam?

shahidi: sahihi Kabisawakili Mallya: Je hawa polisi wote tuliowataja kule Mbweni Wapo?

shahidi: Mheshimiwa naomba arudie swali lake!

Jaji: Swali lake rahisi sana nitakusaidia kukuelewesha. umetaja Ofisi za ZCO, RPC Ilala Je Kule Mbweni Ofisi zipo au hazipo?

shahidi: Mh. naomba ni mjibu wakiliwakili Mallya: Jibu Ofisi zipo au hazipo?

shahidi: hazipo

Wakili Mallya: Sasa hilo ndipo jibu ndugu shahidi

Jaji anasema; kwa sababu ya Afya zetu nahairisha shauri hili kwa dakika 10 tu halafu tutarejea..Mahakama inarejea

Jaji ameingia

Kesi inatajwa tena

Mafaili yana pandishwa kwa jaji

Kila Mtu Yupo Kwenye eneo lake

Upande wa Utetezi na Upande wa Mashitaka

Shahidi inspector Mahita yupo palepale kizimbaniJaji anauliza kama Wakili Mallya amemamaliza

Jaji anauliza Wakili Dickson Matata Kama yupo Tayari Kuendelea

Wakili Dickson Matata nikumbushe Majina yako

shahidi Naitwa Inspector Mahita Omary Mahita

Matata nitakuwa sahihi nikisema wewe ni mtoto wa IGP mstaafu Omary Mahita?shahidi: Sahihi

wakili Matata Wakati Baba yako akiwa IGP wewe Ulikuwa wapi

shahidi: nilikuwa Chuo kikuu

wakili Matata: kwa hiyo wakati Baba yako alikuwa IGP ulikuwa na akili timamu?

shahidi: Ndiyowakili Matata: Unakumbuka kuhusu kauli ya Baba yako kuhusu kuwakuta CUF na visu kuhusu kuleta vurugu nchini?

wakili wa Serikali Objection

wakili Matata: naondoa Swali langu

wakili Matata Kituo cha kwanza Mwaka 2010 ulianzia Kazi wapi

Shahidi: Zanzibarwakili Matata: baada ya hapo ulikwenda wapi

shahidi: Arusha kuwa Msaidizi wa upelelezi wilaya ya Arusha

wakili Matata: nitakuwa sahihi nikisema unawajibika kupokea Maagizo yoyote kutoka kwa kiongozi wako?

shahidi: nawajibika kupokea Maelekezo yoyote kutoka kwa Kiongozi wanguwakili Matata: wakati mnawakamata watuhumiwa mlisema mlikuwa na kikosi Maalum?

shahidi: Kweli

wakili Matata: Kikosi hicho chote kimetokea Arusha?

wakili Matata: Na kikosi hicho kilikuwa chini ya RPC Kingai?

shahidi: Sahihi kabisaMatata: unakubaliana na mimi unapotoka kwenye eneo lako la kazi unapaswa kuwa na movement order?

shahidi: Kweli

Matata: na unapotoka Arusha Kwenda Moshi ni Mkoa Mwingine?

Shahidi: Kweli

wakili Matata: na unapofika mkoa mwingine unapswa uriporti kwanza kwa mamlaka ya Mkoa huo?Shahidi: ni kweli

wakili Matata: Katika maelezo yako hakuna uliposema umeripoti popote

shahidi: Lakini.........

Matata: Jibu ndiyo au siyo

wakili Matata: umeeeleza mahakama umeriport kwa nani?

shahidi: sikuileza Mahakamawakili Matata: kuna sehemu umetoa ushahidi kuwa Umeriport Moshi?

shahidi: Sijaja nao..

wakili Matata: Nyinyi mlipowakamata watuhumiwa ndiyo Mliwasafirisha Mpaka Dar es Salaam!

shahidi: Sahihi Kabisa

wakili Matata: Mallya kakuuliza kuhusu central sitaki kurudia hukoshahidi: nilishamjibu hilo wakili

wakili Matata: unapaswa unijibu mimi sasa hivi..

Jaji: anapswa anijibu mimi..

wakili Matata: Mheshimiwa Jaji, mimi ndiye ninayetaka Jibu lake

Jaji: nakuelewawakili Matata: katika Maelezo yako hakuna sehemu uliyozungumza kuwa Nyie baada ya Kufika Dar es Salaam mlifanya yote na kwenda kote huko hakuna ulipo zungumza kuwa umeongozana na Askari gani wa Dar es Salaam

shahidi: rudia Swali

Matata anarudia Swali lake hapa ndugu zangu..shahidi: nilieleza kuwa tarehe 8 ya Mwezi 8 kuwa nilipoitwa na ACP kingai tukakutana Central

wakili Matata: katika Maelezo yako umezungumzia kuhusu Watuhumiwa Kupelekwa Mbweni, je umewahi kusikia Pale Central Kuna Mtuhumiwa alishwahi Kutoroka?

shahidi: watuhumiwa wanatorokaJaji: Mbona swali rahisi sana shahidi, labda walishawahi kutoroka au hujui

Shahidi: Mimi sijui aisee

wakili Matata: kati ya Central Police Dar es Salaam na Mbweni Police Station wapi pana Usalama zaidi?shahidi: kama nilivyoeleza kuwa kutokana na viongozi kusema watuhumiwa wapelekwe Mbweni kwa usalama

wakili Matata: nakuuliza wewe siyo viongozi wako tafadhali

shahidi: Kama nilivyosema Mbweni ndiyo sehemu sahihi ya kuwapeleka watuhumiwa hao na pana usalama zaidiwakili Matata: utakubaliana nami wakati mnasema mlifika DSM haujasema mli' report kwa nani?

shahidi: Sahihi Kabisa

Matata: tutoke huko turudi kwenye ukamataji, ni sahihi hujjazungumza kuwa kabla ya kuwasachi watuhumiwa kuwa nyie mlisachiwa na nani kwa mujibu wa sheria?shahidi: ni kweli sijazungumza hilo

Matata: katika mazungumzo yako yote hujazungumza kuwa ni wakati gani walichukuliwa maelezo

shahidi: ni sahihi sijazungumza

Matata: Shahidi ulisema ulikuwa kwenye kikosi kazi na kuwasafirisha kutoka Dar es Salaam, Utakubaliana na mimi?kuwa wakati yanafanyika yote wewe ulikuwa sehemu ya Kikosi kazi?

shahidi: hauko sahihi mheshimiwa

Matata: usahihi ni upi?

shahidi: kuna wakati sisi tulikuwa tunaendelea na kazi zingine na nilishaeleza

shahidi: haupo sahihi..wakili Matata: umeeeleza kuwa watuhumiwa walikuwa ni makomandoo?

shahidi: kweli

wakili Matata: Makomandoo ni watu ambao wana mafunzo ya Kijeshi, utakubaliana na mimi wanahitaji security zaidi, ni kweli.?

shahidi: sahihiwakili Matata: wakati mnazungumzia kuwakamata haujazungumzia kuwafunga pingu

shahidi: si kweli

wakili Dickson Matata amemaliza anamshukuru Jaji anaenda kukaa..

Sasa ni zamu ya wakili Msomi, Peter Kibatala..wakili Kibatala: nauliza swali ninalouliza mara zote. je unafahamu kuwa kazi ninayoifanya siyo personal?

shahidi: kweli

wakili Kibatala: mwambie Mheshimiwa Jaji kilichokufanya ushindwe kuja jana ni kwasababu ulikuwa una process kibali cha kijeshi!wakili Kibatala: mwambie Mheshimiwa Jaji kilichokufanya ushindwe kuja jana ni kwa sababu ulikuwa una process kibali cha kijeshi..

shahidi si kweli, umepata wapi taarifa? nilipata Jana asubuhi..

Kibatala: wapi?

shahidi: kwa Afande Kingaiwakili Kibatala: ooohhh! Mwambie Jaji kuwa umewasiliana na Afande Kingai jana saa 3 Asubuhi

shahidi: lakiiiiiiiiiiniiiiiiiiii.......

wakili Peter Kibatala: jibu kulinda heshima yako tafadhali..

shahidi: ndiyo niliwasiliana na Afande KingaiKibatala: Je unafahamu kuwa Kingai alikuwa Shaidi kwenye kesi hii

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: uliona wapi?

shahidi: niliona kwenye mitandao ya kijamii

Kibatala: Kwenye mtandao gani?

shahidi: Twitter

Kibatala: umekana proceeding za maswali na majibu pia

shahidi: HapanaKibatala: nani kakwambia uje kuzungumzia suala ya Chakula Moshi na Himo?

shahidi: ni Jambo la wazi. ndiyo uhalisia.

Kibatala: Nani alikwambia uje kuzungumza masuala ya chakula mahakamani?

Shahidi: Hakuna, ni mambo ya kawaida kwa mwana damu kulaKibatala: unafahamu leo umekuja kwa ajili ya kesi Ndogo, na mojawapo ya MAHAKAMA inachokiangalia ni MAMBO mliyowatendea watuhumiwa ya kuwatesa?

shahidi: hilo nafahamu

Sauti ya Adhana inasikika KIBATALA anamuomba Jaji kupisha Adhana

Jaji anaruhusu zoezi Kusimama kidogoKibatala: Kazi ya Kingai ilikuwa ni nini?

shahidi: ni Mkuu wa Msafara

Kibatala: Adamo pale Boma Ng'ombe alikula Chakula gani?

shahidi: woteeeeee

Kibatala Sitaki wote jibu, Adamoo

shahidi: alikuwa Nyama Choma na MO ENERGY

Kibatala: Nani alilipa?Kibatala: nani alilipia hicho Chakula

shahidi: Afande Kingai

Kibatala' bila shaka baada ya Kutumia aliomba kurejeshewe Pesa zake za kulipia watuhumiwa chakula?

shahidi: siwezi kumjibia

Kibatala: Ulishawahi kushiriki zoezi la retirement za pesa za Kingai alizotumia?Kibatala: Kuna sehemu Umeongelea kumkabidhi Afande Kingai risiti za matumizi yake aweze kurejesha alipopewa pesa

Kibatala: Moshi kuna kambi ndogo ya Jeshi

Shahidi: sifahamu

Kibatala: Kwa hiyo pale Moshi Central walikaa siku mbili?

Shahidi: sahihiKibatala: na wakati mnawaweka Moshi Central police walikuwa wana mafunzo ya Kikomandoo?

shahidi: Ndiyo!

Kibatala: kwa hiyo sababu zipi special zipo Mbweni na hazipo Central zilizopelekea Kupeleka watuhumiwa Mbweni?
shahidi Kituo cha Mbweni ni Class A na Kituo Cha Mbweni hako a Watu wengi tukaamua Kuwatenganisha kutoka Central kuwapeleka Mbweni sababu ya Complexity ga Nature yao

Kibatala: Mwambie Jaji kama ulizungumza chochote Kuhusu two Separates Cells Moshi

Shahidi: sikuongeleaKibatala: Mwambie Jaji kama umezungumza popote kuwa hujasema kuwa vituo vingine kama Salenda havina hadhi ya kuwapeleka

Shahidi: sikusema

Kibatala Unajua Goodluck alikuwa Mbweni

Shahidi: ndiyo nafahamuKibatala: unafahamu details za uchukuliwaji wa maelezo?

shahidi: sifahamu, Sikuwepo

Kibatala: Umeulizwa kuhusu kuandika STATEMENT

shahidi:Sahihi

Kibatala: katika maelezo yako uliyarekodi kama shahidi kuna sehemu umezungumzia washtakiwa walisimama ili walewakili Peter Kibatala: katika maelezo ya maandishi yako kuna sehemu umezungumzia washtakiwa kuwa walishawahi kupelekwa Mbweni...

Shahidi: Hapana..Kibatala sawa ngoja nimepelekee

Shahidi: Mheshimiwa Jaji ananionyesha kitu kingine

JAJI: Muonyeshe taratibu MTAKUWA MMESHA MCHANGANYA shahidi.

wakili Peter Kibatala anasoma PGO 236 (3) ix

Shahidi anarudia kila neno.

Jaji anamwambia atulie sasa kidogoKibatala anamaliza kusoma..

shahidi sasa ametulia baada mchanganyiko pale

Kibatala: Unajua ulipokuwa unafanya arrest ulikuwa unafanya arrest nje ya Kituo chako cha kazi?

shahidi: sahihi kabisa

Kibatala Mwambie Jaji kama leo umetamka haya maneno kama ulimwambia Adamooshahidi: Mheshimiwa wakili anasoma nukuu tofauti kwenye PGO

Jaji: shahidi hebu TULIA jibu unachoulizwa tafadhali, Mnafikiri na mimi sisomi hiyo PGO?

Kibatala: Je, ulisema kama ilivyoandikwa katika PGO?

shahidi: Hapana sikusema kama ilivyoandikwa katika PGOKibatala: nasoma PGO 236(3) sehemu ya 10, Kwamba inataka kurekodi jibu la Adamoo katika Notebook yako

shahidi: Mheshimiwa Jaji anataka kumsaidia Wakili Kibatala PGO 272

Jaji: HIYO SIYO KAZI YAKO

Kibatala: sasa soma hapa kwenye PGO

SHAHIDI anasoma PGO ya 26Kibatala: ni sahihi au siyo sahihi kuwa misingi yote inayoainishwa katika UKAMATAJI LAZIMA IFUATWE KAMA RULA?

shahidi: Sahihi

Kibatala: Unafahamu Notebook kuwa ni kifaakazi katika ukamataji?

shahidi: kama nilivyoeleza kuwa nikifaa changu binafsiKibatala: unafahamu kuwa unakuja kutoa ushahidi kuhusu Statement ya Adam kasekwa?

shahidi: Sifahamu

Kibatala: Mwambie Jaji hujui kuwa ulikuja kutoa ushahidi kuhusu kesi ndogo katika kesi kubwa kuhusu malekezo ya Adamoo

Shahidi: hilo sifahamu..Jaji: kama amabavyo tunazungumzia ukamataji na mambo ya utu kuzingatia naomba na hapa mahakamani tuzingatie mambo ya utu ya kumtendea mtu..

wakili Peter Kibatala: Naomba unisomee hapa katika PGO kuhusu Notebook..shahidi: iasema kuhusiana na kuwa na Notebook lakini silazimishwi kama nakumbuka kila kitu mahakamani

wakili Peter Kibatala: sihitaji tafsiri yako

Jaji: anaingilia kati naona MMECHOKA..

wakili Peter Kibatala: anataka irudiwe kusomwa sehemu ya 7Baada ua mvutano Jaji anatoa dakika kadhaa mawakili wapumzishe vichwa vyao kuhusu mabishano ya shahidi kusoma PGO...

mawakili wa Serikali wanataka Tafsiri ya PGO isitolewe hapa isomwe tafsiri iachiwe mahakama...kesi inatajwa tena

Kibatala: Shahidi unavyofahamu lile eneo ambalo Adamoo alikamatwa ni RAO au RAU?

shahidi: kwa ufahamu wangu ni RAU

Jaji: unaweza Ku' spell

shahidi: R. A. U

Kibatala: unalifahamu kuhusiana na kesi hii kwa sababu ndipo ulipomkamatia Mshtakiwa?shahidi: Ndiyo

wakili Peter Kibatala: Mwambie Mheshimiwa Jaji kama unafahamu sehemu inaitwa RAO

shahidi: inategemea na MATAMSHI

wakili Peter Kibatala: Miye nataka wewe

shahidi: HAPANA, sifahamuKibatala: Mwambie hakimu kama mlipofila Dar es Salaam alfajiri kama mliwapa Chakula Watuhumiwa, uliongelea hilo

shahidi Hapana sijaongelea..

wakili Peter Kibatala: na unafahamu kuwa chakula ni moja ya haki za binadamu? Nani alimkabidhi mtuhumiwa Central?

shahidi Afande Jumannewakili Peter Kibatala: unazifahamu details za makabidhiano ya watuhumiwa?

Shahidi: sifahamu

Kibatala: nilisikia ulichukua maelezo ya Onyo kwa Mshitakiwa Adamoo Kuhusiana na Kosa la Kula Njama kutenda Matendo ya Kigaidi. Je unalifahamu hilo shtaka?

Shahidi: Hapanawakili Peter Kibatala: wewe shahidi ni mwanasheria?

shahidi: Hapana

wakili Peter Kibatala: ilikuwa muda gani baada ya kuwakamata ukasema kwa fact hizi kosa lao ni kula njama za KUTENDA MATENDO ya KIGAIDI

shahidi: Muda tukiwa Arumeru..Kibatala: kwa hiyo ni wewe ndiye ulifahamu hilo kosa au uliambiwa na Afande Kingai hawa wanatakiwa washitakiwe kwa makosa yapi?

shahidi: Afande kingai alituambia kesi ilifunguliwa DSM

Kibatala: kwa hiyo wewe ufahamu Details za shtaka lenyewe?

Shahidi: sifahamuKibatala: Nasikia, kuna mtu mlikamata wakati wa KUKAMATA?

Shahidi: NDIYO

Kibatala: Mwambie Jaji kwamba ni lini ulisadiki kuwa yale ni madawa ya kulevya

Shahidi: tukiona tunajua hiki ni kitu fulani, Tulitumia uzoefu wetu tu..
wakili Peter Kibatala: Mwambie Jaji kuwa mpaka leo unafahamu kuna report iliyotoka kwa mkemia yale ni madawa ya KULEVYA..

shahidi: sifahamu kwa sababu mimi siyo Mpelelezi..wakili Peter Kibatala: Unafahamu kwa mujibu PGO kuwa mtu yoyote anayepatikana na madawa ya kulevya anatakiwa afikishwe mbele ya Hakimu kwa haraka iwezekanavyo?

Shahidi: ndiyo nafahamu..
wakili Peter Kibatala: ulielezea ni siku gani mliwakamata watuhumiwa?

shahidi: Hapana, sikuzungumzia...

wakili Peter Kibatala: Ulizungumza ni lini mlitoka Moshi?

shahidi: Mimi sikuzungumzia..wakili Peter Kibatala: Je kwa ufahamu wako kosa la kula njama linahisiana na madawa ya kulevya?

Shahidi: inategemea

wakili Peter Kibatala: Mwambie Mheshimiwa Jaji iwapo unafahamu connections kati ya kesi iliyopo na madawa ya kulevya

wakili Peter Kibatala: Twende kwenye BundukiKibatala: je ni sahihi kwa mujibu wa PGO Pistol imekuwa Classified kama Property?

shahidi: nafahamu

wakili Peter Kibatala: unafahamu kwa sheria ya UGAIDI Pistol siyo Property?

Shahidi: sifahamuKibatala: Je unafahamu Pistol kama Property hasa kama haijulikani mmiliki wake ni nani kwa mujibu PGO 236 na 272?

shahidi: Sifahamu

Kibatala: Mwambie Mheshimiwa Jaji Property ambayo Pistol haijulikani mmiliki wake ni nani, Utaratibu wake unakuwaje?

Shahidi: upelelezi ufanyikeKibatala: unafahamu chochote kuwa kuna upelelezi umefanyika mpaka mnawapeleka Mbweni kuwa Mmiliki wake ni nani?

shahidi: Hapana sifahamu

Kibatala: Unakubaliana na mimi mtuhumiwa wa madawa ya Kulevya anatakiwa kupelekwa Mahakamani ili upelelezi ufanyike?

Shahidi: sifahamuwakili Peter Kibatala: Umezungumzia kuzunguka Moshi na Machame na Aishi Hotel, mliingia au hamkuingia?

shahidi: kama TIMU hatukuingia..

wakili Peter Kibatala: kama angekuwa NDANI usingejua?

shahidi: Kama timu tungejua baada ya kupata taarifa..shahidi: Kama timu tungejua baada ya Kupata taarifa

wakili Peter Kibatala: mimi nipo specific kuhusiana na Aishi Hotel, kuhusu taarifa za intelijensia mtuhumiwa mliambiwa kuwa yupo ndani au lah?

Shahidi: Mimi sijui...Kibatala: Mlipotola Arusha mlifanya Briefing Arumeru, Mwambie Jaji Taarifa zenu Adamoo, Lingwenya na Moses Lijenje kama waliishi Aishi Aishi Machame

shahidi: Nilikuwa sina

Niliambiwa Kuna waharifu tunaemda kuwakamata, Mimi sikuwa na taarifa kama watuhumiwa wanaishi Aishi Hotel
wakili Peter Kibatala: Shahidi Je, toka Mnafanya Briefing mpaka Mnazumguka nao kuna mahala popote ulikuwa unafahamu kama watuhumiwa wote watatu waliwahi kufanya mkutano Aishi Machame?

Shahidi: Hapana, sifahamu..shahidi: Hapana sifahamu

wakili Peter Kibatala: Mliwafanyia interview washtakiwa wakati mnazunguka nao

shahidi: Afande kingai alikuwa anaripoti kwenye Notebook yake..

wakili Peter Kibatala: Ukiiona utaikumbuka?

Shahidi: Hapana..wakili Peter Kibatala: Umeonyeshwa hapa MAHAKAMANI hiyo NOTEBOOK leo.?

shahidi; Hapana

Jaji anaingilia kati hapa.

Jaji anasema wakili Kibatala aendelee Jumatatu sababu ya muda..

Jaji natamani Kesi iwe inaisha Saa 11 Jioni

Jaji anaomba serikali iwahishe watuhumiwa..Jaji anasema anatamani kuona kesi ikiisha saa 11.

wakili wa serikali: Naomba kesi ihiarishwe mpaka Jumatatu..

Jaji anamuuliza Wakili Kibatala..

Kibatala: naridhia ihairishwe hadi hiyo Jumatatu..jaji anashukuru tena mawakili wa pande zote mbili kuendelea kuvumiliana hata pale hoja zilikuwa ngumu ngumu..

Jaji anasema, namna hii ndiyo tunaweza kufika mwisho vizuri.... Nahairisha shauri hili hadi Jumatatu, saa 4:00 Asubuhi kwa ajili ya kumalizia hoja za majumuisho..jaji ninawatakia Kheri wote hadi hiyo Jumatatu, ahsante sana, Jaji anasimama, polisi anapiga kelele zile za KOOOOOOOORRRRTIIIIII na wote tunasimama..

Mimi pia nawatakia jioni njema, na wapenda na tuendelee kusomana hapa, don't touch the dial. Same time same place. #MboweSioGaidi
 
Jaji: Mimi nimepata nafasi ya kutafakari , nilianza kwenye hoja iliyoibuliwa na wakili wa serikali, kumbukumbu za mahakama zinaonyesha Kibatala alisema kwa niaba ya Mawakili wote na Kwa niaba ya Washitakiwa wote siku hiyo ya 15.09.2020 uwakilishi ilikuwa kwa mawakili wote na kwaNiaba ya washtakiwa wote.

hivyo utenganisho inaanza Leo

ni maamuzi yangu kuwa mahojiano yaliyofanywa na Wakili Kibatala na Wakili Mtobesya kwa niaba ya Mawakili wote na washtakiwa wote

hivyo basi sioni sababu ya kumuita tena shahidi wa kwanzaJaji: Hivyo naangiza kuendelea na shahidi wa pili aitwe sasa tuweze kuendelea....

Jaji: katika Mwenendo wa Mahakama nimeondoa kuwa Kibatala ni Wakili wa mshtakiwa wa 4 kwa siku ya tarehe hiyo ya 15.. Kibatala aliwakilisha washtakiwa wote kwa niaba ya mawakili wote..Jaji anamuita Shahidi

Shahidi anaingia anajikwaa

Jaji: pole sana

Shahidi: naitwa Inspector Mahita

Jaji: wewe ni dini gani?

Shahidi: ni Muislamu

Jaji: unaweza kuapa?

Shahidi: Wallah Wabillah nathibitishaWakili wa Serikali : Shahidi ieleze Mahakama wewe ni Mkazi wa wapi

shahidi: Mkazi wa Morogoro

wakili wa Serikali: Unafanya kazi gani

Shahidi: Polisi

wakili wa Serikali: kabla ya 2021 leo ulikuwa wapi?

shahidi: nilikuwa msaidizi Ofisi ya Upelelezi Arusha wakili wa Serikali umenza lini Kazi ya Upolisi

Shahidi: 2010

wakili wa Serikali: katika Idara ya upelelezi huko Polisi upo tangu lini?

shahidi: Takribani miaka 8

wakili wa Serikali: Ukiwa msaidizi wa upelelezi majukumu yako ni yapi?shahidi: upelelezi wa Makosa ya jinai, ukamataji wa watuhumiwa, Kusimamia Askari ambao wapo chini yangu, Kupokea maelekezo ya Viongozi wangu, kufanya Upekuzi, kufanya escort za watuhumiwa, lengo la msingi Kuzia na kupambana na uhalifuwakili wa Serikali: nitakuuliza Mnamo tarehe 04 Mwezi 08 2020 tarehe hiyo ulikuwa wapi?

shahidi: nilikuwa kituoni natekeleza Majukumu yangu kama kawaida

wakili wa Serikali: kituo gani?

Shahidi: kituo cha kati

wakili wa Serikali: ieleze Mahakama 04.8.2020 jioni ilikuwajeshahidi: nilipigiwa simu na afande wangu ACP Ramadhan Kingai

wakili wa Serikali: eleza alikupigia simu akisemaje

shahidi: aliniambia niende ofisini kwake

wakili wa Serikali: eleza ulivyo tekeleza

shahidi: nilifika ofisini kwake

wakili wa Serikali: alikupa malekezo gani?shahidi: kuna kazi na Askari nitaondoka nao, kuna kazi na suala la kufuatilia

wakili wa Serikali: kitu gani kingine alikueleza?

shahidi: aliniambia niandae Askari wengine

shahidi: tuliaanza safari tukiwa dereva wake Constable Azizi

wakili wa Serikali: mlisimama wapi?shahidi: Polisi Arumeru, wilaya ya Usa river

wakili wa Serikali: Mkaelekea wapi?

shahidi: tulikuwa tunaelekea Kilimanjaro tukasimamama kituo cha USA river wilaya ya Arumeru

Jaji: mwanzo umeongea tofauti, umechanganya?

wakili wa Serikali: rudia Vizuri

shahidi:police Usa riverwakili wa Serikali: Polisi Usa river kilitokea nini?

shahidi: tulishika wote tukiwa na Afande Kingai tukapata Briefing ya kazi

wakili wa Serikali: Briefing uliyopewa ilihusu kazi gani?

Shahidi: Briefing niliyopewa ni kwamba kuna Kikundi kina panga kufanya matukio ya kigaidi
Shahidi: maeneo mbalimbali nchini ikiwemo Arusha, Kilimanjaro, Dar es Salaam na Mwanza na pia kikundi hicho kilikuwa na nia ya kumdhuru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya

wakili wa Serikali: Elezea sasa mkafanyeje?shahidi: kwa kuwa kikundi hicho kilikuwa Mkoa wa Kilimanjaro Wilaya ya Moshi Mjini kwenda Kuwamakata

wakili wa Serikali: baada ya briefing kitu gani kiliendelea?

shahidi: tuliendelea na safari na tulifika majira ya Saa 2 Usiku. tukaendelea na upelelezi kuwakamata watuhumiwawakili wa Serikali: mliendelea na upelelezi mpaka muda gani?

shahidi: ilipofika majira ya saa 6 tukiwa tumewakosa ikabidi tubreak..

wakili wa Serikali: ieleze mahakama sasa tarehe 05 Mwezi wa 8 2020 mlifanya nini!shahidi: ilikuwa muda wa asubuhi tuliendelea kusubiri taarifa ambazo afande alikuwa akizopokea na ilipofika Saa 6 akaniambia kuwa watuhumiwa tuliokuwa tunawatafuta wameonekana Maeneo ya RAU MOSHI..

wakili wa Serikali: Rau ipo Maeneo gani?

shahidi: ipo kama unaelekea Key Hotelwakili wa Serikali: ifahamishe mahakama hatua mlizo chukua ni zipi.

shahidi: kwanza tuliuliza afande hao tunaoenda kuwakamata muonekano wao ukoje? Afande akasema mmoja alikuwa amevaa Shati, Mmoja alikuwa amevaa kama Kitenge na Mtuhumiwa wa tatu alikuwa amevaa Jezi ya mpira..wakili wa Serikali: watu mliotakiwa kuwakamata ni wangapi?

shahidi: watu watatu kwa mujibu wa Afande

wakili wa Serikali: baada ya hapo?

shahidi: tulifika maeneo ambayo walikwepo tukiwa na gari yetu yenye tinted, tuka Drop Section ya kwanza ambayo alioongoza Afande kingaiShahidi: section ya pili nili' drop mimi na Afande Francis na gari

timu ya kwanza ilikuwa inaelekea kwa watuhumiwa.

watuhumiwa walikuwa wameiona, watuhumiwa wawili walianza kutoka wakielekea nilipo mimi..

wakili wa Serikali: eleza uliwatambuaje.shahidi: section ya kwanza ya Afande Kingai ilivyotoka iliwafanya watake kukimbia, ilibidi kuwasimamisha kutaka kujiridhisha

wakili wa Serikali: ifahamishe Mahakama kwa namna gani uliwasimamisha

shahidi: nikawasimamisha kwa Sauti kali "Simama hapo chini ya ulinzi"wakili wa Serikali: baada ya response yako hiyo walifanya nini?

shahidi: walisimama, wakaamriwa kuweka mikono juu wakatii..

wakili wa Serikali: kitu gani kilifuata?

shahidi: nilijitambulisha, naitwa Inspector Mahita natokea Central Arusha nafanya kazi kwenye kikosi Maalumwakili wa Serikali: Baada ya kuwatambulisha?

shahidi: niliwaonya wakiwa wawili kuwa wanatuhumiwa kula njama za kutenda matendo ya ugaidi

wakili wa Serikali: wenzenu wakina Kingai wakati huo walikuwa wapi?

shahidi: walikuwa wanakuja, sababu walikuwa umbali mrefuShahidi: kingai akatoa order kwa Jumanne wapekuliwe

wakili wa Serikali: shahidi sasa ieleze Mahakama Jumanne alitekeleza vipi Maelekezo ya Kingai?

shahidi: alitekeleza, kuna mama mmoja alikuwa anashuhudia pale, aliwaambia wasogee karibu washuhudie anachokifanya..Shahidi: huyo mama alikuwa anauza supu..

wakili wa Serikali: ieleze Mahakama taratibu za Upekuzi.

shahidi: Mmoja ali amriwa asimame juu ambaye baadae nikaja kumtambua alikuwa anaitwa Adamoo Adama kasekwa

wakili wa Serikali: wakati huo ulikuwa unafanya nini?shahidi nilikuwa na afande Jumanne

shahidi: wakati afande anampekua upande wa kushoto wa suruali yake alikuta Luvern Pistol A5340

wakili wa Serikali: kitu gani kingine?

shahidi: aliendelea kumkagua mifukoni akamakuta na kete 58 ambazo baadae zilijulikana ni madawa ya kulevyawakili wa Serikali: kitu gani kingine?

Shahidi: alikuwa na simu yake

wakili wa Serikali: ieleze mahakama ndani ya Pistol palikuwa na kitu gani?

shahidi: ndani ya magazine palikuwa na risasi 3

wakili wa Serikali: baada ya upekuzi nini kilifuata?shahidi: Upekuzi uliofuatia ulikuwa wa Adam Ling'wenya. yeye wakati anapelekuliwa alikuwa na kete 25

wakili wa Serikali: mbali na kete ni kitu gani kingine?

shahidi: na simu yake

wakili wa Serikali kingine unachokumbuka

Shahidi: Hapana kwa sasa..wakili wa Serikali: mashahidi waliokwepo Unawakumbuka, ieleze mahakama majina yao..

Shahidi: nakumbuka majina yao ya kwanza ya Anita na Esther

wakili wa Serikali: baada ya Upekuzi nini kulifuata

shahidi: naona...

wakili Peter Kibatala: Objection aseme ni hear say au anakijuaJaji: mmeelewa?

wakili wa Serikali: ndiyo

shahidi: baada ya Upekuzi

shahidi: tulianza kujaza Certificate of Seizure

wakili wa Serikali: baada ya kusaini kilifuata nini?

wakili Peter Kibatala: Objection hajasema ilisainiwa

Jaji: ni kweli hajasema wakili wa Serikali?wakili wa Serikali: samahani mheshimiwa

shahidi: Baada ya kujaza Certificate of Seizure ilisainiwa na watuhumiwa

wakili wa Serikali mkaelekea wapi?

Shahidi: tukaelekea kituo cha kati Moshi

wakili wa Serikali: wakati mnaelekea Moshi Kitu gani kilifuata?shahidi: yalikuja magari 2 tukapanda

wakili wa Serikali: mkaelekea wapi?

shahidi: kituo cha kati Moshi

wakili wa Serikali: wakati mnaelekea Moshi kitu gani kilifuata?

Shahidi: Afande kingai aliwauliza kwa taarifa alizonazo walikuwa 3, je 3 Moses Lijenje yupo wapi?wakili wa Serikali: Majibu yao yalikuwa ni yapi? +

shahidi: walisema kweli walikuwa naye na wakakubali kutuonyesha alipokuwa, kwani walikuwa naye palepale wakati tunawakamata

shahidi: Afande kingai alitoa maelekezo Afande Francis aendelee kuwachukua maelezo..Shahidi: sisi tuliokuwa kwenye gari jeupe na Afande kingai pamoja na Jummane tukawa tumerudi RAU madukani kumtafuta mtuhumiwa mwingine Moses

wakili wa Serikali: nini sasa mlichofanya?

shahidi: baada ya kurudi tulimkosa..
Shahidi: lakini Adam na Ling'wenya wenyewe wakasema huyu kuna vijiwe vyake tulivyokuwa tunazunguka wote Moshi

wakili wa Serikali: baada ya kutoka Rau mkaelekea wapi?

Shahidi: tukawa tunazunguka maeneo mbalimbali. ndani ya Moshi Mjini, KCMC, Majengo yaani vijiwe vijiweShahidi: baadae tukaenda mpaka Boma Ng'ombe na Aishi..

Jaji: hebu rudia maeneo mliyozunguka ndani ya Moshi

shahidi anarudia.......

wakili wa Serikali: kwanini mlikuwa mnazunguka maeneo hayo?

shahidi: watuhumiwa wenyewe walikuwa wanatuongoza

wakili wa Serikali: ikawajeShahidi: tulimaliza saa nne au saa tano usiku

wakili wa Serikali: nini kilifanyika?

Shahidi: tulikaa pale Boma kwa sababu tulijua atapanda vibasi hadi saa 2 asubuhi. Tulikaa Boma Mg'ombe tukafanya kikao cha kipolisi asubuhi kwenye saa 2 mpaka saa 3. tukaelekea kituo cha katiwakili wa Serikali: mlielekea Kitio cha kati kufanya nini

shahidi: kuwaweka watuhumiwa mahabusu

wakili wa Serikali: siku inayofuata nini kilifanyika?

shahidi: saa 11 kuelekea saa 2 kwenda kuwafuata watuhumiwa mahabusu, kwa Afande alisema tuelekee Stand kuuShahidi: tulienda na watuhumiwa kwa sababu wao ndiyo wanamfahamu, na tulikaa Stand tukijua anaweza kuwa anataka kwenda kusafiri na kukaa stand bila mafanikio

wakili wa Serikali: nini kilifuata?

shahidi: tukielekea maeneo ya pale stand sisi na watuhumiwa tukaenda kupata chaiamejificha na baadae tukaeleka Sakina Arusha

wakili wa Serikali: ifahamishe kama Mlifika Arusha, Arusha mlipita maeneo gani?

shahidi: kwakuwa tulikuwa kwenye leading investigation moja kwa moja tulienda Sakina na hatukumkuta tukaona wanatupotezea mudawakili wa Serikali: baada ya kupata chai nini kilifuata?

shahidi: hoja iliibuka kwa watuhumiwa kuwa Moses ana dada yake Arusha

wakili wa serikali: baada ya hoja hiyo nini kilifuata?

shahidi: Afande Kingai alisema tupite kwanza kwenye vijiwe tulivyopata Jana anaweza kuwawakili wa Serikali: baada ya ya kuwakosa mlielekea wapi?

shahidi: tukielekea Moshi na Afande kingai akatoa malekezo kuwa kwakuwa kesi tunayoifuatilia imefunguliwa Dar es Salaam

wakili wa Serikali: unasema alitakiwa kuelekea Dar es Salaam kwa ajili ya nini?shahidi: kwa sababu Kesi ilifunguliwa Dar es Salaam tulitakiwa twende Dar es Salaam na kwa sababu matukio yalikuwa yafanyike sehemu mbalimbali ikabidi twende Dar es Salaam..

wakili wa Serikali: ieleze mahakama chakula cha mchana mlipata wapi?wakili Peter Kibatala: Objection anafundisha cha kuongea

Jaji: Objection izingatiwe

wakili wa Serikali: nimesikia Mheshimiwa Jaji

wakili wa Serikali: baada ya ya kuelekea Dar es Salaam nini kilifuata?shahidi: tukiwa njia panda Himo gari yetu ilipata Break Down, afande akaita gari nyingine na pale pana kuwa papo bize cha kula cha usiku ilibidi tupate pale.

wakili wa Serikali: kwa kuwa unasema mlipata Break Down ni majira gani mliondoka Pale?shahidi: tuliondoka majira ya saa 2 Usiku na Kufika Dar es Salaam Majira ya saa 11 Alfajiri siku ya tarehe 07

Jaji: Mlifika Dar es Salaam saa ngapi?

shahidi: saa 11 Alfajiri

wakili wa Serikali: nakurudisha nyuma mlipokuwa njia panda Himo unasema mlikula je ni akina nani hao?shahidi: sisi na Convoy yetu yote pamoja na watuhumiwa

wakili wa Serikali: baada ya kufika Central nini kilifuata hiyo saa 11?

shahidi: afande kingai alitupatia Break akatuambia Saa 1 turudi pale Central..

wakili wa Serikali: saa 1 kitu gani kilifanyika?shahidi: afande alitupa maelekezo tutoke kituoni pale Central na Goodluck na Asst. Inspector Swila kuendelea na upelelezi

Jaji: Mlipewa Maelekezo gani?

shahidi: Afande kingai alitupa maelekezo tutoke tuendelee kufanya upelelezi kuhusiana na watuhumiwa ambao bado hawajakamatwawakili wa Serikali: shahidi ieleze mahakama sasa muda wote mlipokuwa mnatoka na watuhumiwa, wakati huo walikuwa kwenye ulinzi wa nani?

shahidi: wakati huo mimi ndiyo nilikuwa nasimamia ulinzi

wakili Serikali: kwakuwa wewe ndiyo ulikuwa na watuhumiwa wakati wote ieleze Mahakamawalikuwa na hali gani?

shahidi: walikuwa na hali nzuri

wakili wa Serikali: sawawakili wa Serikali: Shahidi nakupeleka pia, kwamba Tarehe 7 mlikuwa Dar es Salaam na kwamba mlipewa maelezo kuendelea na upelelezi Je, ni lini tena uliitwa tena kushughukika na watuhumiwa??

shahidi anasita.. anasita tena hapa..

Namna gani pale..Jaji: anasema endeleeni wewe na anaekuongoza ni suala lenu

shahidi: niliitwa 08.8.2020 kituo cha Central na nilipofika nilikutana na Afande kingai na Jopo zima la timu na nilipewa malekezo kuwa watuhumiwa wale wote tuwatie Central pale lockup au tuwapeleke kituo cha MbweniShahidi baada ya kusitasita, sasa anaendelea hapa..

Anasema, kwa sababu ya msingi ni kwamba watuhumiwa kwa mafunzo waliyopitia inapaswa tuwapeleka kituo kingine

Jaji; rudia sababu ipi iliwafanya muwatoe Central police Dar es Salaam tafadhali ndugu shahidi..shahidi: afande Kingai alisema kutoka watuhumiwa wenyewe mafuno yao na Makomandoo, walikuwa ni Makomandoo wa JWTZ na kwamba Complexity ya upelelezi wenyewe sababu watuhumiwa wengine tulikuwa bado hatujawapata

kwamba tuwapeleke kituo cha Mbweni kwa a sababu Kuna Informationtulikuwa hatujazimalizia

wakili wa Serikali: kituo cha Mbweni kipo wapi?

shahidi: kipo Wilaya ya Kinondoni

wakili wa Serikali: mliowapeleka tofauti na wewe mlikuwa na akina nani?

Shahidi: ASP Jumanne, Asst. Inspector Swila, Detective Constable Goodluckwakili wa Serikali: unakumbuka Ilikuwa majira gani

shahidi: Saa nne kuelekea saa tano

Jaji: kama unaweza kufafanua ilikuwa ya Asubuhi au Jioni?

shahidi: ilikuwa Asubuhi?

wakili wa Serikali: Shaidi yapo malalamiko kuwa Watu hawa waliteswa!

shahidi: Hapana, hawakuteswawakili wa Serikali: walipata Treatment gani?

shahidi: walipata Treatment ya Dignity na Respect

wakili wa Serikali: ni hayo tu mheshimiwa Jaji

Jaji: Utetezi Je, mpo tayari kuendelea?

wakili Peter Kibatala: naomba kwanza tushauriane na wakili wa Mshtakiwa ili aanze..KIBWAGIZO..

Kwa hiyo askari polisi wa kikosi cha ACP Ramadhan Kingai walikunywa chai na magaidi, kiroho safi baada ya kupata breakdown eeh! Bado hawa magaidi rojo-rojo kweli, sio kama Osama Bin LADEN.. MAGAIDI??? Face with tears of joy

Tuendelee...Kimya kidogo, kisha anasimama wakili Nashon Nkungu..

Wakili Nashon Nkungu: nakumbuka tarehe 08 ulitoa maelezo Central police?

shahidi: sahihi kabisa

wakili Nashon Nkungu: anampelekea shahidi maelezo hayo..

Shahidi: anayakana kuwa siyo ya kwake sababu hajaya saini..Wakili Nashon: anamuomba sasa Jaji apewe rasmi maelezo hayo mahakamani ambayo shahidi wa pili aliyoyatoa kwa RCO Ilala..

wakili wa Serikali: anamuomba Jaji kuwa wakili aanze kwanza kusema anachotaka kabla ya maelezo..

Jaji: anauliza kwa tashwishwi, Maelezo yapo au hayapo?wakili wa Serikali wanakunali kuwa maelezo hayo yapo Mahakamani..

Jaji anamueleza wakili Nashon Nkungu kuwa Endelea kutengeneza msingi wako, na kisha uyatumie hayo maelezo...wakili Nashon: Shahidi Je, ni kweli maelezo uliyoyatoa katika statement yake ya RCO Ilala kuwa kulikuwa kuna kazi unaenda kufanya Moshi Baada ya kupigiwa na Afande kingai na kuwa ulikuwa hufahamu unaenda wapi tofauti na ulichosema kwenye statement yako?shahidi: ni kweli sikuwa najua mpaka nilipofika Arumeru

wakili Nashon: Je shahidi unaweza kueleza upande ambao mshtakiwa aliposachiwa alitolewa hiyo pistol kwa Demonstration?

shahidi anasimama anafanya kwa kitendowakili Nashon: kati yako na Kingai nani alikuwa na nafasi nzuri ya kuwaona watuhumiwa?

shahidi: wote

wakili Nashon: kwa hiyo ni sahihi nikisema kuwa alichokiona kingai ndicho ulichokiona wewe?

shahidi: kama nilivyosema mimi nilitokea kwa mbele..wakili Nashon: ieleze mahakama kuwa kati ya wewe na Kingai nani anaidanganya Mahakama, Sababu Kingai anasema mliwakamata wakati wanakunywa supu wewe unasema wakati wanatembea..

shahidi: Mimi sijui Kingai katoa ushahidi gani, maana sikuwepo..Nashon: Je shahidi unamfahamu BWIRE?

shahidi: siwezi kujibu

Jaji: Shahidi, unapswa kujibu

shahidi: sikuwa namfhamu kwa tarehe hiyo

Nashon: unaifahamu Police Notebook

shahidi: nafahamu

Nashon: unajua ulitakiwa kuna nayo mahakamani?

shahidi: taarifa ya siri mali ya polisiwakili Nashoni anakaa anamkaribisha wakili John Mallya

Malya: Shahidi ni sahihi Polisi wanapima Afya mara kwa mara?

shahidi: hiyo ni Jambo binafsi

Jaji: Shahidi Jibu tafadhali kama unafahamu au hujui

Mallya: umefanya kazi na Kingai kwa muda gani?

shahidi: kwa Miaka 3 au 2wakili Mallya: kwa hiyo nikisema Kingai ana matatizo ya kusahau au kupoteza kumbukumbu ni sahihi?

shahidi: siwezi kujibu

Jaji; toa JIBU

shahidi: sifahamu

Wakili Mallya: kwa hiyo nikisema Kingai ana kumbukumbu NZURI napatia.?

Shahidi: ndiyo!wakili Mallya: umeeleza katika msafara wemu mlianzia Moshi Je akija mtu akisema mlianzia Boma Ng'ombe atakuwa ni muongo?

Shahidi: Sifahamu.

wakili Mallya: unapswa ujue kwa sababu ulikwepo kwenye msafara..

shahidi: Ndiyo atakuwa anasema uongo..wakili Mallya: Umesema kuwa mliwapa chakula watuhumiwa ila hukutaja aina ya chakula wa kiasi cha chakula

shahidi: ndiyo

Wakili Mallya: Umezungumzia kuhusu kituo cha Polisi Central

shahidi: ndiyo

Wakili Mallya: Je ni Kwei pale kuna huduma zote ikiwemo mahabusu?

shahidi ndiyowakili Mallya: pale Central kuna polisi wengi kuliko Mbweni

shahidi: sahihi kabisa

Mallya: kuna Ofisi ya RPC ILALA?

shahidi: sahihi Kabisa

wakili Mallya: kuna ZCO?

shahidi: sahihi kabisa

Mallya: kuna Mkuu wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam?

shahidi: sahihi Kabisawakili Mallya: Je hawa polisi wote tuliowataja kule Mbweni Wapo?

shahidi: Mheshimiwa naomba arudie swali lake!

Jaji: Swali lake rahisi sana nitakusaidia kukuelewesha. umetaja Ofisi za ZCO, RPC Ilala Je Kule Mbweni Ofisi zipo au hazipo?

shahidi: Mh. naomba ni mjibu wakiliwakili Mallya: Jibu Ofisi zipo au hazipo?

shahidi: hazipo

Wakili Mallya: Sasa hilo ndipo jibu ndugu shahidi

Jaji anasema; kwa sababu ya Afya zetu nahairisha shauri hili kwa dakika 10 tu halafu tutarejea..Mahakama inarejea

Jaji ameingia

Kesi inatajwa tena

Mafaili yana pandishwa kwa jaji

Kila Mtu Yupo Kwenye eneo lake

Upande wa Utetezi na Upande wa Mashitaka

Shahidi inspector Mahita yupo palepale kizimbaniJaji anauliza kama Wakili Mallya amemamaliza

Jaji anauliza Wakili Dickson Matata Kama yupo Tayari Kuendelea

Wakili Dickson Matata nikumbushe Majina yako

shahidi Naitwa Inspector Mahita Omary Mahita

Matata nitakuwa sahihi nikisema wewe ni mtoto wa IGP mstaafu Omary Mahita?shahidi: Sahihi

wakili Matata Wakati Baba yako akiwa IGP wewe Ulikuwa wapi

shahidi: nilikuwa Chuo kikuu

wakili Matata: kwa hiyo wakati Baba yako alikuwa IGP ulikuwa na akili timamu?

shahidi: Ndiyowakili Matata: Unakumbuka kuhusu kauli ya Baba yako kuhusu kuwakuta CUF na visu kuhusu kuleta vurugu nchini?

wakili wa Serikali Objection

wakili Matata: naondoa Swali langu

wakili Matata Kituo cha kwanza Mwaka 2010 ulianzia Kazi wapi

Shahidi: Zanzibarwakili Matata: baada ya hapo ulikwenda wapi

shahidi: Arusha kuwa Msaidizi wa upelelezi wilaya ya Arusha

wakili Matata: nitakuwa sahihi nikisema unawajibika kupokea Maagizo yoyote kutoka kwa kiongozi wako?

shahidi: nawajibika kupokea Maelekezo yoyote kutoka kwa Kiongozi wanguwakili Matata: wakati mnawakamata watuhumiwa mlisema mlikuwa na kikosi Maalum?

shahidi: Kweli

wakili Matata: Kikosi hicho chote kimetokea Arusha?

wakili Matata: Na kikosi hicho kilikuwa chini ya RPC Kingai?

shahidi: Sahihi kabisaMatata: unakubaliana na mimi unapotoka kwenye eneo lako la kazi unapaswa kuwa na movement order?

shahidi: Kweli

Matata: na unapotoka Arusha Kwenda Moshi ni Mkoa Mwingine?

Shahidi: Kweli

wakili Matata: na unapofika mkoa mwingine unapswa uriporti kwanza kwa mamlaka ya Mkoa huo?Shahidi: ni kweli

wakili Matata: Katika maelezo yako hakuna uliposema umeripoti popote

shahidi: Lakini.........

Matata: Jibu ndiyo au siyo

wakili Matata: umeeeleza mahakama umeriport kwa nani?

shahidi: sikuileza Mahakamawakili Matata: kuna sehemu umetoa ushahidi kuwa Umeriport Moshi?

shahidi: Sijaja nao..

wakili Matata: Nyinyi mlipowakamata watuhumiwa ndiyo Mliwasafirisha Mpaka Dar es Salaam!

shahidi: Sahihi Kabisa

wakili Matata: Mallya kakuuliza kuhusu central sitaki kurudia hukoshahidi: nilishamjibu hilo wakili

wakili Matata: unapaswa unijibu mimi sasa hivi..

Jaji: anapswa anijibu mimi..

wakili Matata: Mheshimiwa Jaji, mimi ndiye ninayetaka Jibu lake

Jaji: nakuelewawakili Matata: katika Maelezo yako hakuna sehemu uliyozungumza kuwa Nyie baada ya Kufika Dar es Salaam mlifanya yote na kwenda kote huko hakuna ulipo zungumza kuwa umeongozana na Askari gani wa Dar es Salaam

shahidi: rudia Swali

Matata anarudia Swali lake hapa ndugu zangu..shahidi: nilieleza kuwa tarehe 8 ya Mwezi 8 kuwa nilipoitwa na ACP kingai tukakutana Central

wakili Matata: katika Maelezo yako umezungumzia kuhusu Watuhumiwa Kupelekwa Mbweni, je umewahi kusikia Pale Central Kuna Mtuhumiwa alishwahi Kutoroka?

shahidi: watuhumiwa wanatorokaJaji: Mbona swali rahisi sana shahidi, labda walishawahi kutoroka au hujui

Shahidi: Mimi sijui aisee

wakili Matata: kati ya Central Police Dar es Salaam na Mbweni Police Station wapi pana Usalama zaidi?shahidi: kama nilivyoeleza kuwa kutokana na viongozi kusema watuhumiwa wapelekwe Mbweni kwa usalama

wakili Matata: nakuuliza wewe siyo viongozi wako tafadhali

shahidi: Kama nilivyosema Mbweni ndiyo sehemu sahihi ya kuwapeleka watuhumiwa hao na pana usalama zaidiwakili Matata: utakubaliana nami wakati mnasema mlifika DSM haujasema mli' report kwa nani?

shahidi: Sahihi Kabisa

Matata: tutoke huko turudi kwenye ukamataji, ni sahihi hujjazungumza kuwa kabla ya kuwasachi watuhumiwa kuwa nyie mlisachiwa na nani kwa mujibu wa sheria?shahidi: ni kweli sijazungumza hilo

Matata: katika mazungumzo yako yote hujazungumza kuwa ni wakati gani walichukuliwa maelezo

shahidi: ni sahihi sijazungumza

Matata: Shahidi ulisema ulikuwa kwenye kikosi kazi na kuwasafirisha kutoka Dar es Salaam, Utakubaliana na mimi?kuwa wakati yanafanyika yote wewe ulikuwa sehemu ya Kikosi kazi?

shahidi: hauko sahihi mheshimiwa

Matata: usahihi ni upi?

shahidi: kuna wakati sisi tulikuwa tunaendelea na kazi zingine na nilishaeleza

shahidi: haupo sahihi..wakili Matata: umeeeleza kuwa watuhumiwa walikuwa ni makomandoo?

shahidi: kweli

wakili Matata: Makomandoo ni watu ambao wana mafunzo ya Kijeshi, utakubaliana na mimi wanahitaji security zaidi, ni kweli.?

shahidi: sahihiwakili Matata: wakati mnazungumzia kuwakamata haujazungumzia kuwafunga pingu

shahidi: si kweli

wakili Dickson Matata amemaliza anamshukuru Jaji anaenda kukaa..

Sasa ni zamu ya wakili Msomi, Peter Kibatala..wakili Kibatala: nauliza swali ninalouliza mara zote. je unafahamu kuwa kazi ninayoifanya siyo personal?

shahidi: kweli

wakili Kibatala: mwambie Mheshimiwa Jaji kilichokufanya ushindwe kuja jana ni kwasababu ulikuwa una process kibali cha kijeshi!wakili Kibatala: mwambie Mheshimiwa Jaji kilichokufanya ushindwe kuja jana ni kwa sababu ulikuwa una process kibali cha kijeshi..

shahidi si kweli, umepata wapi taarifa? nilipata Jana asubuhi..

Kibatala: wapi?

shahidi: kwa Afande Kingaiwakili Kibatala: ooohhh! Mwambie Jaji kuwa umewasiliana na Afande Kingai jana saa 3 Asubuhi

shahidi: lakiiiiiiiiiiniiiiiiiiii.......

wakili Peter Kibatala: jibu kulinda heshima yako tafadhali..

shahidi: ndiyo niliwasiliana na Afande KingaiKibatala: Je unafahamu kuwa Kingai alikuwa Shaidi kwenye kesi hii

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: uliona wapi?

shahidi: niliona kwenye mitandao ya kijamii

Kibatala: Kwenye mtandao gani?

shahidi: Twitter

Kibatala: umekana proceeding za maswali na majibu pia

shahidi: HapanaKibatala: nani kakwambia uje kuzungumzia suala ya Chakula Moshi na Himo?

shahidi: ni Jambo la wazi. ndiyo uhalisia.

Kibatala: Nani alikwambia uje kuzungumza masuala ya chakula mahakamani?

Shahidi: Hakuna, ni mambo ya kawaida kwa mwana damu kulaKibatala: unafahamu leo umekuja kwa ajili ya kesi Ndogo, na mojawapo ya MAHAKAMA inachokiangalia ni MAMBO mliyowatendea watuhumiwa ya kuwatesa?

shahidi: hilo nafahamu

Sauti ya Adhana inasikika KIBATALA anamuomba Jaji kupisha Adhana

Jaji anaruhusu zoezi Kusimama kidogoKibatala: Kazi ya Kingai ilikuwa ni nini?

shahidi: ni Mkuu wa Msafara

Kibatala: Adamo pale Boma Ng'ombe alikula Chakula gani?

shahidi: woteeeeee

Kibatala Sitaki wote jibu, Adamoo

shahidi: alikuwa Nyama Choma na MO ENERGY

Kibatala: Nani alilipa?Kibatala: nani alilipia hicho Chakula

shahidi: Afande Kingai

Kibatala' bila shaka baada ya Kutumia aliomba kurejeshewe Pesa zake za kulipia watuhumiwa chakula?

shahidi: siwezi kumjibia

Kibatala: Ulishawahi kushiriki zoezi la retirement za pesa za Kingai alizotumia?Kibatala: Kuna sehemu Umeongelea kumkabidhi Afande Kingai risiti za matumizi yake aweze kurejesha alipopewa pesa

Kibatala: Moshi kuna kambi ndogo ya Jeshi

Shahidi: sifahamu

Kibatala: Kwa hiyo pale Moshi Central walikaa siku mbili?

Shahidi: sahihiKibatala: na wakati mnawaweka Moshi Central police walikuwa wana mafunzo ya Kikomandoo?

shahidi: Ndiyo!

Kibatala: kwa hiyo sababu zipi special zipo Mbweni na hazipo Central zilizopelekea Kupeleka watuhumiwa Mbweni?
shahidi Kituo cha Mbweni ni Class A na Kituo Cha Mbweni hako a Watu wengi tukaamua Kuwatenganisha kutoka Central kuwapeleka Mbweni sababu ya Complexity ga Nature yao

Kibatala: Mwambie Jaji kama ulizungumza chochote Kuhusu two Separates Cells Moshi

Shahidi: sikuongeleaKibatala: Mwambie Jaji kama umezungumza popote kuwa hujasema kuwa vituo vingine kama Salenda havina hadhi ya kuwapeleka

Shahidi: sikusema

Kibatala Unajua Goodluck alikuwa Mbweni

Shahidi: ndiyo nafahamuKibatala: unafahamu details za uchukuliwaji wa maelezo?

shahidi: sifahamu, Sikuwepo

Kibatala: Umeulizwa kuhusu kuandika STATEMENT

shahidi:Sahihi

Kibatala: katika maelezo yako uliyarekodi kama shahidi kuna sehemu umezungumzia washtakiwa walisimama ili walewakili Peter Kibatala: katika maelezo ya maandishi yako kuna sehemu umezungumzia washtakiwa kuwa walishawahi kupelekwa Mbweni...

Shahidi: Hapana..Kibatala sawa ngoja nimepelekee

Shahidi: Mheshimiwa Jaji ananionyesha kitu kingine

JAJI: Muonyeshe taratibu MTAKUWA MMESHA MCHANGANYA shahidi.

wakili Peter Kibatala anasoma PGO 236 (3) ix

Shahidi anarudia kila neno.

Jaji anamwambia atulie sasa kidogoKibatala anamaliza kusoma..

shahidi sasa ametulia baada mchanganyiko pale

Kibatala: Unajua ulipokuwa unafanya arrest ulikuwa unafanya arrest nje ya Kituo chako cha kazi?

shahidi: sahihi kabisa

Kibatala Mwambie Jaji kama leo umetamka haya maneno kama ulimwambia Adamooshahidi: Mheshimiwa wakili anasoma nukuu tofauti kwenye PGO

Jaji: shahidi hebu TULIA jibu unachoulizwa tafadhali, Mnafikiri na mimi sisomi hiyo PGO?

Kibatala: Je, ulisema kama ilivyoandikwa katika PGO?

shahidi: Hapana sikusema kama ilivyoandikwa katika PGOKibatala: nasoma PGO 236(3) sehemu ya 10, Kwamba inataka kurekodi jibu la Adamoo katika Notebook yako

shahidi: Mheshimiwa Jaji anataka kumsaidia Wakili Kibatala PGO 272

Jaji: HIYO SIYO KAZI YAKO

Kibatala: sasa soma hapa kwenye PGO

SHAHIDI anasoma PGO ya 26Kibatala: ni sahihi au siyo sahihi kuwa misingi yote inayoainishwa katika UKAMATAJI LAZIMA IFUATWE KAMA RULA?

shahidi: Sahihi

Kibatala: Unafahamu Notebook kuwa ni kifaakazi katika ukamataji?

shahidi: kama nilivyoeleza kuwa nikifaa changu binafsiKibatala: unafahamu kuwa unakuja kutoa ushahidi kuhusu Statement ya Adam kasekwa?

shahidi: Sifahamu

Kibatala: Mwambie Jaji hujui kuwa ulikuja kutoa ushahidi kuhusu kesi ndogo katika kesi kubwa kuhusu malekezo ya Adamoo

Shahidi: hilo sifahamu..Jaji: kama amabavyo tunazungumzia ukamataji na mambo ya utu kuzingatia naomba na hapa mahakamani tuzingatie mambo ya utu ya kumtendea mtu..

wakili Peter Kibatala: Naomba unisomee hapa katika PGO kuhusu Notebook..shahidi: iasema kuhusiana na kuwa na Notebook lakini silazimishwi kama nakumbuka kila kitu mahakamani

wakili Peter Kibatala: sihitaji tafsiri yako

Jaji: anaingilia kati naona MMECHOKA..

wakili Peter Kibatala: anataka irudiwe kusomwa sehemu ya 7Baada ua mvutano Jaji anatoa dakika kadhaa mawakili wapumzishe vichwa vyao kuhusu mabishano ya shahidi kusoma PGO...

mawakili wa Serikali wanataka Tafsiri ya PGO isitolewe hapa isomwe tafsiri iachiwe mahakama...kesi inatajwa tena

Kibatala: Shahidi unavyofahamu lile eneo ambalo Adamoo alikamatwa ni RAO au RAU?

shahidi: kwa ufahamu wangu ni RAU

Jaji: unaweza Ku' spell

shahidi: R. A. U

Kibatala: unalifahamu kuhusiana na kesi hii kwa sababu ndipo ulipomkamatia Mshtakiwa?shahidi: Ndiyo

wakili Peter Kibatala: Mwambie Mheshimiwa Jaji kama unafahamu sehemu inaitwa RAO

shahidi: inategemea na MATAMSHI

wakili Peter Kibatala: Miye nataka wewe

shahidi: HAPANA, sifahamuKibatala: Mwambie hakimu kama mlipofila Dar es Salaam alfajiri kama mliwapa Chakula Watuhumiwa, uliongelea hilo

shahidi Hapana sijaongelea..

wakili Peter Kibatala: na unafahamu kuwa chakula ni moja ya haki za binadamu? Nani alimkabidhi mtuhumiwa Central?

shahidi Afande Jumannewakili Peter Kibatala: unazifahamu details za makabidhiano ya watuhumiwa?

Shahidi: sifahamu

Kibatala: nilisikia ulichukua maelezo ya Onyo kwa Mshitakiwa Adamoo Kuhusiana na Kosa la Kula Njama kutenda Matendo ya Kigaidi. Je unalifahamu hilo shtaka?

Shahidi: Hapanawakili Peter Kibatala: wewe shahidi ni mwanasheria?

shahidi: Hapana

wakili Peter Kibatala: ilikuwa muda gani baada ya kuwakamata ukasema kwa fact hizi kosa lao ni kula njama za KUTENDA MATENDO ya KIGAIDI

shahidi: Muda tukiwa Arumeru..Kibatala: kwa hiyo ni wewe ndiye ulifahamu hilo kosa au uliambiwa na Afande Kingai hawa wanatakiwa washitakiwe kwa makosa yapi?

shahidi: Afande kingai alituambia kesi ilifunguliwa DSM

Kibatala: kwa hiyo wewe ufahamu Details za shtaka lenyewe?

Shahidi: sifahamuKibatala: Nasikia, kuna mtu mlikamata wakati wa KUKAMATA?

Shahidi: NDIYO

Kibatala: Mwambie Jaji kwamba ni lini ulisadiki kuwa yale ni madawa ya kulevya

Shahidi: tukiona tunajua hiki ni kitu fulani, Tulitumia uzoefu wetu tu..
wakili Peter Kibatala: Mwambie Jaji kuwa mpaka leo unafahamu kuna report iliyotoka kwa mkemia yale ni madawa ya KULEVYA..

shahidi: sifahamu kwa sababu mimi siyo Mpelelezi..wakili Peter Kibatala: Unafahamu kwa mujibu PGO kuwa mtu yoyote anayepatikana na madawa ya kulevya anatakiwa afikishwe mbele ya Hakimu kwa haraka iwezekanavyo?

Shahidi: ndiyo nafahamu..
wakili Peter Kibatala: ulielezea ni siku gani mliwakamata watuhumiwa?

shahidi: Hapana, sikuzungumzia...

wakili Peter Kibatala: Ulizungumza ni lini mlitoka Moshi?

shahidi: Mimi sikuzungumzia..wakili Peter Kibatala: Je kwa ufahamu wako kosa la kula njama linahisiana na madawa ya kulevya?

Shahidi: inategemea

wakili Peter Kibatala: Mwambie Mheshimiwa Jaji iwapo unafahamu connections kati ya kesi iliyopo na madawa ya kulevya

wakili Peter Kibatala: Twende kwenye BundukiKibatala: je ni sahihi kwa mujibu wa PGO Pistol imekuwa Classified kama Property?

shahidi: nafahamu

wakili Peter Kibatala: unafahamu kwa sheria ya UGAIDI Pistol siyo Property?

Shahidi: sifahamuKibatala: Je unafahamu Pistol kama Property hasa kama haijulikani mmiliki wake ni nani kwa mujibu PGO 236 na 272?

shahidi: Sifahamu

Kibatala: Mwambie Mheshimiwa Jaji Property ambayo Pistol haijulikani mmiliki wake ni nani, Utaratibu wake unakuwaje?

Shahidi: upelelezi ufanyikeKibatala: unafahamu chochote kuwa kuna upelelezi umefanyika mpaka mnawapeleka Mbweni kuwa Mmiliki wake ni nani?

shahidi: Hapana sifahamu

Kibatala: Unakubaliana na mimi mtuhumiwa wa madawa ya Kulevya anatakiwa kupelekwa Mahakamani ili upelelezi ufanyike?

Shahidi: sifahamuwakili Peter Kibatala: Umezungumzia kuzunguka Moshi na Machame na Aishi Hotel, mliingia au hamkuingia?

shahidi: kama TIMU hatukuingia..

wakili Peter Kibatala: kama angekuwa NDANI usingejua?

shahidi: Kama timu tungejua baada ya kupata taarifa..shahidi: Kama timu tungejua baada ya Kupata taarifa

wakili Peter Kibatala: mimi nipo specific kuhusiana na Aishi Hotel, kuhusu taarifa za intelijensia mtuhumiwa mliambiwa kuwa yupo ndani au lah?

Shahidi: Mimi sijui...Kibatala: Mlipotola Arusha mlifanya Briefing Arumeru, Mwambie Jaji Taarifa zenu Adamoo, Lingwenya na Moses Lijenje kama waliishi Aishi Aishi Machame

shahidi: Nilikuwa sina

Niliambiwa Kuna waharifu tunaemda kuwakamata, Mimi sikuwa na taarifa kama watuhumiwa wanaishi Aishi Hotel
wakili Peter Kibatala: Shahidi Je, toka Mnafanya Briefing mpaka Mnazumguka nao kuna mahala popote ulikuwa unafahamu kama watuhumiwa wote watatu waliwahi kufanya mkutano Aishi Machame?

Shahidi: Hapana, sifahamu..shahidi: Hapana sifahamu

wakili Peter Kibatala: Mliwafanyia interview washtakiwa wakati mnazunguka nao

shahidi: Afande kingai alikuwa anaripoti kwenye Notebook yake..

wakili Peter Kibatala: Ukiiona utaikumbuka?

Shahidi: Hapana..wakili Peter Kibatala: Umeonyeshwa hapa MAHAKAMANI hiyo NOTEBOOK leo.?

shahidi; Hapana

Jaji anaingilia kati hapa.

Jaji anasema wakili Kibatala aendelee Jumatatu sababu ya muda..

Jaji natamani Kesi iwe inaisha Saa 11 Jioni

Jaji anaomba serikali iwahishe watuhumiwa..Jaji anasema anatamani kuona kesi ikiisha saa 11.

wakili wa serikali: Naomba kesi ihiarishwe mpaka Jumatatu..

Jaji anamuuliza Wakili Kibatala..

Kibatala: naridhia ihairishwe hadi hiyo Jumatatu..jaji anashukuru tena mawakili wa pande zote mbili kuendelea kuvumiliana hata pale hoja zilikuwa ngumu ngumu..

Jaji anasema, namna hii ndiyo tunaweza kufika mwisho vizuri.... Nahairisha shauri hili hadi Jumatatu, saa 4:00 Asubuhi kwa ajili ya kumalizia hoja za majumuisho..jaji ninawatakia Kheri wote hadi hiyo Jumatatu, ahsante sana, Jaji anasimama, polisi anapiga kelele zile za KOOOOOOOORRRRTIIIIII na wote tunasimama..

Mimi pia nawatakia jioni njema, na wapenda na tuendelee kusomana hapa, don't touch the dial. Same time same place. #MboweSioGaidi
Najifunza sheria hapa
 
Jaji: Mimi nimepata nafasi ya kutafakari , nilianza kwenye hoja iliyoibuliwa na wakili wa serikali, kumbukumbu za mahakama zinaonyesha Kibatala alisema kwa niaba ya Mawakili wote na Kwa niaba ya Washitakiwa wote siku hiyo ya 15.09.2020 uwakilishi ilikuwa kwa mawakili wote na kwaNiaba ya washtakiwa wote.

hivyo utenganisho inaanza Leo

ni maamuzi yangu kuwa mahojiano yaliyofanywa na Wakili Kibatala na Wakili Mtobesya kwa niaba ya Mawakili wote na washtakiwa wote

hivyo basi sioni sababu ya kumuita tena shahidi wa kwanzaJaji: Hivyo naangiza kuendelea na shahidi wa pili aitwe sasa tuweze kuendelea....

Jaji: katika Mwenendo wa Mahakama nimeondoa kuwa Kibatala ni Wakili wa mshtakiwa wa 4 kwa siku ya tarehe hiyo ya 15.. Kibatala aliwakilisha washtakiwa wote kwa niaba ya mawakili wote..Jaji anamuita Shahidi

Shahidi anaingia anajikwaa

Jaji: pole sana

Shahidi: naitwa Inspector Mahita

Jaji: wewe ni dini gani?

Shahidi: ni Muislamu

Jaji: unaweza kuapa?

Shahidi: Wallah Wabillah nathibitishaWakili wa Serikali : Shahidi ieleze Mahakama wewe ni Mkazi wa wapi

shahidi: Mkazi wa Morogoro

wakili wa Serikali: Unafanya kazi gani

Shahidi: Polisi

wakili wa Serikali: kabla ya 2021 leo ulikuwa wapi?

shahidi: nilikuwa msaidizi Ofisi ya Upelelezi Arusha wakili wa Serikali umenza lini Kazi ya Upolisi

Shahidi: 2010

wakili wa Serikali: katika Idara ya upelelezi huko Polisi upo tangu lini?

shahidi: Takribani miaka 8

wakili wa Serikali: Ukiwa msaidizi wa upelelezi majukumu yako ni yapi?shahidi: upelelezi wa Makosa ya jinai, ukamataji wa watuhumiwa, Kusimamia Askari ambao wapo chini yangu, Kupokea maelekezo ya Viongozi wangu, kufanya Upekuzi, kufanya escort za watuhumiwa, lengo la msingi Kuzia na kupambana na uhalifuwakili wa Serikali: nitakuuliza Mnamo tarehe 04 Mwezi 08 2020 tarehe hiyo ulikuwa wapi?

shahidi: nilikuwa kituoni natekeleza Majukumu yangu kama kawaida

wakili wa Serikali: kituo gani?

Shahidi: kituo cha kati

wakili wa Serikali: ieleze Mahakama 04.8.2020 jioni ilikuwajeshahidi: nilipigiwa simu na afande wangu ACP Ramadhan Kingai

wakili wa Serikali: eleza alikupigia simu akisemaje

shahidi: aliniambia niende ofisini kwake

wakili wa Serikali: eleza ulivyo tekeleza

shahidi: nilifika ofisini kwake

wakili wa Serikali: alikupa malekezo gani?shahidi: kuna kazi na Askari nitaondoka nao, kuna kazi na suala la kufuatilia

wakili wa Serikali: kitu gani kingine alikueleza?

shahidi: aliniambia niandae Askari wengine

shahidi: tuliaanza safari tukiwa dereva wake Constable Azizi

wakili wa Serikali: mlisimama wapi?shahidi: Polisi Arumeru, wilaya ya Usa river

wakili wa Serikali: Mkaelekea wapi?

shahidi: tulikuwa tunaelekea Kilimanjaro tukasimamama kituo cha USA river wilaya ya Arumeru

Jaji: mwanzo umeongea tofauti, umechanganya?

wakili wa Serikali: rudia Vizuri

shahidi:police Usa riverwakili wa Serikali: Polisi Usa river kilitokea nini?

shahidi: tulishika wote tukiwa na Afande Kingai tukapata Briefing ya kazi

wakili wa Serikali: Briefing uliyopewa ilihusu kazi gani?

Shahidi: Briefing niliyopewa ni kwamba kuna Kikundi kina panga kufanya matukio ya kigaidi
Shahidi: maeneo mbalimbali nchini ikiwemo Arusha, Kilimanjaro, Dar es Salaam na Mwanza na pia kikundi hicho kilikuwa na nia ya kumdhuru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya

wakili wa Serikali: Elezea sasa mkafanyeje?shahidi: kwa kuwa kikundi hicho kilikuwa Mkoa wa Kilimanjaro Wilaya ya Moshi Mjini kwenda Kuwamakata

wakili wa Serikali: baada ya briefing kitu gani kiliendelea?

shahidi: tuliendelea na safari na tulifika majira ya Saa 2 Usiku. tukaendelea na upelelezi kuwakamata watuhumiwawakili wa Serikali: mliendelea na upelelezi mpaka muda gani?

shahidi: ilipofika majira ya saa 6 tukiwa tumewakosa ikabidi tubreak..

wakili wa Serikali: ieleze mahakama sasa tarehe 05 Mwezi wa 8 2020 mlifanya nini!shahidi: ilikuwa muda wa asubuhi tuliendelea kusubiri taarifa ambazo afande alikuwa akizopokea na ilipofika Saa 6 akaniambia kuwa watuhumiwa tuliokuwa tunawatafuta wameonekana Maeneo ya RAU MOSHI..

wakili wa Serikali: Rau ipo Maeneo gani?

shahidi: ipo kama unaelekea Key Hotelwakili wa Serikali: ifahamishe mahakama hatua mlizo chukua ni zipi.

shahidi: kwanza tuliuliza afande hao tunaoenda kuwakamata muonekano wao ukoje? Afande akasema mmoja alikuwa amevaa Shati, Mmoja alikuwa amevaa kama Kitenge na Mtuhumiwa wa tatu alikuwa amevaa Jezi ya mpira..wakili wa Serikali: watu mliotakiwa kuwakamata ni wangapi?

shahidi: watu watatu kwa mujibu wa Afande

wakili wa Serikali: baada ya hapo?

shahidi: tulifika maeneo ambayo walikwepo tukiwa na gari yetu yenye tinted, tuka Drop Section ya kwanza ambayo alioongoza Afande kingaiShahidi: section ya pili nili' drop mimi na Afande Francis na gari

timu ya kwanza ilikuwa inaelekea kwa watuhumiwa.

watuhumiwa walikuwa wameiona, watuhumiwa wawili walianza kutoka wakielekea nilipo mimi..

wakili wa Serikali: eleza uliwatambuaje.shahidi: section ya kwanza ya Afande Kingai ilivyotoka iliwafanya watake kukimbia, ilibidi kuwasimamisha kutaka kujiridhisha

wakili wa Serikali: ifahamishe Mahakama kwa namna gani uliwasimamisha

shahidi: nikawasimamisha kwa Sauti kali "Simama hapo chini ya ulinzi"wakili wa Serikali: baada ya response yako hiyo walifanya nini?

shahidi: walisimama, wakaamriwa kuweka mikono juu wakatii..

wakili wa Serikali: kitu gani kilifuata?

shahidi: nilijitambulisha, naitwa Inspector Mahita natokea Central Arusha nafanya kazi kwenye kikosi Maalumwakili wa Serikali: Baada ya kuwatambulisha?

shahidi: niliwaonya wakiwa wawili kuwa wanatuhumiwa kula njama za kutenda matendo ya ugaidi

wakili wa Serikali: wenzenu wakina Kingai wakati huo walikuwa wapi?

shahidi: walikuwa wanakuja, sababu walikuwa umbali mrefuShahidi: kingai akatoa order kwa Jumanne wapekuliwe

wakili wa Serikali: shahidi sasa ieleze Mahakama Jumanne alitekeleza vipi Maelekezo ya Kingai?

shahidi: alitekeleza, kuna mama mmoja alikuwa anashuhudia pale, aliwaambia wasogee karibu washuhudie anachokifanya..Shahidi: huyo mama alikuwa anauza supu..

wakili wa Serikali: ieleze Mahakama taratibu za Upekuzi.

shahidi: Mmoja ali amriwa asimame juu ambaye baadae nikaja kumtambua alikuwa anaitwa Adamoo Adama kasekwa

wakili wa Serikali: wakati huo ulikuwa unafanya nini?shahidi nilikuwa na afande Jumanne

shahidi: wakati afande anampekua upande wa kushoto wa suruali yake alikuta Luvern Pistol A5340

wakili wa Serikali: kitu gani kingine?

shahidi: aliendelea kumkagua mifukoni akamakuta na kete 58 ambazo baadae zilijulikana ni madawa ya kulevyawakili wa Serikali: kitu gani kingine?

Shahidi: alikuwa na simu yake

wakili wa Serikali: ieleze mahakama ndani ya Pistol palikuwa na kitu gani?

shahidi: ndani ya magazine palikuwa na risasi 3

wakili wa Serikali: baada ya upekuzi nini kilifuata?shahidi: Upekuzi uliofuatia ulikuwa wa Adam Ling'wenya. yeye wakati anapelekuliwa alikuwa na kete 25

wakili wa Serikali: mbali na kete ni kitu gani kingine?

shahidi: na simu yake

wakili wa Serikali kingine unachokumbuka

Shahidi: Hapana kwa sasa..wakili wa Serikali: mashahidi waliokwepo Unawakumbuka, ieleze mahakama majina yao..

Shahidi: nakumbuka majina yao ya kwanza ya Anita na Esther

wakili wa Serikali: baada ya Upekuzi nini kulifuata

shahidi: naona...

wakili Peter Kibatala: Objection aseme ni hear say au anakijuaJaji: mmeelewa?

wakili wa Serikali: ndiyo

shahidi: baada ya Upekuzi

shahidi: tulianza kujaza Certificate of Seizure

wakili wa Serikali: baada ya kusaini kilifuata nini?

wakili Peter Kibatala: Objection hajasema ilisainiwa

Jaji: ni kweli hajasema wakili wa Serikali?wakili wa Serikali: samahani mheshimiwa

shahidi: Baada ya kujaza Certificate of Seizure ilisainiwa na watuhumiwa

wakili wa Serikali mkaelekea wapi?

Shahidi: tukaelekea kituo cha kati Moshi

wakili wa Serikali: wakati mnaelekea Moshi Kitu gani kilifuata?shahidi: yalikuja magari 2 tukapanda

wakili wa Serikali: mkaelekea wapi?

shahidi: kituo cha kati Moshi

wakili wa Serikali: wakati mnaelekea Moshi kitu gani kilifuata?

Shahidi: Afande kingai aliwauliza kwa taarifa alizonazo walikuwa 3, je 3 Moses Lijenje yupo wapi?wakili wa Serikali: Majibu yao yalikuwa ni yapi? +

shahidi: walisema kweli walikuwa naye na wakakubali kutuonyesha alipokuwa, kwani walikuwa naye palepale wakati tunawakamata

shahidi: Afande kingai alitoa maelekezo Afande Francis aendelee kuwachukua maelezo..Shahidi: sisi tuliokuwa kwenye gari jeupe na Afande kingai pamoja na Jummane tukawa tumerudi RAU madukani kumtafuta mtuhumiwa mwingine Moses

wakili wa Serikali: nini sasa mlichofanya?

shahidi: baada ya kurudi tulimkosa..
Shahidi: lakini Adam na Ling'wenya wenyewe wakasema huyu kuna vijiwe vyake tulivyokuwa tunazunguka wote Moshi

wakili wa Serikali: baada ya kutoka Rau mkaelekea wapi?

Shahidi: tukawa tunazunguka maeneo mbalimbali. ndani ya Moshi Mjini, KCMC, Majengo yaani vijiwe vijiweShahidi: baadae tukaenda mpaka Boma Ng'ombe na Aishi..

Jaji: hebu rudia maeneo mliyozunguka ndani ya Moshi

shahidi anarudia.......

wakili wa Serikali: kwanini mlikuwa mnazunguka maeneo hayo?

shahidi: watuhumiwa wenyewe walikuwa wanatuongoza

wakili wa Serikali: ikawajeShahidi: tulimaliza saa nne au saa tano usiku

wakili wa Serikali: nini kilifanyika?

Shahidi: tulikaa pale Boma kwa sababu tulijua atapanda vibasi hadi saa 2 asubuhi. Tulikaa Boma Mg'ombe tukafanya kikao cha kipolisi asubuhi kwenye saa 2 mpaka saa 3. tukaelekea kituo cha katiwakili wa Serikali: mlielekea Kitio cha kati kufanya nini

shahidi: kuwaweka watuhumiwa mahabusu

wakili wa Serikali: siku inayofuata nini kilifanyika?

shahidi: saa 11 kuelekea saa 2 kwenda kuwafuata watuhumiwa mahabusu, kwa Afande alisema tuelekee Stand kuuShahidi: tulienda na watuhumiwa kwa sababu wao ndiyo wanamfahamu, na tulikaa Stand tukijua anaweza kuwa anataka kwenda kusafiri na kukaa stand bila mafanikio

wakili wa Serikali: nini kilifuata?

shahidi: tukielekea maeneo ya pale stand sisi na watuhumiwa tukaenda kupata chaiamejificha na baadae tukaeleka Sakina Arusha

wakili wa Serikali: ifahamishe kama Mlifika Arusha, Arusha mlipita maeneo gani?

shahidi: kwakuwa tulikuwa kwenye leading investigation moja kwa moja tulienda Sakina na hatukumkuta tukaona wanatupotezea mudawakili wa Serikali: baada ya kupata chai nini kilifuata?

shahidi: hoja iliibuka kwa watuhumiwa kuwa Moses ana dada yake Arusha

wakili wa serikali: baada ya hoja hiyo nini kilifuata?

shahidi: Afande Kingai alisema tupite kwanza kwenye vijiwe tulivyopata Jana anaweza kuwawakili wa Serikali: baada ya ya kuwakosa mlielekea wapi?

shahidi: tukielekea Moshi na Afande kingai akatoa malekezo kuwa kwakuwa kesi tunayoifuatilia imefunguliwa Dar es Salaam

wakili wa Serikali: unasema alitakiwa kuelekea Dar es Salaam kwa ajili ya nini?shahidi: kwa sababu Kesi ilifunguliwa Dar es Salaam tulitakiwa twende Dar es Salaam na kwa sababu matukio yalikuwa yafanyike sehemu mbalimbali ikabidi twende Dar es Salaam..

wakili wa Serikali: ieleze mahakama chakula cha mchana mlipata wapi?wakili Peter Kibatala: Objection anafundisha cha kuongea

Jaji: Objection izingatiwe

wakili wa Serikali: nimesikia Mheshimiwa Jaji

wakili wa Serikali: baada ya ya kuelekea Dar es Salaam nini kilifuata?shahidi: tukiwa njia panda Himo gari yetu ilipata Break Down, afande akaita gari nyingine na pale pana kuwa papo bize cha kula cha usiku ilibidi tupate pale.

wakili wa Serikali: kwa kuwa unasema mlipata Break Down ni majira gani mliondoka Pale?shahidi: tuliondoka majira ya saa 2 Usiku na Kufika Dar es Salaam Majira ya saa 11 Alfajiri siku ya tarehe 07

Jaji: Mlifika Dar es Salaam saa ngapi?

shahidi: saa 11 Alfajiri

wakili wa Serikali: nakurudisha nyuma mlipokuwa njia panda Himo unasema mlikula je ni akina nani hao?shahidi: sisi na Convoy yetu yote pamoja na watuhumiwa

wakili wa Serikali: baada ya kufika Central nini kilifuata hiyo saa 11?

shahidi: afande kingai alitupatia Break akatuambia Saa 1 turudi pale Central..

wakili wa Serikali: saa 1 kitu gani kilifanyika?shahidi: afande alitupa maelekezo tutoke kituoni pale Central na Goodluck na Asst. Inspector Swila kuendelea na upelelezi

Jaji: Mlipewa Maelekezo gani?

shahidi: Afande kingai alitupa maelekezo tutoke tuendelee kufanya upelelezi kuhusiana na watuhumiwa ambao bado hawajakamatwawakili wa Serikali: shahidi ieleze mahakama sasa muda wote mlipokuwa mnatoka na watuhumiwa, wakati huo walikuwa kwenye ulinzi wa nani?

shahidi: wakati huo mimi ndiyo nilikuwa nasimamia ulinzi

wakili Serikali: kwakuwa wewe ndiyo ulikuwa na watuhumiwa wakati wote ieleze Mahakamawalikuwa na hali gani?

shahidi: walikuwa na hali nzuri

wakili wa Serikali: sawawakili wa Serikali: Shahidi nakupeleka pia, kwamba Tarehe 7 mlikuwa Dar es Salaam na kwamba mlipewa maelezo kuendelea na upelelezi Je, ni lini tena uliitwa tena kushughukika na watuhumiwa??

shahidi anasita.. anasita tena hapa..

Namna gani pale..Jaji: anasema endeleeni wewe na anaekuongoza ni suala lenu

shahidi: niliitwa 08.8.2020 kituo cha Central na nilipofika nilikutana na Afande kingai na Jopo zima la timu na nilipewa malekezo kuwa watuhumiwa wale wote tuwatie Central pale lockup au tuwapeleke kituo cha MbweniShahidi baada ya kusitasita, sasa anaendelea hapa..

Anasema, kwa sababu ya msingi ni kwamba watuhumiwa kwa mafunzo waliyopitia inapaswa tuwapeleka kituo kingine

Jaji; rudia sababu ipi iliwafanya muwatoe Central police Dar es Salaam tafadhali ndugu shahidi..shahidi: afande Kingai alisema kutoka watuhumiwa wenyewe mafuno yao na Makomandoo, walikuwa ni Makomandoo wa JWTZ na kwamba Complexity ya upelelezi wenyewe sababu watuhumiwa wengine tulikuwa bado hatujawapata

kwamba tuwapeleke kituo cha Mbweni kwa a sababu Kuna Informationtulikuwa hatujazimalizia

wakili wa Serikali: kituo cha Mbweni kipo wapi?

shahidi: kipo Wilaya ya Kinondoni

wakili wa Serikali: mliowapeleka tofauti na wewe mlikuwa na akina nani?

Shahidi: ASP Jumanne, Asst. Inspector Swila, Detective Constable Goodluckwakili wa Serikali: unakumbuka Ilikuwa majira gani

shahidi: Saa nne kuelekea saa tano

Jaji: kama unaweza kufafanua ilikuwa ya Asubuhi au Jioni?

shahidi: ilikuwa Asubuhi?

wakili wa Serikali: Shaidi yapo malalamiko kuwa Watu hawa waliteswa!

shahidi: Hapana, hawakuteswawakili wa Serikali: walipata Treatment gani?

shahidi: walipata Treatment ya Dignity na Respect

wakili wa Serikali: ni hayo tu mheshimiwa Jaji

Jaji: Utetezi Je, mpo tayari kuendelea?

wakili Peter Kibatala: naomba kwanza tushauriane na wakili wa Mshtakiwa ili aanze..KIBWAGIZO..

Kwa hiyo askari polisi wa kikosi cha ACP Ramadhan Kingai walikunywa chai na magaidi, kiroho safi baada ya kupata breakdown eeh! Bado hawa magaidi rojo-rojo kweli, sio kama Osama Bin LADEN.. MAGAIDI??? Face with tears of joy

Tuendelee...Kimya kidogo, kisha anasimama wakili Nashon Nkungu..

Wakili Nashon Nkungu: nakumbuka tarehe 08 ulitoa maelezo Central police?

shahidi: sahihi kabisa

wakili Nashon Nkungu: anampelekea shahidi maelezo hayo..

Shahidi: anayakana kuwa siyo ya kwake sababu hajaya saini..Wakili Nashon: anamuomba sasa Jaji apewe rasmi maelezo hayo mahakamani ambayo shahidi wa pili aliyoyatoa kwa RCO Ilala..

wakili wa Serikali: anamuomba Jaji kuwa wakili aanze kwanza kusema anachotaka kabla ya maelezo..

Jaji: anauliza kwa tashwishwi, Maelezo yapo au hayapo?wakili wa Serikali wanakunali kuwa maelezo hayo yapo Mahakamani..

Jaji anamueleza wakili Nashon Nkungu kuwa Endelea kutengeneza msingi wako, na kisha uyatumie hayo maelezo...wakili Nashon: Shahidi Je, ni kweli maelezo uliyoyatoa katika statement yake ya RCO Ilala kuwa kulikuwa kuna kazi unaenda kufanya Moshi Baada ya kupigiwa na Afande kingai na kuwa ulikuwa hufahamu unaenda wapi tofauti na ulichosema kwenye statement yako?shahidi: ni kweli sikuwa najua mpaka nilipofika Arumeru

wakili Nashon: Je shahidi unaweza kueleza upande ambao mshtakiwa aliposachiwa alitolewa hiyo pistol kwa Demonstration?

shahidi anasimama anafanya kwa kitendowakili Nashon: kati yako na Kingai nani alikuwa na nafasi nzuri ya kuwaona watuhumiwa?

shahidi: wote

wakili Nashon: kwa hiyo ni sahihi nikisema kuwa alichokiona kingai ndicho ulichokiona wewe?

shahidi: kama nilivyosema mimi nilitokea kwa mbele..wakili Nashon: ieleze mahakama kuwa kati ya wewe na Kingai nani anaidanganya Mahakama, Sababu Kingai anasema mliwakamata wakati wanakunywa supu wewe unasema wakati wanatembea..

shahidi: Mimi sijui Kingai katoa ushahidi gani, maana sikuwepo..Nashon: Je shahidi unamfahamu BWIRE?

shahidi: siwezi kujibu

Jaji: Shahidi, unapswa kujibu

shahidi: sikuwa namfhamu kwa tarehe hiyo

Nashon: unaifahamu Police Notebook

shahidi: nafahamu

Nashon: unajua ulitakiwa kuna nayo mahakamani?

shahidi: taarifa ya siri mali ya polisiwakili Nashoni anakaa anamkaribisha wakili John Mallya

Malya: Shahidi ni sahihi Polisi wanapima Afya mara kwa mara?

shahidi: hiyo ni Jambo binafsi

Jaji: Shahidi Jibu tafadhali kama unafahamu au hujui

Mallya: umefanya kazi na Kingai kwa muda gani?

shahidi: kwa Miaka 3 au 2wakili Mallya: kwa hiyo nikisema Kingai ana matatizo ya kusahau au kupoteza kumbukumbu ni sahihi?

shahidi: siwezi kujibu

Jaji; toa JIBU

shahidi: sifahamu

Wakili Mallya: kwa hiyo nikisema Kingai ana kumbukumbu NZURI napatia.?

Shahidi: ndiyo!wakili Mallya: umeeleza katika msafara wemu mlianzia Moshi Je akija mtu akisema mlianzia Boma Ng'ombe atakuwa ni muongo?

Shahidi: Sifahamu.

wakili Mallya: unapswa ujue kwa sababu ulikwepo kwenye msafara..

shahidi: Ndiyo atakuwa anasema uongo..wakili Mallya: Umesema kuwa mliwapa chakula watuhumiwa ila hukutaja aina ya chakula wa kiasi cha chakula

shahidi: ndiyo

Wakili Mallya: Umezungumzia kuhusu kituo cha Polisi Central

shahidi: ndiyo

Wakili Mallya: Je ni Kwei pale kuna huduma zote ikiwemo mahabusu?

shahidi ndiyowakili Mallya: pale Central kuna polisi wengi kuliko Mbweni

shahidi: sahihi kabisa

Mallya: kuna Ofisi ya RPC ILALA?

shahidi: sahihi Kabisa

wakili Mallya: kuna ZCO?

shahidi: sahihi kabisa

Mallya: kuna Mkuu wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam?

shahidi: sahihi Kabisawakili Mallya: Je hawa polisi wote tuliowataja kule Mbweni Wapo?

shahidi: Mheshimiwa naomba arudie swali lake!

Jaji: Swali lake rahisi sana nitakusaidia kukuelewesha. umetaja Ofisi za ZCO, RPC Ilala Je Kule Mbweni Ofisi zipo au hazipo?

shahidi: Mh. naomba ni mjibu wakiliwakili Mallya: Jibu Ofisi zipo au hazipo?

shahidi: hazipo

Wakili Mallya: Sasa hilo ndipo jibu ndugu shahidi

Jaji anasema; kwa sababu ya Afya zetu nahairisha shauri hili kwa dakika 10 tu halafu tutarejea..Mahakama inarejea

Jaji ameingia

Kesi inatajwa tena

Mafaili yana pandishwa kwa jaji

Kila Mtu Yupo Kwenye eneo lake

Upande wa Utetezi na Upande wa Mashitaka

Shahidi inspector Mahita yupo palepale kizimbaniJaji anauliza kama Wakili Mallya amemamaliza

Jaji anauliza Wakili Dickson Matata Kama yupo Tayari Kuendelea

Wakili Dickson Matata nikumbushe Majina yako

shahidi Naitwa Inspector Mahita Omary Mahita

Matata nitakuwa sahihi nikisema wewe ni mtoto wa IGP mstaafu Omary Mahita?shahidi: Sahihi

wakili Matata Wakati Baba yako akiwa IGP wewe Ulikuwa wapi

shahidi: nilikuwa Chuo kikuu

wakili Matata: kwa hiyo wakati Baba yako alikuwa IGP ulikuwa na akili timamu?

shahidi: Ndiyowakili Matata: Unakumbuka kuhusu kauli ya Baba yako kuhusu kuwakuta CUF na visu kuhusu kuleta vurugu nchini?

wakili wa Serikali Objection

wakili Matata: naondoa Swali langu

wakili Matata Kituo cha kwanza Mwaka 2010 ulianzia Kazi wapi

Shahidi: Zanzibarwakili Matata: baada ya hapo ulikwenda wapi

shahidi: Arusha kuwa Msaidizi wa upelelezi wilaya ya Arusha

wakili Matata: nitakuwa sahihi nikisema unawajibika kupokea Maagizo yoyote kutoka kwa kiongozi wako?

shahidi: nawajibika kupokea Maelekezo yoyote kutoka kwa Kiongozi wanguwakili Matata: wakati mnawakamata watuhumiwa mlisema mlikuwa na kikosi Maalum?

shahidi: Kweli

wakili Matata: Kikosi hicho chote kimetokea Arusha?

wakili Matata: Na kikosi hicho kilikuwa chini ya RPC Kingai?

shahidi: Sahihi kabisaMatata: unakubaliana na mimi unapotoka kwenye eneo lako la kazi unapaswa kuwa na movement order?

shahidi: Kweli

Matata: na unapotoka Arusha Kwenda Moshi ni Mkoa Mwingine?

Shahidi: Kweli

wakili Matata: na unapofika mkoa mwingine unapswa uriporti kwanza kwa mamlaka ya Mkoa huo?Shahidi: ni kweli

wakili Matata: Katika maelezo yako hakuna uliposema umeripoti popote

shahidi: Lakini.........

Matata: Jibu ndiyo au siyo

wakili Matata: umeeeleza mahakama umeriport kwa nani?

shahidi: sikuileza Mahakamawakili Matata: kuna sehemu umetoa ushahidi kuwa Umeriport Moshi?

shahidi: Sijaja nao..

wakili Matata: Nyinyi mlipowakamata watuhumiwa ndiyo Mliwasafirisha Mpaka Dar es Salaam!

shahidi: Sahihi Kabisa

wakili Matata: Mallya kakuuliza kuhusu central sitaki kurudia hukoshahidi: nilishamjibu hilo wakili

wakili Matata: unapaswa unijibu mimi sasa hivi..

Jaji: anapswa anijibu mimi..

wakili Matata: Mheshimiwa Jaji, mimi ndiye ninayetaka Jibu lake

Jaji: nakuelewawakili Matata: katika Maelezo yako hakuna sehemu uliyozungumza kuwa Nyie baada ya Kufika Dar es Salaam mlifanya yote na kwenda kote huko hakuna ulipo zungumza kuwa umeongozana na Askari gani wa Dar es Salaam

shahidi: rudia Swali

Matata anarudia Swali lake hapa ndugu zangu..shahidi: nilieleza kuwa tarehe 8 ya Mwezi 8 kuwa nilipoitwa na ACP kingai tukakutana Central

wakili Matata: katika Maelezo yako umezungumzia kuhusu Watuhumiwa Kupelekwa Mbweni, je umewahi kusikia Pale Central Kuna Mtuhumiwa alishwahi Kutoroka?

shahidi: watuhumiwa wanatorokaJaji: Mbona swali rahisi sana shahidi, labda walishawahi kutoroka au hujui

Shahidi: Mimi sijui aisee

wakili Matata: kati ya Central Police Dar es Salaam na Mbweni Police Station wapi pana Usalama zaidi?shahidi: kama nilivyoeleza kuwa kutokana na viongozi kusema watuhumiwa wapelekwe Mbweni kwa usalama

wakili Matata: nakuuliza wewe siyo viongozi wako tafadhali

shahidi: Kama nilivyosema Mbweni ndiyo sehemu sahihi ya kuwapeleka watuhumiwa hao na pana usalama zaidiwakili Matata: utakubaliana nami wakati mnasema mlifika DSM haujasema mli' report kwa nani?

shahidi: Sahihi Kabisa

Matata: tutoke huko turudi kwenye ukamataji, ni sahihi hujjazungumza kuwa kabla ya kuwasachi watuhumiwa kuwa nyie mlisachiwa na nani kwa mujibu wa sheria?shahidi: ni kweli sijazungumza hilo

Matata: katika mazungumzo yako yote hujazungumza kuwa ni wakati gani walichukuliwa maelezo

shahidi: ni sahihi sijazungumza

Matata: Shahidi ulisema ulikuwa kwenye kikosi kazi na kuwasafirisha kutoka Dar es Salaam, Utakubaliana na mimi?kuwa wakati yanafanyika yote wewe ulikuwa sehemu ya Kikosi kazi?

shahidi: hauko sahihi mheshimiwa

Matata: usahihi ni upi?

shahidi: kuna wakati sisi tulikuwa tunaendelea na kazi zingine na nilishaeleza

shahidi: haupo sahihi..wakili Matata: umeeeleza kuwa watuhumiwa walikuwa ni makomandoo?

shahidi: kweli

wakili Matata: Makomandoo ni watu ambao wana mafunzo ya Kijeshi, utakubaliana na mimi wanahitaji security zaidi, ni kweli.?

shahidi: sahihiwakili Matata: wakati mnazungumzia kuwakamata haujazungumzia kuwafunga pingu

shahidi: si kweli

wakili Dickson Matata amemaliza anamshukuru Jaji anaenda kukaa..

Sasa ni zamu ya wakili Msomi, Peter Kibatala..wakili Kibatala: nauliza swali ninalouliza mara zote. je unafahamu kuwa kazi ninayoifanya siyo personal?

shahidi: kweli

wakili Kibatala: mwambie Mheshimiwa Jaji kilichokufanya ushindwe kuja jana ni kwasababu ulikuwa una process kibali cha kijeshi!wakili Kibatala: mwambie Mheshimiwa Jaji kilichokufanya ushindwe kuja jana ni kwa sababu ulikuwa una process kibali cha kijeshi..

shahidi si kweli, umepata wapi taarifa? nilipata Jana asubuhi..

Kibatala: wapi?

shahidi: kwa Afande Kingaiwakili Kibatala: ooohhh! Mwambie Jaji kuwa umewasiliana na Afande Kingai jana saa 3 Asubuhi

shahidi: lakiiiiiiiiiiniiiiiiiiii.......

wakili Peter Kibatala: jibu kulinda heshima yako tafadhali..

shahidi: ndiyo niliwasiliana na Afande KingaiKibatala: Je unafahamu kuwa Kingai alikuwa Shaidi kwenye kesi hii

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: uliona wapi?

shahidi: niliona kwenye mitandao ya kijamii

Kibatala: Kwenye mtandao gani?

shahidi: Twitter

Kibatala: umekana proceeding za maswali na majibu pia

shahidi: HapanaKibatala: nani kakwambia uje kuzungumzia suala ya Chakula Moshi na Himo?

shahidi: ni Jambo la wazi. ndiyo uhalisia.

Kibatala: Nani alikwambia uje kuzungumza masuala ya chakula mahakamani?

Shahidi: Hakuna, ni mambo ya kawaida kwa mwana damu kulaKibatala: unafahamu leo umekuja kwa ajili ya kesi Ndogo, na mojawapo ya MAHAKAMA inachokiangalia ni MAMBO mliyowatendea watuhumiwa ya kuwatesa?

shahidi: hilo nafahamu

Sauti ya Adhana inasikika KIBATALA anamuomba Jaji kupisha Adhana

Jaji anaruhusu zoezi Kusimama kidogoKibatala: Kazi ya Kingai ilikuwa ni nini?

shahidi: ni Mkuu wa Msafara

Kibatala: Adamo pale Boma Ng'ombe alikula Chakula gani?

shahidi: woteeeeee

Kibatala Sitaki wote jibu, Adamoo

shahidi: alikuwa Nyama Choma na MO ENERGY

Kibatala: Nani alilipa?Kibatala: nani alilipia hicho Chakula

shahidi: Afande Kingai

Kibatala' bila shaka baada ya Kutumia aliomba kurejeshewe Pesa zake za kulipia watuhumiwa chakula?

shahidi: siwezi kumjibia

Kibatala: Ulishawahi kushiriki zoezi la retirement za pesa za Kingai alizotumia?Kibatala: Kuna sehemu Umeongelea kumkabidhi Afande Kingai risiti za matumizi yake aweze kurejesha alipopewa pesa

Kibatala: Moshi kuna kambi ndogo ya Jeshi

Shahidi: sifahamu

Kibatala: Kwa hiyo pale Moshi Central walikaa siku mbili?

Shahidi: sahihiKibatala: na wakati mnawaweka Moshi Central police walikuwa wana mafunzo ya Kikomandoo?

shahidi: Ndiyo!

Kibatala: kwa hiyo sababu zipi special zipo Mbweni na hazipo Central zilizopelekea Kupeleka watuhumiwa Mbweni?
shahidi Kituo cha Mbweni ni Class A na Kituo Cha Mbweni hako a Watu wengi tukaamua Kuwatenganisha kutoka Central kuwapeleka Mbweni sababu ya Complexity ga Nature yao

Kibatala: Mwambie Jaji kama ulizungumza chochote Kuhusu two Separates Cells Moshi

Shahidi: sikuongeleaKibatala: Mwambie Jaji kama umezungumza popote kuwa hujasema kuwa vituo vingine kama Salenda havina hadhi ya kuwapeleka

Shahidi: sikusema

Kibatala Unajua Goodluck alikuwa Mbweni

Shahidi: ndiyo nafahamuKibatala: unafahamu details za uchukuliwaji wa maelezo?

shahidi: sifahamu, Sikuwepo

Kibatala: Umeulizwa kuhusu kuandika STATEMENT

shahidi:Sahihi

Kibatala: katika maelezo yako uliyarekodi kama shahidi kuna sehemu umezungumzia washtakiwa walisimama ili walewakili Peter Kibatala: katika maelezo ya maandishi yako kuna sehemu umezungumzia washtakiwa kuwa walishawahi kupelekwa Mbweni...

Shahidi: Hapana..Kibatala sawa ngoja nimepelekee

Shahidi: Mheshimiwa Jaji ananionyesha kitu kingine

JAJI: Muonyeshe taratibu MTAKUWA MMESHA MCHANGANYA shahidi.

wakili Peter Kibatala anasoma PGO 236 (3) ix

Shahidi anarudia kila neno.

Jaji anamwambia atulie sasa kidogoKibatala anamaliza kusoma..

shahidi sasa ametulia baada mchanganyiko pale

Kibatala: Unajua ulipokuwa unafanya arrest ulikuwa unafanya arrest nje ya Kituo chako cha kazi?

shahidi: sahihi kabisa

Kibatala Mwambie Jaji kama leo umetamka haya maneno kama ulimwambia Adamooshahidi: Mheshimiwa wakili anasoma nukuu tofauti kwenye PGO

Jaji: shahidi hebu TULIA jibu unachoulizwa tafadhali, Mnafikiri na mimi sisomi hiyo PGO?

Kibatala: Je, ulisema kama ilivyoandikwa katika PGO?

shahidi: Hapana sikusema kama ilivyoandikwa katika PGOKibatala: nasoma PGO 236(3) sehemu ya 10, Kwamba inataka kurekodi jibu la Adamoo katika Notebook yako

shahidi: Mheshimiwa Jaji anataka kumsaidia Wakili Kibatala PGO 272

Jaji: HIYO SIYO KAZI YAKO

Kibatala: sasa soma hapa kwenye PGO

SHAHIDI anasoma PGO ya 26Kibatala: ni sahihi au siyo sahihi kuwa misingi yote inayoainishwa katika UKAMATAJI LAZIMA IFUATWE KAMA RULA?

shahidi: Sahihi

Kibatala: Unafahamu Notebook kuwa ni kifaakazi katika ukamataji?

shahidi: kama nilivyoeleza kuwa nikifaa changu binafsiKibatala: unafahamu kuwa unakuja kutoa ushahidi kuhusu Statement ya Adam kasekwa?

shahidi: Sifahamu

Kibatala: Mwambie Jaji hujui kuwa ulikuja kutoa ushahidi kuhusu kesi ndogo katika kesi kubwa kuhusu malekezo ya Adamoo

Shahidi: hilo sifahamu..Jaji: kama amabavyo tunazungumzia ukamataji na mambo ya utu kuzingatia naomba na hapa mahakamani tuzingatie mambo ya utu ya kumtendea mtu..

wakili Peter Kibatala: Naomba unisomee hapa katika PGO kuhusu Notebook..shahidi: iasema kuhusiana na kuwa na Notebook lakini silazimishwi kama nakumbuka kila kitu mahakamani

wakili Peter Kibatala: sihitaji tafsiri yako

Jaji: anaingilia kati naona MMECHOKA..

wakili Peter Kibatala: anataka irudiwe kusomwa sehemu ya 7Baada ua mvutano Jaji anatoa dakika kadhaa mawakili wapumzishe vichwa vyao kuhusu mabishano ya shahidi kusoma PGO...

mawakili wa Serikali wanataka Tafsiri ya PGO isitolewe hapa isomwe tafsiri iachiwe mahakama...kesi inatajwa tena

Kibatala: Shahidi unavyofahamu lile eneo ambalo Adamoo alikamatwa ni RAO au RAU?

shahidi: kwa ufahamu wangu ni RAU

Jaji: unaweza Ku' spell

shahidi: R. A. U

Kibatala: unalifahamu kuhusiana na kesi hii kwa sababu ndipo ulipomkamatia Mshtakiwa?shahidi: Ndiyo

wakili Peter Kibatala: Mwambie Mheshimiwa Jaji kama unafahamu sehemu inaitwa RAO

shahidi: inategemea na MATAMSHI

wakili Peter Kibatala: Miye nataka wewe

shahidi: HAPANA, sifahamuKibatala: Mwambie hakimu kama mlipofila Dar es Salaam alfajiri kama mliwapa Chakula Watuhumiwa, uliongelea hilo

shahidi Hapana sijaongelea..

wakili Peter Kibatala: na unafahamu kuwa chakula ni moja ya haki za binadamu? Nani alimkabidhi mtuhumiwa Central?

shahidi Afande Jumannewakili Peter Kibatala: unazifahamu details za makabidhiano ya watuhumiwa?

Shahidi: sifahamu

Kibatala: nilisikia ulichukua maelezo ya Onyo kwa Mshitakiwa Adamoo Kuhusiana na Kosa la Kula Njama kutenda Matendo ya Kigaidi. Je unalifahamu hilo shtaka?

Shahidi: Hapanawakili Peter Kibatala: wewe shahidi ni mwanasheria?

shahidi: Hapana

wakili Peter Kibatala: ilikuwa muda gani baada ya kuwakamata ukasema kwa fact hizi kosa lao ni kula njama za KUTENDA MATENDO ya KIGAIDI

shahidi: Muda tukiwa Arumeru..Kibatala: kwa hiyo ni wewe ndiye ulifahamu hilo kosa au uliambiwa na Afande Kingai hawa wanatakiwa washitakiwe kwa makosa yapi?

shahidi: Afande kingai alituambia kesi ilifunguliwa DSM

Kibatala: kwa hiyo wewe ufahamu Details za shtaka lenyewe?

Shahidi: sifahamuKibatala: Nasikia, kuna mtu mlikamata wakati wa KUKAMATA?

Shahidi: NDIYO

Kibatala: Mwambie Jaji kwamba ni lini ulisadiki kuwa yale ni madawa ya kulevya

Shahidi: tukiona tunajua hiki ni kitu fulani, Tulitumia uzoefu wetu tu..
wakili Peter Kibatala: Mwambie Jaji kuwa mpaka leo unafahamu kuna report iliyotoka kwa mkemia yale ni madawa ya KULEVYA..

shahidi: sifahamu kwa sababu mimi siyo Mpelelezi..wakili Peter Kibatala: Unafahamu kwa mujibu PGO kuwa mtu yoyote anayepatikana na madawa ya kulevya anatakiwa afikishwe mbele ya Hakimu kwa haraka iwezekanavyo?

Shahidi: ndiyo nafahamu..
wakili Peter Kibatala: ulielezea ni siku gani mliwakamata watuhumiwa?

shahidi: Hapana, sikuzungumzia...

wakili Peter Kibatala: Ulizungumza ni lini mlitoka Moshi?

shahidi: Mimi sikuzungumzia..wakili Peter Kibatala: Je kwa ufahamu wako kosa la kula njama linahisiana na madawa ya kulevya?

Shahidi: inategemea

wakili Peter Kibatala: Mwambie Mheshimiwa Jaji iwapo unafahamu connections kati ya kesi iliyopo na madawa ya kulevya

wakili Peter Kibatala: Twende kwenye BundukiKibatala: je ni sahihi kwa mujibu wa PGO Pistol imekuwa Classified kama Property?

shahidi: nafahamu

wakili Peter Kibatala: unafahamu kwa sheria ya UGAIDI Pistol siyo Property?

Shahidi: sifahamuKibatala: Je unafahamu Pistol kama Property hasa kama haijulikani mmiliki wake ni nani kwa mujibu PGO 236 na 272?

shahidi: Sifahamu

Kibatala: Mwambie Mheshimiwa Jaji Property ambayo Pistol haijulikani mmiliki wake ni nani, Utaratibu wake unakuwaje?

Shahidi: upelelezi ufanyikeKibatala: unafahamu chochote kuwa kuna upelelezi umefanyika mpaka mnawapeleka Mbweni kuwa Mmiliki wake ni nani?

shahidi: Hapana sifahamu

Kibatala: Unakubaliana na mimi mtuhumiwa wa madawa ya Kulevya anatakiwa kupelekwa Mahakamani ili upelelezi ufanyike?

Shahidi: sifahamuwakili Peter Kibatala: Umezungumzia kuzunguka Moshi na Machame na Aishi Hotel, mliingia au hamkuingia?

shahidi: kama TIMU hatukuingia..

wakili Peter Kibatala: kama angekuwa NDANI usingejua?

shahidi: Kama timu tungejua baada ya kupata taarifa..shahidi: Kama timu tungejua baada ya Kupata taarifa

wakili Peter Kibatala: mimi nipo specific kuhusiana na Aishi Hotel, kuhusu taarifa za intelijensia mtuhumiwa mliambiwa kuwa yupo ndani au lah?

Shahidi: Mimi sijui...Kibatala: Mlipotola Arusha mlifanya Briefing Arumeru, Mwambie Jaji Taarifa zenu Adamoo, Lingwenya na Moses Lijenje kama waliishi Aishi Aishi Machame

shahidi: Nilikuwa sina

Niliambiwa Kuna waharifu tunaemda kuwakamata, Mimi sikuwa na taarifa kama watuhumiwa wanaishi Aishi Hotel
wakili Peter Kibatala: Shahidi Je, toka Mnafanya Briefing mpaka Mnazumguka nao kuna mahala popote ulikuwa unafahamu kama watuhumiwa wote watatu waliwahi kufanya mkutano Aishi Machame?

Shahidi: Hapana, sifahamu..shahidi: Hapana sifahamu

wakili Peter Kibatala: Mliwafanyia interview washtakiwa wakati mnazunguka nao

shahidi: Afande kingai alikuwa anaripoti kwenye Notebook yake..

wakili Peter Kibatala: Ukiiona utaikumbuka?

Shahidi: Hapana..wakili Peter Kibatala: Umeonyeshwa hapa MAHAKAMANI hiyo NOTEBOOK leo.?

shahidi; Hapana

Jaji anaingilia kati hapa.

Jaji anasema wakili Kibatala aendelee Jumatatu sababu ya muda..

Jaji natamani Kesi iwe inaisha Saa 11 Jioni

Jaji anaomba serikali iwahishe watuhumiwa..Jaji anasema anatamani kuona kesi ikiisha saa 11.

wakili wa serikali: Naomba kesi ihiarishwe mpaka Jumatatu..

Jaji anamuuliza Wakili Kibatala..

Kibatala: naridhia ihairishwe hadi hiyo Jumatatu..jaji anashukuru tena mawakili wa pande zote mbili kuendelea kuvumiliana hata pale hoja zilikuwa ngumu ngumu..

Jaji anasema, namna hii ndiyo tunaweza kufika mwisho vizuri.... Nahairisha shauri hili hadi Jumatatu, saa 4:00 Asubuhi kwa ajili ya kumalizia hoja za majumuisho..jaji ninawatakia Kheri wote hadi hiyo Jumatatu, ahsante sana, Jaji anasimama, polisi anapiga kelele zile za KOOOOOOOORRRRTIIIIII na wote tunasimama..

Mimi pia nawatakia jioni njema, na wapenda na tuendelee kusomana hapa, don't touch the dial. Same time same place. #MboweSioGaidi
walioanzisha hii kesi itawachachia tu.
 
Kesi itafutwa kabla ya IGP na Boazi kuitwa.
Kwa Nole Proseque (No Case To Answer). Labda maagizo yasitoke juu maana Freeman Mbowe alishaambiwa na Kingai "This Time Huchomoki", ina maanisha maagizo yalishatoka juu hapo hata malaika washushwe option ya kui dismiss case kwa Nole sidhani kama itakuwepo.

Kesi ya Ugaidi ila ushahidi ni wa kete za madawa ya kulevya. Nchi hii ni vituko kwenda mbele.
 
61 Reactions
Reply
Back
Top Bottom