Yaliyojiri kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Uhujumu Uchumi - Sept 17, 2021

Hali ya ndani ya mahakama kuu Divisheni ya makosa ya uhujumu uchumi na Rushwa ni shwari

Leo tumepita getini bila bugudha na hakuna polisi wa nje zaidi ya hawa maalum wa mahakama...
Bado hamjasema ,mbinu ya kuwazodoa mawakili wanaofanya kazi kwa mujibu wa sheria za nchi ili kuwa discourage haitafanikiwa kumnusuru Mbowe ,kitakachomuokoa ni yeye kutoshiriki uovu anaotuhumiwa nao
 
Pamoja kuwa wewe ni CCM, kama wenzako mnafurahia Mbowe kubambikiwa kesi, lakini tahadhali unayoitoa ni sawa, hakuna kudharau kitu chochote katika kesi. Waje , wasije ni kujiandaa by 1,000,000,000 times for anything to come or might come.....
Sorry mkuu. I am not a CCM member. I'm just cautioning. They may be for dirty tricks.
 
u
Wakala wa shetani wewe!Laana ya Mungu na iwe juu yako ,familia Na ukoo wako.Mungu asikuchukue mapema ukashuhudia mateso ya familia yako Na wazazi wako
umisahau na mumewe pia
 
Bado hamjasema ,mbinu ya kuwazodoa mawakili wanaofanya kazi kwa mujibu wa sheria za nchi ili kuwa discourage haitafanikiwa kumnusuru Mbowe ,kitakachomuokoa ni yeye kutoshiriki uovu anaotuhumiwa nao
Mwenye kazi/jukumu la kuthibitisha tuhuma ni yule alieleta mashitaka, yaani Jamhuri.
 
Back
Top Bottom