Akipuuza ushauri unaomtakia mena shauri yake.Man mbona unaonekana kama una matatizo ya afya ya akili? Chukua hatua mkuu usidharau jaribu kwenda hospitali uonane na psychologist
Akipuuza ushauri unaomtakia mena shauri yake.Man mbona unaonekana kama una matatizo ya afya ya akili? Chukua hatua mkuu usidharau jaribu kwenda hospitali uonane na psychologist
endelea kusikiliza!Umesikika Kitaulo,sasa tufanyeji
litakalobarikiwa duniani na mbinguni limebarikiwaUtamzaa mwenye ulemavu mkubwa zaidi ya huo. Utakumbuka maneno haya
Bado hamjasema ,mbinu ya kuwazodoa mawakili wanaofanya kazi kwa mujibu wa sheria za nchi ili kuwa discourage haitafanikiwa kumnusuru Mbowe ,kitakachomuokoa ni yeye kutoshiriki uovu anaotuhumiwa naoHali ya ndani ya mahakama kuu Divisheni ya makosa ya uhujumu uchumi na Rushwa ni shwari
Leo tumepita getini bila bugudha na hakuna polisi wa nje zaidi ya hawa maalum wa mahakama...
Sorry mkuu. I am not a CCM member. I'm just cautioning. They may be for dirty tricks.Pamoja kuwa wewe ni CCM, kama wenzako mnafurahia Mbowe kubambikiwa kesi, lakini tahadhali unayoitoa ni sawa, hakuna kudharau kitu chochote katika kesi. Waje , wasije ni kujiandaa by 1,000,000,000 times for anything to come or might come.....
umisahau na mumewe piaWakala wa shetani wewe!Laana ya Mungu na iwe juu yako ,familia Na ukoo wako.Mungu asikuchukue mapema ukashuhudia mateso ya familia yako Na wazazi wako
Damu ya Yesu yatosha mkuu!Endeleeni Na uwakala wa shetani .Hata Kama siyo hapa duniani tutasubiri MbinguniBado hamjasema ,mbinu ya kuwazodoa mawakili wanaofanya kazi kwa mujibu wa sheria za nchi ili kuwa discourage haitafanikiwa kumnusuru Mbowe ,kitakachomuokoa ni yeye kutoshiriki uovu anaotuhumiwa nao
Mwenye kazi/jukumu la kuthibitisha tuhuma ni yule alieleta mashitaka, yaani Jamhuri.Bado hamjasema ,mbinu ya kuwazodoa mawakili wanaofanya kazi kwa mujibu wa sheria za nchi ili kuwa discourage haitafanikiwa kumnusuru Mbowe ,kitakachomuokoa ni yeye kutoshiriki uovu anaotuhumiwa nao
Jaribu kwa Martin Twitter... Yupo live kabisaMbona hamna updates, kesi imehairishwa au imekuaje?
Jaribu kwa Martin Twitter... Yupo live kabisa
siyo umli wewe....kabla haujaanza kunishobokea jifunze kwanza kukaza ulimi....Umli wako na matamshi yako vinakinzana
Nauliza tena, kweli wewe una akili nzuri?kwenye hiyo msg nimeongea kitu gani kibaya mpaka watu wananitolea povu namna hii.....
Never argue with a foolsiyo umli wewe....kabla haujaanza kunishobokea jifunze kwanza kukaza ulimi....