Updates: Yanayojili Safari ya wanakawe kuelekea mji wa Birmingham Marekani

View attachment 1931749

View attachment 1931751


Habari za kazi pia poleni na majukumu wapendwa,

Itakumbukwa katika kampeni za uchaguzi jimbo la kawe, mgombea wa Chama cha mapinduzi ambaye ndiye mbunge wa sasa wa Kawe mh Askofu Gwajima, alituhaidi vijana wa kawe kwenda mji wa Birmingham na Vijana wa Birmingham kuja huku kawe,

Kumekua na ukimya hapo katikati juu ya safari hii lakini leo naomba kuwafahamisha juu ya kinachoendelea


mpaka sasa baadhi ya vijana wa kawe tumeisha jipanga na wiki ijayo tunatarajia kwenda ofisi ya mbunge atupe utaratibu wa jinsi ya kupata paspoti za kusafilia ili isije ikaleta sintofahamu,

Tutakwenda pia kupata tarehe Rasmi ya kuelekea Birmingham, kwani tunaamini Askofu ni Mcha Mungu hawezi kutoa ahadi za uongo mbele ya kadamnasi,

Tunashukuru sana kwani haikua rahisi sisi kufika Mji wa Birmingham jimbo la Michigan USA tunamshukuru sana Askofu pamoja na Chama cha mapinduzi kwa ujumla,

Tunaomba muendelee kuwa na subira tutawafahamisha kila kinachoendelea pia tunaiomba serikali Isiweke ugumu kwenye upatikanaji wa paspoti kwani safari hii itajumuisha watu wengi sana

vile vile tunaomba mamlaka husika wawe waangalifi sana ili wasije wakajichanganya na vijana ambao sio wa Kawe,

tunaomba na wabunge wengine muige mfano huu mzuri wa mbunge wa kawe kwani italeta manufaa kwa watanzania wengi, tutakaapofika Birmingham tutajifuza mengi kwa faida ya vizazi vijavyo


View attachment 1931778

update zinaendelea kuja......

Labda mwende kolomije
 
😁 kwaherini wanakawe, tutawamiss...mkirudi mtuletee zawadi huko.

Wakati mbunge wenu anawaandaa muende mbelezzz sie mbunge wetu ametuletea tozo.
 
View attachment 1931749

View attachment 1931751


Habari za kazi pia poleni na majukumu wapendwa,

Itakumbukwa katika kampeni za uchaguzi jimbo la kawe, mgombea wa Chama cha mapinduzi ambaye ndiye mbunge wa sasa wa Kawe mh Askofu Gwajima, alituhaidi vijana wa kawe kwenda mji wa Birmingham na Vijana wa Birmingham kuja huku kawe,

Kumekua na ukimya hapo katikati juu ya safari hii lakini leo naomba kuwafahamisha juu ya kinachoendelea


mpaka sasa baadhi ya vijana wa kawe tumeisha jipanga na wiki ijayo tunatarajia kwenda ofisi ya mbunge atupe utaratibu wa jinsi ya kupata paspoti za kusafilia ili isije ikaleta sintofahamu,

Tutakwenda pia kupata tarehe Rasmi ya kuelekea Birmingham, kwani tunaamini Askofu ni Mcha Mungu hawezi kutoa ahadi za uongo mbele ya kadamnasi,

Tunashukuru sana kwani haikua rahisi sisi kufika Mji wa Birmingham jimbo la Michigan USA tunamshukuru sana Askofu pamoja na Chama cha mapinduzi kwa ujumla,

Tunaomba muendelee kuwa na subira tutawafahamisha kila kinachoendelea pia tunaiomba serikali Isiweke ugumu kwenye upatikanaji wa paspoti kwani safari hii itajumuisha watu wengi sana

vile vile tunaomba mamlaka husika wawe waangalifi sana ili wasije wakajichanganya na vijana ambao sio wa Kawe,

tunaomba na wabunge wengine muige mfano huu mzuri wa mbunge wa kawe kwani italeta manufaa kwa watanzania wengi, tutakaapofika Birmingham tutajifuza mengi kwa faida ya vizazi vijavyo


View attachment 1931778

update zinaendelea kuja......
Kwahiyo chama cha mapinduzi kinagharamia nauli! Asante chama sikivu.
 
View attachment 1931749

View attachment 1931751


Habari za kazi pia poleni na majukumu wapendwa,

Itakumbukwa katika kampeni za uchaguzi jimbo la kawe, mgombea wa Chama cha mapinduzi ambaye ndiye mbunge wa sasa wa Kawe mh Askofu Gwajima, alituhaidi vijana wa kawe kwenda mji wa Birmingham na Vijana wa Birmingham kuja huku kawe,

Kumekua na ukimya hapo katikati juu ya safari hii lakini leo naomba kuwafahamisha juu ya kinachoendelea


mpaka sasa baadhi ya vijana wa kawe tumeisha jipanga na wiki ijayo tunatarajia kwenda ofisi ya mbunge atupe utaratibu wa jinsi ya kupata paspoti za kusafilia ili isije ikaleta sintofahamu,

Tutakwenda pia kupata tarehe Rasmi ya kuelekea Birmingham, kwani tunaamini Askofu ni Mcha Mungu hawezi kutoa ahadi za uongo mbele ya kadamnasi,

Tunashukuru sana kwani haikua rahisi sisi kufika Mji wa Birmingham jimbo la Michigan USA tunamshukuru sana Askofu pamoja na Chama cha mapinduzi kwa ujumla,

Tunaomba muendelee kuwa na subira tutawafahamisha kila kinachoendelea pia tunaiomba serikali Isiweke ugumu kwenye upatikanaji wa paspoti kwani safari hii itajumuisha watu wengi sana

vile vile tunaomba mamlaka husika wawe waangalifi sana ili wasije wakajichanganya na vijana ambao sio wa Kawe,

tunaomba na wabunge wengine muige mfano huu mzuri wa mbunge wa kawe kwani italeta manufaa kwa watanzania wengi, tutakaapofika Birmingham tutajifuza mengi kwa faida ya vizazi vijavyo


View attachment 1931778

update zinaendelea kuja......
Tapeli gwajima anaweza kuahidi lolote. Mnakumbuka ahadi ya kumfufua Amina Chifupa? Basi tieni akilini mmeliwa mchana kweupe.
 
Kwahiyo chama cha mapinduzi kinagharamia nauli! Asante chama sikivu.
EB1a2SzUcAANopf.jpg
 
Back
Top Bottom