Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,754
Kati ya silaha 16 zilizokamatwa nyumbani kwa mbunge wa kishapu Mhe. Suleiman Nchambi ni silaha 6 tu zina vibali huku silaha 10 zikiwa hazina uhalali wa umiliki wake.
kilo 35 za nyama zinazodhaniwa kuwa ni za wanyama pori sampuli zake zimepelekwa kwa Mkemia Mkuu. Clouds Media on Twitter
Jr
kilo 35 za nyama zinazodhaniwa kuwa ni za wanyama pori sampuli zake zimepelekwa kwa Mkemia Mkuu. Clouds Media on Twitter
Jr