Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
chama cha madaktari nchini MAT kimeitisha mkutano wa kutoa mrejesho kwa madaktari na kada nyingine za afya juu ya mazungumnzo kati ya serikali na kamati teule ya madaktari.
kikao hiki kinaonekana ni cha siri mno lakini tutajitahidi kuwapa updates kadri inavyowezekana.
kikao hiki kinaonekana ni cha siri mno lakini tutajitahidi kuwapa updates kadri inavyowezekana.
[h=6] Hakuna jipya, madai yote yametupwa kule. (1) Mshahara utapanda pamoja na sekta nyingine mwezi July. 2) Posho ya nyumba, serikali itajenga nyumba 700 ktk mikoa 70 na si drs wote watapewa nyumba wala posho ya nyumba. 3) Call allowance zitabaki kama waziri mkuu Pinda alivyozipandisha Feb. 4) Hardship na risk allowance serikali itaona ni jinsi ngani watatekeleza ktk bajeti ya 2013/14. 5) BIMA, serikali itajadiliana na wizara ya afya jinsi gani watakavyofanya na wakifikia muafaka watatueleza walichoamua. 6) Serikali imeandaa muundo wa kukopesha watumishi wa serikali kuu magari kuanzia bajeti ijayo ya 2012/13[/h]