Ozzie
JF-Expert Member
- Oct 9, 2007
- 3,217
- 1,259
Sorry mkuu, nilijua nime post link. Natumia kijisimuhii ni post au comment?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sorry mkuu, nilijua nime post link. Natumia kijisimuhii ni post au comment?
Sorry mkuu, nilijua nimeweka link, siwezi paste, format inaharibika. Natumia kijisimu kidogo.Watu wengine bwana. !!!
Sorry mkuu, sikuona kama sija post linkDuu ....ni sheeda
Wamwache Nape tena.Nape amepitishwa?
Uchaguzi utakuwa kivutio Kigoma mjini. Zitto inabidi afanye kazi ya ziada hasa ukawa wakimpata mgombea mzuri.Duu ....ni sheeda
Nape hapitishwi, anapitisha.Nape amepitishwa?
HAKUNA AIBU WALA UDHALILISHAJI KWENYE SWALA KAMA HILI LA MAENDELEO YA JAMII KUJARIBU UONGOZI TENA WA KIDEMOKRASIA NA SIO WA UTEUZI, HITIMISHO NI KUWA AMETHUBUTU NA AMEWEZA CHANGAMOTO NI KUWA HAKUFANIKIWA.Yule kijana mtoto wa mchungaji Mwizarubi aliyekua anagombea kupitishwa kua mgombea wa ubunge kwa tiketi ya ccm mjini Arusha ametupwa mbali kwenye kura na kuishia kujiaribia reputation yake na kanisa la baba yake. Kapata kura 2,1,45, na 9 kwenye baadhi ya kata. Hii ni aibu sana. Huyu jamaa yani kajiibisha sana.View attachment 272932View attachment 272933View attachment 272934View attachment 272935