Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Hata namba 2 huyo bi mkubwa ake ni katibu wa kudumu serikalini sijui ofisi ipi, ila anajiamini na ana confidence za kutosha too bad the bi.....h hates on the dude commenting right now....

Hahaha simpendiiii..mazw wake ni Mainuna Tarishi..mgoogle!
 
huyo mariam ditopile alishawahi kuwa makamu wa rais wa serikali ya wanafunzi CBE DODOMA, ila ni mapepe sana hajatulia hata kidogo
 
TAARIFA RASMI KWA VYOMBO VYA HABARI
WANACHAMA WA CCM WALIOTEULIWA KUGOMBEA UBUNGE NA UWAKILISHI WA MAJIMBO NA VITI MAALUM KATIKA UCHAGUZI WA MWAKA 2015
NA.MKOAWILAYAJIMBOALIYETEULIWA
1.Arusha Arusha MjiniArusha Ndugu Philemon Mollel
Karatu
KaratuDkt. Wilbard Slaa Lorri
ArumeruArumeru MagharibiNdugu Loy Thomas ole Sabaya
Arumeru MasharikiNdugu John Danielson Sakaya (JD)
LongidoLongidoDkt. Stephen Lemomo Kiruswa
MonduliMonduliNdugu Namelock Edward Sokoine
NgorongoroNgorongoroNdugu William Tate ole Nasha
2.Dar es SalaamIlalaUkonga KURA ZINARUDIWA
IlalaNdugu Zungu Mussa Azzan
SegereaNdugu Bonna Mosse Kaluwa
TemekeTemekeNdugu Abasi Zuberi Mtemvu
KigamboniDkt. Faustine Engelbert Ndugulile
MbagalaNdugu Issa Ally A. Mangungu
KinondoniKawe Ndugu Kippi Ivor Warioba
UbungoDkt. Didas John Masaburi
KibambaDkt. Fenela E. Mkangala
KinondoniNdugu Iddi Azzan
3DodomaChembaChembaNdugu Juma Selemani Nkamia
BahiBahiNdugu Omar Ahmed Badwel
MpwapwaKibakweNdugu George Boniface Simbachawene
MpwapwaNdugu George Malima Lubeleje
ChamwinoMteraNdugu Livingstone Joseph Lusinde
ChilonwaKURA ZINARUDIWA
Dodoma MjiniDodoma MjiniNdugu Antony Peter Mavunde

NA.MKOAWILAYAJIMBOALIYETEULIWA
Kongwa KongwaNdugu Job Y. Ndugai
KondoaKondoa MjiniNdugu Sanda Edwin
Kondoa VijijiniDkt. Ashatu Kijaji
4.GeitaGeita Geita MjiniNdugu Costantine John Kanyansu
Geita VijijiniNdugu Joseph Lwinza Kasheku
BusandaNdugu Lolensia Masele Bukwimba
MbogweMbogweNdugu Augustino Manyanda Massele
BukombeBukombeNdugu Doitto Mashaka Biteko
ChatoChatoDkt. Medard Matogolo Kalemani
NyangwaleNdugu Hussein Nassor Amar
5..
IringaIringa MjiniIringa MjiniNdugu Mwakalebela Fredrick Wilfred
Iringa VijijiniIsimaniNdugu William Vangimembe Lukuvi
KalengaNdugu Godfrey William Mgimwa
KiloloKiloloKURA ZINARUDIWA
MufindiMufindi KaskaziniNdugu Mahmoud Hassan Mgimwa
Mufindi KusiniNdugu Mendrad Lutengano Kigola
Mafinga MjiniNdugu Cosato David Chumi
6KageraBukoba MjiniBukoba MjiniBalozi Khamis Sued Kagasheki
Bukoba VijijiniBukoba VijijiniNdugu Jasson Samson Rweikiza
BiharamuloBiharamulo Ndugu Osca Rwegasira Mkassa
KaragweKaragweNdugu Innocent Luugha Bashungwa
KyerwaKyerwaNdugu Innocent Sebba Bilakwate
MulebaMuleba KaskaziniNdugu Charles John Mwijage
Muleba KusiniProf. Anna Kajumulo Tibaijuka
MisenyiNkengeNdugu Diodorus Buberwa Kamala
NgaraNgaraNdugu Alex Raphael Gashaza

NA.MKOAWILAYAJIMBOALIYETEULIWA
7.KataviMpandaMpanda MjiniNdugu Sebastian Simon Kapufi
Mpanda VijijiniNdugu Moshi Selemani Kakoso
MleleKataviNdugu Issack Aloyce Kamwele
NsimboNdugu Richard Philip Mbogo
KavuuDkt. Pudenciana Wilfred Kikwembe
8.KigomaKakonkoBuyunguEng. Christopher K. Chiza
KibondoMuhambweEng. Atashasta Nditye
KasuluKasulu MjiniNdugu Daniel Nsanzugwanko
Kasulu VijijiniNdugu Augustino Vuma Holle
BuhigweManyovuNdugu Albert Obama Ntabaliba
Kigoma MjiniKigoma MjiniNdugu Amani Walid Kabourou
Kigoma VijijiniKigoma KaskaziniNdugu Peter Joseph Serukamba
UvinzaKigoma KusiniNdugu Hasna Sudi Mwilima
9.KilimanjaroHaiHaiNdugu Danstan Lucas Mallya
SihaNdugu Aggrey Deaidile Mwanri
Moshi MjiniMoshi MjiniNdugu Mosha Davis Elisa
MwangaMwangaProfesa Jumanne A. Maghembe
SameSame MashirikiNdugu Anne Kilango Malecela
Same MagharibiNdugu David Mathayo David
Moshi VijijiniMoshi VijijiniDkt. Cyril August Chami
VunjoNdugu Innocent Melleck Shirima
WilayaRomboNdugu Sanje Samora Colman
10.LindiRuangwaRuangwaNdugu Majaliwa Kassim Majaliwa
LiwaleLiwaleNdugu Faith Mohamed Mitambo
NachingweaNachingweaNdugu Hassan Elias Masala

NA.MKOAWILAYAJIMBOALIYETEULIWA
Lindi VijijiniMtamaNdugu Nape Moses Nnauye
MchingaNdugu Said Mohamed Mtanda
Lindi MjiniLindi MjiniNdugu Hassan Seleman Kaunje
KilwaKilwa KusiniNdugu Hasnain Gulamabas Dewji
Kilwa KaskaziniNdugu Murtaza Ally Mangungu
11.MaraBundaBunda MjiniNdugu Steven Masatu Wasira
MwibaraNdugu Kangi Alphaxard Lugola
Bunda VijijiniNdugu Boniface Mwita Getere
TarimeTarime Ndugu Christopher Ryoba Kangoye
Tarime MjiniNdugu Michael Mwita Kembaki
SerengetiSerengetiDkt. Steven Kebwe Kebwe
ButiamaButiamaNdugu Nimrod Elirehemah Mkono
Butiama VijijiniProf. Sospeter Mwinjarubi Muhongo
RoryaRoryaNdugu Lameck Okambo Airo
Musoma MjiniMusoma MjiniNdugu Vedastus Mathayo Manyinyi
12.ManyaraBabati MjiniBabati Mjini Ndugu Kisyeri Chambiri
Babati VijijiniBabati VijijiniNdugu Jittu Vrajilal Son
Hanang’Hanang’Dkt. Mary Michael Nagu
KitetoKitetoLitaamuliwa na Kikao Kijacho cha Kamati Kuu
MbuluMbulu MjiniNdugu Zacharia Paulo Issaay
Mbulu VijijiniNdugu Fratei Gregory Massay
SimanjiroSimanjiroNdugu Christopher Olonyhokie Ole Sendeka
13.MbeyaMbeya MjiniMbeya MjiniNdugu Sambwee Shitambala Mwalyego
Mbeya VijijiniMbeya VijijiniNdugu Oran M. Njeza
MbaraliMbaraliNdugu Haroon Mullah Pirmohamed

NA.MKOAWILAYAJIMBOALIYETEULIWA
RungweRungweNdugu Sauli Henry Amon
BusokeloNdugu Atupele Fredy Mwakibete
IlejeIlejeNdugu Janeth Zebedayo Mbene
MboziMboziNdugu Weston Godfrey Zambi
VwawaNdugu Ngailonga Josephat Kasunga
Momba MombaNdugu Luca Jelas Siyame
TundumaNdugu Frank Mastara Sichalwe
ChunyaLupaNdgu Victor Mwambalaswa
SongweNdugu Philip A. Mulugo
KyelaKyelaDkt. Harrison George Mwakyembe
14.MorogoroMorogoro MjiniMorogoro MjiniNdugu Abood Mohamed Abdul Aziz
Morogoro VijijiniMorogoro KusiniNdugu Prosper Joseph Mbena
Morogoro Kusini MasharikiNdugu Omar Tibweta Mgumba
GairoGairoNdugu Ahmed Shabiby
MvomeroMvomeroNdugu Suleiman Ahmed Saddiq
MikumiNdugu Jones Estomih Nkya
KilomberoKilomberoNdugu Abubakar Damian Asenga
MlimbaNdugu Godwin Emmanuel Kunambi
UlangaUlanga Mashariki Ndugu Celina Ompeshi Kombani
Ulanga MagharibiDkt. Hadji Mponda
KilosaKilosaNdugu Mbaraka Salum Bawazir
15.MtwaraMtwara MjiniMtwara MjiniNdugu Hasnen Mohamed Murji
NanyambaNdugu Abdallah Dadi Chikota
Mtwara VijijiniMtwara VijijiniNdugu Hawa Abdulhaman Ghasia
TandahimbaTandahimbaNdugu Shaibu Salum Likumbo

NA.MKOAWILAYAJIMBOALIYETEULIWA
NewalaNewala MjiniNdugu George Huruma Mkuchika
Newala VijijiniNdugu Rashid Ajali Akbar
NanyumbuNanyumbuNdugu William Dua Mkurua
MasasiNdandaNdugu Mariam Reuben Kasembe
MasasiNdugu Chuachua Mohamed Rashid
LulindiNdugu Jerome Dismas Bwanausi
16.MwanzaIlemelaIlemelaNdugu Angelina Sylvester Lubala Mabula
NyamaganaNyamaganaNdugu Stanslaus S. Mabula
KwimbaKwimbaNdugu Mansoor Shanif Hiran
SumveNdugu Richard Maganga Ndassa
MisungwiMisungwiNdugu Charles Mhangwa Kitwanga
MaguMaguNdugu Boniventura Desdery Kiswaga
SengeremaSengeremaNdugu William Mganga Ngeleja
BuchosaDkt. Charles John Tzeba
UkereweUkereweNdugu Christopher Nyandiga
17.NjombeNjombe KusiniNjombe Kaskazini Ndugu Joram Hongoli
Njombe KusiniLitaamuliwa na Kikao Kijacho cha Kamati Kuu
Wanging’ombeMakambakoNdugu Deo Kasenytenbda Sanga
Wanging’ombeNduguy Gerson Hosea Lwenge
LudewaLudewaNdugu Deo Filikunjombe
MaketeMaketeKURA ZINARUDIWA
18.PwaniBagamoyoBagamoyoDkt. Shukuru Kawambwa
ChalinzeNdugu Ridhiwani J. Kikwete
Kibaha
Kibaha MjiniNdugu Sylvester Francis Koka
Kibaha VijijiniNdugu Hamoud Abuu Jumaa


NA.MKOAWILAYAJIMBOALIYETEULIWA
KisaraweKisaraweNdugu Selemani Said Jaffo
MafiaMafiaNdugu Mbaraka K. Dau
Mkuranga MkurangaNdugu Abdallah H. Ulega
RufijiRufijiKURA ZINARUDIWA
KibitiKibitiNdugu Ally Seif Ungando
19.RukwaSumbawanga MjiniSumbawanga MjiniNdugu Aeshi Khalfan Hilaly
NkansiNkansi KaskaziniNdugu Ally Mohamed Kessy
Nkansi KusiniNdugu Deuderit John Mipata
Sumbawanga VijijiniKwelaNdugu Ignas Aloyce Malocha
KalamboKalamboNdugu Josephat Sinkamba Kandege
20.RuvumaSongea MjiniSongea MjiniNdugu Leonidas Tutubert Gama
NyasaNyasaNdugu Eng. Stella Martin Manyanya
TunduruTunduru Kaskazini Ndugu Ramo Matala Makani
Tunduru KusiniNdugu Daimu Iddi Mpakate
Songea VijijiniPeramihoNdugu Jenister Joakim Mhagama
MadabaNdugu Joseph Kisito Mhagama
NamtumboNamtumboKURA ZINARUDIWA
MbingaMbinga MjiniNdugu Sixtus Raphael Mapunda
Mbinga VijijiniKURA ZINARUDIWA KATA MBILI
21.SimiyuBariadiBariadi MagharibiNdugu Andrew John Chenge
ItilimaBariadi Mashariki (Itilima)Ndugu Njalu Daudi Silanga
MeatuMeatuNdugu Salum Khamis Salumu
KisesaNdugu Luhanga Joelson Mpina



NA.MKOAWILAYAJIMBOALIYETEULIWA
BusegaBusegaKURA ZINARUDIWA
MaswaMaswa MasharikiNdugu Stanslaus Haroun Nyongo
Maswa MagharibiNdugu Mashimba Mashauri Ndaki
22.SingidaSingida Singida MjiniNdugu Ramadhani Sima
Singida KaskaziniNdugu Lazaro Nyalandu
MkalamaIramba MasharikiNdugu Joseph Allan Kiula
IrambaIramba MagharibiNdugu Mwigulu Lamech Nchemba
ManyoniManyoni MagharibiNdugu Yahya Omari Masare
Manyoni MasharikiNdugu Daniel Edward Mtuka
IkungiSingida MasharikiLitaamuliwa na Kikao Kijacho cha Kamati Kuu
Singida MagharibiNdugu Elibariki Emmanuel Kingu
23.ShinyangaShinyanga MjiniShinyanga MjiniNdugu Steven Masele
Shinyanga VijijiniSolwaNdugu Ahmed Ally Salum
KishapuKishapuNdugu Suleiman Masoud Nchambi
KahamaMsalalaNdugu Ezekiel Magolyo Maige
Ushetu Ndugu Elias John Kwandikwa
Kahama MjiniNdugu Kishimba Jumanne Kibera
24.TaboraTabora MjiniTabora MjiniNdugu Emmanuel Mwakasaka
UyuiIgalulaNdugu Ntimizi Rashidi Mussa
Kaskazini UyuiNdugu Maige Athumani Almas
SikongeSikongeNdugu George Joseph Kakunda
UramboUrambo Ndugu Margareth Samwel Sita
KaliuaKaliuaProfesa Juma Athuman Kapuya




NA.MKOAWILAYAJIMBOALIYETEULIWA
UlyankuluNdugu John Peter Kadutu
NzegaNzega MjiniNdugu Hussein Mohamed Bashe
Bukene Ndugu Suleiman Juma Zedi
Nzega VijijiniDkt. Hamis Andrea Kigwangala
IgungaIgunga Dkt Dalaly Peter Kafumu
ManongaNdugu Seif Hamis Said
25.TangaTanga MjiniTanga Mjini Ndugu Omari Rashid Nundu
LushotoLushotoNdugu Shabani Omari Shekilindi
BumbuliNdugu Januari Yusuf Makamba
MlaloNdugu Rashid Abdakkag Shangazi
PanganiPangani Ndugu Jumaa Hamidu Aweso
KilindiKilindiNdugu Omari Mohamed Kigua
MkingaMkingaNdugu Danstan Luka Kitandula
HandeniHandeni MjiniDkt. Abdallah Omar Kigoda
Handeni VijijiniNdugu Mboni Mohamed Mhita
MuhezaMuhezaBalozi Adadi Mohamed Rajabu
KorogweKorogwe MjiniNdugu Mary Pius Chatanda
Korogwe VijijiniNdugu Stephen Hillary Ngonyani









ORODHA YA MAJIMBO YA UCHAGUZI 2015 UBUNGE - ZANZIBAR
NA.MKOAWILAYAJIMBOALIYETEULIWA
1.Kaskazini PembaWeteGando Ndugu Salim Bakar Issa
Kojani Ndugu Masoud Ali Moh’d
MgogoniNdugu Issa Juma Hamad
MtambweNdugu Khamis Seif Ali
WeteDkt. Abdalla Saleh Abdalla
MicheweniMicheweniNdugu Khamis Juma Omar
TumbeNdugu Rashid Kassim Abdalla
KondeNdugu Ramadhan Omar Ahmed
WingwiNdugu Khamis Shaame Hamad
2.Kaskazini UngujaKaskazini “A”ChaaniNdugu Khamis Yahya Machano
KijiniNdugu Makame Mashaka Foum
MkwajuniNdugu Khamis Ali Vuai
NungwiNdugu Mustafa Makame Hamadi
TumbatuNdugu Juma Othman Hija
Kaskazini “B”BumbwiniNdugu Mbarouk Juma Khatib
DongeNdugu Sadifa Juma Khamis
KiwengwaNdugu Khamis Mtumwa Ali
MahondaNdugu Bahati Ali Abeid
3.Kusini PembaChake ChakeChake ChakeNdugu Mbaraka Said Rashid
ChongaNdugu Abdalla Omar Muya
OleNdugu Omar Mjaka Ali
WawiNdugu Daud Khamis Juma
ZiwaniNdugu Mohamed Othman Omar





NA.MKOAJIMBOALIYETEULIWA
MkoaniChambaniNdugu Moh’d Abdulrahman Mwinyi
KiwaniNdugu Rashid Abdulla Rashid
MkoaniProf. Makame Mnyaa Mbarawa
MtambileNdugu Khamis Salum Ali
4.Kusini UngujaKatiChwakaNdugu Bhagwanji Meisuria (Mshamba)
TunguuNdugu Khalifa Salum Suleiman
UziniNdugu Salum Mwinyi Rehani
KusiniMakunduchiNdugu Haji Ameir Haji (Timbe)
PajeNdugu Jaffar Sanya Jussa
5.MagharibiDimaniDimani Ndugu Hafidh Ali Tahir
Chukwani
FuoniNdugu Abass Ali Hassan
KiembesamakiNdugu Ibrahim Hassanali Mohamed
KijitoupeleNdugu Shamsi Vuai Nahodha
MwanakwerekweNdugu Ahmada Yahya Abdulwakil (Shaa)
MfenesiniBububuNdugu Mwantakaje Haji Juma
MfenesiniCol. Mst. Masoud Ali Khamis
WelezoNdugu Saada Mkuya Salum
MweraNdugu Makame Kassim Makame
6.MjiniAmaniAmaniNdugu Mussa Hassan Mussa
ChumbuniNdugu Ussi Salum Pondeza
MagomeniNdugu Jamal Kassim Ali
MpendaeNdugu Salim Hassan Turkey
ShaurimoyoNdugu Matar Ali Salum

NA.MKOAWILAYAJIMBOALIYETEULIWA
MjiniJang’ombeNdugu Ali Hassan Omar (King)
KikwajuniNdugu Hamad Yussuf Masauni
KwahaniDr. Hussein Ali Mwinyi
MalindiDkt. Abdulla Juma Abdalla

ORODHA YA MAJIMBO YA UCHAGUZI 2015 BARAZA LA WAWAKILISHI - ZANZIBAR
NA.MKOAWILAYAJIMBOALIYETEULIWA
1.Kaskazini PembaWeteMgogoniNdugu Shehe Hamad Matar
GandoNdugu Maryam Thani Juma
KojaniNdugu Makame Said Juma
MtambweNdugu Khadija Omar Kibano
WeteNdugu Harusi Said Suleiman
MicheweniMicheweniNdugu Shamata Shaame Khamis
TumbeNdugu Ali Khamis Bakar
KondeNdugu Omar Seif Abeid
WingwiNdugu Said Omar Said
2.Kaskazini UngujaKaskazini “A”ChaaniNdugu Nadil Abdul-Latif Jussa
KijiniNdugu Juma Makungu Juma
MkwajuniNdugu Ussi Yahaya Haji
NungwiNdugu Ame Haji Ali
TumbatuNdugu Haji Omar Kheri
Kaskazini “B”BumbwiniNdugu Mtumwa Peya Yussuf
DongeDkt. Khalid Salum Mohamed
KiwengwaNdugu Asha Abdalla Mussaa
MahondaBalozi Seif Alli Iddi


NA.MKOAWILAYAJIMBOALIYETEULIWA
3.Kusini PembaChake ChakeChake ChakeNdugu Suleiman Sarhan Said
ChongaNdugu Shaibu Said Ali
OleNdugu Mussa Ali Mussa
WawiNdugu Hamad Abdalla Rashid
ZiwaniNdugu Suleiman Makame Ali
4.MkoaniChambaniNdugu Bahati Khamis Kombo
KiwaniNdugu Mussa Foum Mussa
MkoaniNdugu Mmanga Mjwengo Mjawiri
MtambileNdugu Moh’d Mgaza Jecha
5.Kusini UngujaKatiChwakaNdugu Issa Haji Ussi
TunguuNdugu Simai Mohamed Said
UziniNdugu Mohamedraza H. Dharamsi
KusiniMakunduchiNdugu Haroun Ali Suleiman
PajeNdugu Jaku Hashim Ayoub
6.MagharibiDimaniChukwaniNdugu Mwanaasha Khamis Juma
DimaniDkt. Mwinyihaji Makame Mwadini
FuoniNdugu Yussuf Hassan Iddi
Kiembe SamakiNdugu Mahmoud Thabit Kombo
KijitoupeleNdugu Ali Suleiman Ali (Shihata)
MwanakwerekweNdugu Abdalla Ali Kombo
PangaweNdugu Khamis Juma Mwalim
MfenesiniBububuNdugu Masoud Abraham Masoud
Mfenesini Ndugu Machano Othman Said
MtoniNdugu Hussein Ibrahim Makungu
MtopepoDkt. Makame Alli Ussi
WelezoNdugu Hassan Khamis Hafidh
MweraNdugu Mihayo Juma N’hunga




NA.MKOAWILAYAJIMBOALIYETEULIWA
6.MjiniAmaniAmaniNdugu Rashid Ali Juma
ChumbuniNdugu Miraji Khamis Mussa
MagomeniNdugu Rashid Makame Shamsi
MpendaeNdugu Mohamed Said Mohamed (Dimwa)
ShaurimoyoNdugu Hamza Hassan Juma
MjiniJang’ombeNdugu Abdalla Maulid Diwani
KikwajuniNdugu Nassor Salum Ali (Jazeera)
KwahaniNdugu Ali Salum Haji
MalindiNdugu Mohamed Ahmada Salum































WABUNGE WA MIKOA WALIOTEULIWA KUPITIA JUMUIYA – UWT


NA.MKOAJINA
1ArushaNdugu Catherine Valentine Magige
Ndugu Vailet Charles Mfuko
2Dar es SalaamNdugu Mariam Nassoro Kisangi
Ndugu Janeth Mourice Massaburi
3DodomaNdugu Felister Aloyce Bura
Ndugu Fatuma Hassan Toufiq
4GeitaNdugu Vicky Paschal Kamata
Ndugu Josephina Tabitha Chagula
5IringaNdugu Rose Cyprian Tweve
Ndugu Ritha Enespher Kabati
6Katavi Ndugu Taska Restuta Mbogo
Ndugu Anna Richard Lupembe
7KageraNdugu Bernadetha Kasabango Mushashu
Ndugu Oliva Daniel Semuguruka
8KigomaNdugu Josephine Johnson Genzabuke
Ndugu Philipa Geofrey Mturano
9KilimanjaroNdugu Shally Josepha Raymond
Ndugu Betty Eliezer Machangu
10LindiNdugu Hamiuda Miohamed Abdallah
Ndugu Tecla Mohamed Ungele
11Mara Ndugu Agnes Mathew Wambura
Ndugu Christina Mwema Samo
12ManyaraNdugu Martha Jachi Umbulla
Ndugu Esther Alexander Mahawe
13MbeyaDr. Mary Machuche
Ndugu Mary Obadia Mbwilo
14MorogoroNdugu Christine Gabriel Ishengoma
Ndugu Sarah Msafiri Ally
15MtwaraNdugu Anastazia James Wambura
Ndugu Agness Elias Hokororo
16MwanzaNdugu Kemirembe Julius Lwota
Ndugu Kiteto Zawadi Konshuma





NA.MKOAWILAYA
17Njombe
Ndugu Susan Alphonce Kolimba
Ndugu Neema William Mgaya
18PwaniNdugu Zaynab Matitu Vullu
Ndugu Subira Khamis Mgalu
19RukwaNdugu Bupe Nelson Mwakang’ata
Ndugu Silafu Jumbe Maufi
20RuvumaNdugu Jacqueline Ngonyani Msongozi
Ndugu Sikudhan Yassini Chikambo
21SimiyuNdugu Esther Lukago Midimu
Ndugu Leah Jeremia Komanya
SongweNdugu Juliana Daniel Shonza
Ndugu Neema Gerald Mwandabila
22SingidaNdugu Aisharose Ndogholi Matembe
Ndugu Martha Moses Mlata
23ShinyangaNdugu Lucy Thoma Mayenga
Ndugu Azza Hillal Hamad
24TaboraNdugu Munde Tambwe Abdallah
Ndugu Mwanne Ismail Mchemba
25TangaNdugu Ummy Ally Mwalimu
Ndugu Sharifa O. Abebe


















WABUNGE WA MIKOA WALIOTEULIWA KUPITIA JUMUIYA YA UWT - ZANZIBAR

NA.MKOAJINA
1Kaskazini PembaNdugu Maida Hamad Abdalla
Ndugu Asya Sharif Omar
2Kaskazini UngujaNdugu Angelina Adam Malembeka
Ndugu Mwanajuma Kassim Makame
3Kusini PembaNdugu Faida Moh’d Bakar
Ndugu Asha Moh’d Omar
4Kusini UngujaNdugu Asha Mshimba Jecha
Ndugu Mwamtum Dau Haji
5MagharibiNdugu Tauhida Cassian Galos
Ndugu Kaukab Ali Hassan
6Mjini UngujaNdugu Fakharia Shomar Khamis
Ndugu Asha Abdallah Juma


WAJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI – VITI MAALUM – ZANZIBAR

NA.MKOAJINA
1Kaskazini PembaNdugu Bihindi Hamad Khamis
Ndugu Choum Kombo Khamis
2Kaskazini UngujaNdugu Panya Ali Abdalla
Ndugu Mtumwa Suleiman Makame
3Kusini PembaNdugu Shadya Moh’d Suleiman
Ndugu Tatu Moh’d Ussi
4Kusini UngujaNdugu Salma Mussa Bilali
Ndugu Wanu Hafidh Ameir
5MagharibiNdugu Mwanaidi Kassim Mussa
Ndugu Amina Iddi Mabrouk
6MjiniNdugu Mgeni Hassan Juma
Ndugu Saada Ramadhan Mwendwa












WABUNGE WA WALIOTEULIWA KUPITIA MAKUNDI MENGINE

NA.KundiWALIOTEULIWA
1.Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM)Ndugu Halima Abdallah Bulembo
Ndugu Zainabu Athuman Katimba
Ndugu Mariamu Dittopile Mzuzuri
Ndugu Maria Ndilla Kangoye
Ndugu Sophia Mfaume Kizigo
Ndugu Irine Uwoya
UVCCM - ZANZIBARNdugu Khadija Nassir Ali
Ndugu Munira Mustafa Khatibu
Ndugu Nadra Juma Mohamed
Ndugu Time Bakar Sharif
2.Jumuiya ya WAZAZINdugu Najma Murtaza Giga - Tanzania Zanzibar)
Ndugu Zainabu Nuhu Mwamwindi - (Tanzania Bara)
3.Walemavu Ndugu Stella Alex Ikupa
Ndugu Amina Saleh Mollel
4.Vyuo VikuuNdugu Jasmin Tisekwa Bunga
Ndugu Esther Michael Mmasi
5.NGO’sMchungaji Getrude P. Rwakatare
Ndugu Khadija Hassan Aboud
6.WafanyakaziNdugu Angelina Jasmin Kairuki
Ndugu Hawa Mchafu Chakoma
 
mkuu tunaomba list kuna watu walikuwa wanasubiri kwa hamu ili wahamie ukawa
 

Similar Discussions

21 Reactions
Reply
Back
Top Bottom