Mgombea nafasi ya Ubunge kupitia tiketi
ya chama cha mapinduzi Ndugu Devis
Mosha ameanza kupigania kulirudisha jimbo la moshi mikononi mwa c.c.m kwa udi na uvumba, baada ya style iliyozoeleka ya kutumia magari Jana tarehe 31/07/2015 zilianza harakati za kipekee kwa
kutumia helicopter huku ikipita maeneo ya moshi na kudondosha vikaratasi vyenye kuhimiza mabadiliko moshi,kila la heri Mkuu.
Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu, anaongoza katika mchakato wa kura za maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi. Habari kutoka jimboni humo zinasema Nyalandu ambaye pia ni waziri wa maliasili na utalii, anaongoza katika vituo vya kata zote huku akiwaacha mbali wapinzani wake.
Update:
Katika kata ya Ilongero.
Nyalandu 667
Mpombo 88
Monko 60
Kata ya Maghojoa:
Nyalandu 743
Monko 72
Mpombo 26
Aron 16
Mungwe 15
Singida Magharibi, Kingu kashinda kwa mbali
Mwigulu Chali Iramba.
Matokeo ya kura za maoni huko Arumeru Mashariki yamempitisha ndugu John D Pallangyo ambaye sasa atapambana na dogo janja!
Ikumbukwe kuwa Jon D alisemekana kuwa ni Team lowasssa na sasa lowasa yuko chadema na atatakiwa kumsupport Nassari.
Isitoshe John D alikuwa anapambanishwa na Sioyi ambaye ni baba mkwe wa lowassa nadhani anaweza kuingia chadema.
Challange ni moja tu je lowassa atamtosa John D waliyeanza naye safari ya matumaini?au atamtosa nassari mbunge wa Chadema?
Mbowe wakati anawalaghai wanachadema jui ya ujio wa lowassa hakuconsider dialema kama hizi ambazo zitajitokeza sehemu nyingi nchini.
lowassa kaja Chadema peke yake na kuwaacha wenzake wa safari ya matumaini ccm!!
Dr Slaa yuko sahihi kwamba Chadema ilihitaji kutafakari na sio kukurupuka tu!
Scenario kama hii itatokea Arusha mjini pia!!!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Simbachawene chali
Mkuu upo serious? Ina maana mwaka huu ni mchakamchaka kweli kweli?
Tuliwaambia hawa watoto wetu wasiojua siasa zinavyofanywa lakini hawakutaka kutuelewa wazee wao.