Loading
JF-Expert Member
- Feb 10, 2012
- 594
- 101
Haya ni maeneo ya Simu 2000 , new ubungo stand mawasiliano towers
Mkuu mbona sioni stand? Naona meza za mama ntilie
Haya ni maeneo ya Simu 2000 , new ubungo stand mawasiliano towers
Mkuu mbona sioni stand? Naona meza za mama ntilie
Sisi bahati nzuri inakuja mwanzo wa safari......Siku zote niungejua huja mwisho wa safari.
We were landing at the time and our flight had to stay put for 20 minutes until we got an all clear for landing boy with the news of the Indonesia plane it got us all worried I was so glad when we landed safely
Hili la mafuriko Dar baada ya kunyesha mvua hata kwa dakika chache ni tatizo kubwa linalojulikana miaka nenda miaka rudi, lakini Serikali haitengi fedha za kutosha ili kupanua drainage system iendane na hali halisi ya jiji la Dar ambalo linakadiriwa kuwa na wakazi milioni 5. Drainage system ya jiji bado ile ya mwaka 47 ambapo population ya jiji ilikuwa 200,000 tu.
nadhani tunasubiri pambio (chorus)Wakazi wa Dar wote wanaishi mabondeni ni vina tuu vya mabonde ndio vimetofautiana.
kila msimu tushazoea...
kila msimu tushazoea...
LMAO:becky::becky::becky:.
Sasa hao nao wako pekupeku hivyo wasije wakapata kichocho bure.